Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kama nilivyosema hizi ni habari kutoka the Guardina..
CHELSEA FC - bado hawajasema kwamba COSTA atakaa nje muda gani.
Hakuna haja ya mashabiki wa CHELSEA FC kuwa na hofu yoyote..

timu imetimia na jumamosi tunaenda LIVERPOOL kuchukua pointi 3...



Mara nyingi hizi habari za kuumia mchezaji hazinipi tabu kwasababu chelsea ni timu isiyotegemea mtu mmoja. Chesea imejengwa kiuwezo kwa mchezaji yoyote kufunga
 
Naona unachagua article za kusoma kuhusu kuumia kwa Costa!Ukweli ni kuwa HATACHEZA kwa takribani miezi 2!Everton mtamuanzisha Torres ambaye kwenda kwake Milan kumesitishwa ahahah!

Soma hapa zaidi:
www.soccernet.com


Malafyale jamaa yangu wa Mbeya.chesea sio Tukuyu Stars mkuu kwamba akiumia mchezaji mmoja basi timu inakua msibani.


Hahahahaaaaa. Lfc sasahivi mnahaha kwa pengo la Suarez. Sisi ni timu ingine bhana tunaweza kumuweka ata Obi ktk hiyo nafasi ya Striker na tukashinda tu vzr.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Liverpool wasikunyime usingizi; ni timu ya historia tu.
kama unavyosoma kwamba zamani kulikuwa na watu wanaishi kwenye mapango ya kondoa irangi, isimila na hata amboni tanga..
uwe na amani LFC tumewadhibiti mwaka jana, na hata mwaka huu tutawadhibiti vilivyo..


Umesema vema mkuu agosti 8
 
Last edited by a moderator:
Bora agosti 8 umeleta habari kamili. Huyu shabiki wa washindwa ambao hawajawahi onja Barclays Premier League Title toka 92 anapata wasi wasi sana.

You cant change EPL and UCL history by any means mkuu!

1.Majogoo won Champion League titles as many as Man U;Chelsea;Arsenal and Man City combined

2.Majogoo is the second most decorated team in EPL history!

Huwezi badili hii history ndugu zanguni Ntuzu and its CO ehehehehe
 
Last edited by a moderator:
You cant change EPL and UCL history by any means mkuu!

1.Majogoo won Champion League titles as many as Man U;Chelsea;Arsenal and Man City combined

2.Majogoo is the second most decorated team in EPL history!

Huwezi badili hii history ndugu zanguni Ntuzu and its CO ehehehehe



Hahahaaaaa mtabaki kung'ang'ana na historia wakati sisi twasonga mbele! Na yote haya ni kushindwa kusoma upepo, ingekua vema mkashuka daraja na mkaenda huko kuendeleza hizi habari.

Wakati Mourinho anatua chelsea kwa mara ya kwanza ile miaka ya 2003-2005 alisema kitu kimoja.

Nyakati za LFC zilikua ni miaka ya 70 kuja mpk miaka ya 80 mwishoni. Then ikaja Man Utd ktk miaka ya 90. Na badae ikaja Arsenal ktk hiyohiyo miaka ya 90 mwishoni mpk 2000 mwanzoni! Mourinho alihitimisha kwa kusema hizi ni zama za Chelisea.

Haya niambie kutoka mwaka 2000 mpk leo umechukua mara ngapi kombe la EPL? Je hayatimii maneno ya JOSE?

Msimu uliopita mmemaliza ktk nafasi ya juu kabisa ktk miaka km kumi hivi baada ya kuboronga na msimu huu ata top four hamuioni.
 
Last edited by a moderator:
You cant change EPL and UCL history by any means mkuu!

1.Majogoo won Champion League titles as many as Man U;Chelsea;Arsenal and Man City combined

2.Majogoo is the second most decorated team in EPL history!

Huwezi badili hii history ndugu zanguni Ntuzu and its CO ehehehehe

Hivi mna miaka mingapi hamjachukua EPL?
Nyie mwaongelea record ya 20th Century sisi record zetu ni 21st Century.
Kombe lenu la mwisho EPL ni miaka 80's hivi.
 
Last edited by a moderator:
Pale England timu zote zinajua kuwa Chelsea ni level nyingine. Sisi tunawapiga watu ndani nje na msimu huu yule alie waokoa hayupo tegemeeni kufungwa sana na kurudi kule kwenye namba zenu.
Ukija UEFA timu kubwa zote zinaumia tukikutana nazo muulize Barca atakueleza Historia jinsi tulivyo wafanya japo kuwa tuko pungufu.
Muulize Bayern alivyoumia kwa kuona Kombe likiondoka Arianz pamoja na wao kuwa waandaaji.
Muulize PSG alivyoumia pale alipojikuta akifungwa na kutolewa.
Tukienda Kwenye FA nadhani sisi ndio twaongoza kwa makombe mengi ya FA kwa miaka ya hivi karibuni.
Ndio maana Chelsea huwa anakuwa Top Seed pale wanapofanya Draw ya UEFA. Afu pia ndio timu iliyochukua UEFA cups zote
 
#MARRY HER

10414515_10152606656151840_3294270019455769286_n.jpg

 
nimerudi sasa;

kweli kabisa mkuu ..LIVERPOOL FC timu ya karne ya 20.
:wacko:


Hivi mna miaka mingapi hamjachukua EPL?
Nyie mwaongelea record ya 20th Century sisi record zetu ni 21st Century.
Kombe lenu la mwisho EPL ni miaka 80's hivi.
 
Pale England timu zote zinajua kuwa Chelsea ni level nyingine. Sisi tunawapiga watu ndani nje na msimu huu yule alie waokoa hayupo tegemeeni kufungwa sana na kurudi kule kwenye namba zenu.
Ukija UEFA timu kubwa zote zinaumia tukikutana nazo muulize Barca atakueleza Historia jinsi tulivyo wafanya japo kuwa tuko pungufu.
Muulize Bayern alivyoumia kwa kuona Kombe likiondoka Arianz pamoja na wao kuwa waandaaji.
Muulize PSG alivyoumia pale alipojikuta akifungwa na kutolewa.
Tukienda Kwenye FA nadhani sisi ndio twaongoza kwa makombe mengi ya FA kwa miaka ya hivi karibuni.
Ndio maana Chelsea huwa anakuwa Top Seed pale wanapofanya Draw ya UEFA. Afu pia ndio timu iliyochukua UEFA cups zote



Wakaiulize Man City msimu uliopita pale Etihad tuliwafanya nini na wao LFC walifanywa nini?

Chelsea ni mziki mwingine bhana!
 
article-1168627-045C72A1000005DC-295_468x326.jpg


HAPA ILIKUWA 3-1 NUSU FAINALI YA UEFA 2008
BLANISLAV IVANOVIC AKITANDIKA KICHWA KIZITO KUANDIKA GOLI LA 3.

CHELSEA TIMU YA KARNE YA 21.
 
Na kwa hasira kabisa najua Morinho lazima ampige Liverpool na hao wengine.



Yani mkuu weekend hii tunaanza kukichapa kidogo chake ki everton then tumchape na LFC.

MSIMU HUU NI NO KUFUNGWA NA TIMU ZA MJI WA LIVERPOOL
 
Willian_3132037.jpg


NI VIGUMU KUSAHAU...

tarehe 27 mwezi wa 4, uwanja wao, mashabiki wao, refa wao, na hapa WILLIAN DA SILVA akifunga goli baada ya kumchambua kipa wao...ha aha ha LIVERPOOL ilikuwa zamani.

Kutesa kwa zamu..Sasa ni zamu yetu. vumilieni wakuu wa LFC.
 
EVERTON ni mzazi wake na Liverpool mkuu Ntuzu, sema tu kadumaa...
tunawachapa ili tuwashitue vijana wa LFC..

alaf wao watakuwa na SPURS wakishinda ni droo.. ha aha ha hali ni mbaya sana kwa LFC mwaka huu.:wacko:


Yani mkuu weekend hii tunaanza kukichapa kidogo chake ki everton then tumchape na LFC.

MSIMU HUU NI NO KUFUNGWA NA TIMU ZA MJI WA LIVERPOOL
 
Willian_3132037.jpg


NI VIGUMU KUSAHAU...

tarehe 27 mwezi wa 4, uwanja wao, mashabiki wao, refa wao, na hapa WILLIAN DA SILVA akifunga goli baada ya kumchambua kipa wao...ha aha ha LIVERPOOL ilikuwa zamani.

Kutesa kwa zamu..Sasa ni zamu yetu. vumilieni wakuu wa LFC.


Malafyale kakimbia

Hahahaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom