Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

MADHARA YA ROMELU LUKAKU..

huyu kijana 'wetu' wenyewe anaweza kutudhuru kama tutashindwa kumdhibiti vizuri.
uzuri wa Lukaku ni 'nguvu' kama nilivyotaja tayari.

Lukaku mzuri wa mipira ya kichwa; mzuri wa mashuti na msumbufu sana kwa mabeki.Lakini najua atadhibitiwa vizuri sana na Cahill na Terry ...kipa wetu pia ni mzuri kama atacheza COURTOIS..
 
wakuu tuendelee na mjadala...ngoja nipate mapumziko mafupi nitarudi kwa nguvu zaidi baadaye..cc Mentor, andybird314, Viol, etc...:hungry:
 
Ndiyo mkuu Viol;

Everton fc na Liverpool fc ni timu zinazotoka katika jiji la LIVERPOOL {kaskazini mwa Uingereza} hizi ni timu za mtaa mmoja ..
Kwa hapa Tanzania tungesema kama vile kule Tanga; kuna African Sports na Coastal Union..timu moja barabara ya 11 nyingine iko barabara ya 12.

Everton Fc ilikuwa timu ya kwanza kabisa kuanzishwa...baadaye ikaanzishwa Liverpool Fc..
sikujua hilo,ila hawa majamaa hawatuumizi kichwa,wakikabwa vizuri yaani attact kama 3 huwa wanakatika,ndo maana arsenal ilisawazisha,hawa majaMAA wanahitaji mpira wa fasta kushambuliwa,wakifungwa halftime baada ya hapo hawana spirit,ishu ni kwamba wanapiga mabuti just kuwa makini wachezaji wetu wasiumizwe
 
ni kweli; huwa wanakatika..lakini kabla wakatike lazime pachimbike..jumamosi itakuwa mechi nzuri sana. Na ushindi wa jumamosi utaimarisha sana 'DNA' yetu kama alivyosema kocha wetu JOSE MOURINHO.



sikujua hilo,ila hawa majamaa hawatuumizi kichwa,wakikabwa vizuri yaani attact kama 3 huwa wanakatika,ndo maana arsenal ilisawazisha,hawa majaMAA wanahitaji mpira wa fasta kushambuliwa,wakifungwa halftime baada ya hapo hawana spirit,ishu ni kwamba wanapiga mabuti just kuwa makini wachezaji wetu wasiumizwe
 
images


sina la kuongeza.

Kweli hakuna cha kuongeza maana same names speaks for itself.

HAZARD
 
ni kweli; huwa wanakatika..lakini kabla wakatike lazime pachimbike..jumamosi itakuwa mechi nzuri sana. Na ushindi wa jumamosi utaimarisha sana 'DNA' yetu kama alivyosema kocha wetu JOSE MOURINHO.

uzuri ni kwamba zamani mechi za kukutana na timu ndogo zilituaibisha,but now tunachapa pote pote
 
ha haha hah a kabisa...
tena mie nashangaa mabeki hawawezi kumzuia kwa sababu unapomwona akijikunja ujue goli hiloo...

:A S-eek:

Mabeki hawawezi maana si unajua anatokea pembeni halafu anampunguza beki huku anaingia kwa 18, sasa ule ufupi na stamina aliyonayo si rahisi kumzuia.

Na ndio maana Zidane alisema "Hazard he is like light once he passes you, he is gone".
 
AYAA mwendo wa vodka tu; asubuhi maandazi na vodka, mchana tambi/viazi na vodka na usiku vodka...:wacko:
Ndo ushabiki wangu unapokuwa kwa SKA MOSCOW,AU SPARTAK MOSCOW,DYNAMO MOSCOW,ILA TIMU ZA KAMA HIZO ZA ZENITH YA PETERSPURG HUWA SIWAKUBALI,JAMAA WABAGUZI,HAWAPO JIJINI WAPO HUKO JOHESPERG,NA NDO WANAONGOZA LIGI NA NOW WANAONGOZA,ILA TUNAJUA SKA YA HAPA ITACHUKUA TU.
 
drogba_wideweb__470x331,0.jpg


hii ilikuwa FA CUP FINAL - MEI 2009.
CHELSEA FC 2 - 1 EVERTON.

huyu mtu mweusi alifunga goli kwenye fainali hiyo. mtu pekee "mweusi" kufunga katika kila fainali ya FA aliyocheza.

DIDIER DROGBA 'SIMBA MZEE' HABARI NYINGINE..KUNAPOKUWA NA KOMBE UWANJANI.:first:
 
EPL na ligi nyingi sana Duniani zinaogopa sana kukutana na Chelsea.
Timu zingine zinajifua ili ziifunge Barca ila Barca inajifua ili iweze ifunga Chelsea.
Ukiona hivyo jua Chelsea ni noma sana.
Msimu uliopita tuliweka mfano bora kuwa pale EPL hatupigwi hovyo na wanaojiita wakubwa
 
drogba_wideweb__470x331,0.jpg


hii ilikuwa FA CUP FINAL - MEI 2009.
CHELSEA FC 2 - 1 EVERTON.

huyu mtu mweusi alifunga goli kwenye fainali hiyo. mtu pekee "mweusi" kufunga katika kila fainali ya FA aliyocheza.

DIDIER DROGBA 'SIMBA MZEE' HABARI NYINGINE..KUNAPOKUWA NA KOMBE UWANJANI.:first:

Halafu mkuu unajua hii mechi inajirudia maana hata mechi hii tutakuwa ugenini na inawezekana tukavaa tena jersey za njano.
 
EPL na ligi nyingi sana Duniani zinaogopa sana kukutana na Chelsea.
Timu zingine zinajifua ili ziifunge Barca ila Barca inajifua ili iweze ifunga Chelsea.
Ukiona hivyo jua Chelsea ni noma sana.
Msimu uliopita tuliweka mfano bora kuwa pale EPL hatupigwi hovyo na wanaojiita wakubwa

Kwel mkuu wanajifikiria sana pind wanapojua wanakutana na Chelsea siyo Epl.tuu hata Timu za ulaya kwa ujumla.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom