Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

nilikuwa naamini kwamba wee ni mtu anayekumbuka mambo kumbe na wewe msahaulifu sana eeh?

ARSENAL ndo waliongoza muda mrefu kuliko yoyote. pia Man City na LFc walikuwa wanabadilishana. Sisi Chelsea Fc tulikaa # 1 mara chache sana; tena ule mwezi ambao wengine walikuwa na viporo 2 au 3..

lakini mwenyewe unajua mziki wa mwaka jana; 3-1 zinakuchanganya bado?? khe khe khe.:flame:


Msimu uliopita umesahu kama mlikuwa mnaongoza ligi alafu mwisho wa siku mkakosa kombe!?
 
Duh si Mchezo,
Arsenal: Attacking POOR, Middle ANGALAU, Dafence POOR,
Chelsea: Attacking VERY STRONG, Middle STRONG, Defence STRONG to AVERAGE
Man City: Attacking VERY STRONG, Middle STRONG, Defence AVERAGE to POOR
Man United:Attacking VERY STRONG, Middle STRONG to AVERAGE, Defence VERY POOR

Hapo ukiangalia vizuri THE TRUE BLUES kwa kiasi kikubwa ni timu iliyokamilika na uwezo wa Kuchukua kombe msimu huu ni mkubwa mno

Well said
 
nilikuwa naamini kwamba wee ni mtu anayekumbuka mambo kumbe na wewe msahaulifu sana eeh?

ARSENAL ndo waliongoza muda mrefu kuliko yoyote. pia Man City na LFc walikuwa wanabadilishana. Sisi Chelsea Fc tulikaa # 1 mara chache sana; tena ule mwezi ambao wengine walikuwa na viporo 2 au 3..

lakini mwenyewe unajua mziki wa mwaka jana; 3-1 zinakuchanganya bado?? khe khe khe.:flame:

Nia yangu uwataje hao hao walioongoza ligi kwa muda mrefu akina liverpool na arsenal lakini angalia kilichowakumba mwisho wa msimu,being mbabe wa ligi siyo kuangalia msimamo tu,hasa ukizingatia ndo kwanza tumecheza mechi 3,mbabe wa ligi kwangu mimi ni yule anayechukua kombe bandika bandua,ambapo sasa hv hamna timu hyo.ni kwamba man u anapokezana tu na man city
 
Watch-0ut - Chelsea products from its Academy:

1409843984977.jpg



Lewis Baker
is a full-time member of Jose Mourinho's first team squad for the season ahead.
The 19-year-old midfielder becomes the third young player to move up from the Academy's development squads in 2014, following on from Nathan Ake and Andreas Christensen.



Lewis Baker @Work


academy-graduates-in-first-team-squad.img.png




 
Mkuu Grand PA kwa sasa kwenye ligi yetu ya PREMIER LEAGUE kila timu inaruhusiwa kuwa na wachezaji wa kigeni wasiozidi 17 kwenye kikosi cha wachezaji wake wenye umri unaozidi miaka 21.

umesomeka mkuu,kwani inaruhusiwa kuchezesha 1st 11 kw dk.90 bila kuwa na mzawa hata mmoja?! ...........

Grand PA
 
2010 - chelsea
2011 - man city
2012 - man utd
2013 - man utd
2014 - man city




nia yangu uwataje hao hao walioongoza ligi kwa muda mrefu akina liverpool na arsenal lakini angalia kilichowakumba mwisho wa msimu,being mbabe wa ligi siyo kuangalia msimamo tu,hasa ukizingatia ndo kwanza tumecheza mechi 3,mbabe wa ligi kwangu mimi ni yule anayechukua kombe bandika bandua,ambapo sasa hv hamna timu hyo.ni kwamba man u anapokezana tu na man city
 
Nia yangu uwataje hao hao walioongoza ligi kwa muda mrefu akina liverpool na arsenal lakini angalia kilichowakumba mwisho wa msimu,being mbabe wa ligi siyo kuangalia msimamo tu,hasa ukizingatia ndo kwanza tumecheza mechi 3,mbabe wa ligi kwangu mimi ni yule anayechukua kombe bandika bandua,ambapo sasa hv hamna timu hyo.ni kwamba man u anapokezana tu na man city


tangu msimu wa 2004/2005 hadi leo timu 3 tu ndo zimekuwa mabingwa wa EPL.

1.Chelsea Fc
2. Man City
3. Man Utd

 
umesomeka mkuu,kwani inaruhusiwa kuchezesha 1st 11 kw dk.90 bila kuwa na mzawa hata mmoja?! ...........

Grand PA

Mkuu Grand PA, na kwa manufaa ya wapenda mpira wa EPL ..imewahi kutokea timu ikachezesha wachezaji wageni watupu kwa dakika 90.


Majirani zetu Arsenal Fc wamewahi kuchezesha 'wageni watupu' hata wa kwenye benchi walikuwa wageni watupu. Mechi hii ilichezwa Jumatatu tarehe 14,mwezi wa 2, mwaka 2005.

Mechi ilikuwa kati ya Arsenal vs Crystal Palace. Majirani zetu walishinda 5-1.
Kikosi kamili cha 'Majirani' zetu kilikuwa hivi:

Jens Lehman
Gael Clichy
Pascal Cygan
Etame Mayer
Abib Kolo Toure
Edu

Dennis Bergkamp
Thierry Henry
Jose Antonio Reyes
Robert Pires
Patrick Vieira

AKIBA.
Manuel Almunia
Senderos
Cesc Fabregas
Flamin
Robin Van Persie


BAADA YA KUSEMA HAYO:

Sheria iliyopo kwa sasa: kila timu ya EPL inapaswa kuwa na wachezaji wasiopungua 8 ambao ni 'home grown' au wazawa. kwenye kikosi cha wachezaji 25. hapo ndo unapata kwamba wageni wanaoruhusiwa kwneye timu ni 17.

Lakini sasa haisemi bayana kwamba timu inapocheza wanapaswa kuwa wangapi 'wazawa'..lakini wakuu wa FA wamekuwa wakipendekeza kwamba angalau kwneye kikosi kuwe na wazawa wasiopungua 3;{hayo ni mapendekezo} lakini mara nyingi Chelsea inapocheza inakuwana Terry na Cahill..msimu huu kwa ajili ya kuwa na angalau wazawa kwenye kikosi cha kwanza.

Mwaka jana West Ham ndo walikuwa na wanaongoza kwa kuchezesha wazawa kwenye kila mechi.

West Ham wachezaji 6 kila mechi walikuwa wazawa...


 
article-2744763-21132CCF00000578-868_308x282.jpg


Kocha wa sasa wa Barcelona CF kama anavyoonekana
kwenye picha enzi akiwa mchezaji wa Barcelona...
Jose Mourinho alimfundisha mpira huyu Luis Enrique.

JOSE MOURINHO - THE SPECIAL ONE

 
huyo mchezaji # 20 Maniche amewahi kucheza CHELSEA FC, mwaka 2006.

historia fupi:
amewahi kufundishwa na Mourinho hapo Benfica
akafundishwa na Mourinho Porto FC
akafundishwa na Mourinho Chelsea Fc mwaka 2006.{alikuwa anacheza Dynamo Moscow kabla ya kuja Chelsea}





1323069138_extras_mosaico_noticia_1_g_0.jpg


jose mourinho at SL Benfica
 
preview.jpg


mshambuliaji wa Chelsea, Crespo akikabwana beki wa
Anderlech ya Ubelgiji - Vincent Kompany{ambaye sasa ni
mchezaji wa Man City}

hii ilikuwa mwaka 2005, tarehe 23 mwezi wa 11.
mechi ya champions league..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom