Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ntuzu kijana wako Costa kaumia na atakaa nje takribani miezi 2
Ina maana sasa attack ataongoza Drogba au Torres?
Ur not serious even a bit!Majogoo ya Liverpool hadi Costa kurudi tumewaacha points 15
 
Last edited by a moderator:
drogba_wideweb__470x331,0.jpg


hii ilikuwa FA CUP FINAL - MEI 2009.
CHELSEA FC 2 - 1 EVERTON.

huyu mtu mweusi alifunga goli kwenye fainali hiyo. mtu pekee "mweusi" kufunga katika kila fainali ya FA aliyocheza.

DIDIER DROGBA 'SIMBA MZEE' HABARI NYINGINE..KUNAPOKUWA NA KOMBE UWANJANI.:first:

Alivyo umia Costa ndiye Drogba ataka ongoza mashambulizi na miaka yake 44?

Bila Costa mtakuwa wa 5 May nakuambieni
 
hadi sasa mmetuacha pointi ngapi kwani?

qwi qwi qwi vijogoo bwana; wewe umechapwa 3-1 alaf unawaza kuniacha pointi 15?

ha haha acha utani mkuu..


Ntuzu kijana wako Costa kaumia na atakaa nje takribani miezi 2
Ina maana sasa attack ataongoza Drogba au Torres?
Ur not serious even a bit!Majogoo ya Liverpool hadi Costa kurudi tumewaacha points 15
 
hadi sasa mmetuacha pointi ngapi kwani?

qwi qwi qwi vijogoo bwana; wewe umechapwa 3-1 alaf unawaza kuniacha pointi 15?

ha haha acha utani mkuu..

Nimefungwa na team bora;nimefungwa na bingwa mtetezi!Sijacheza na Burnley wala Leicester walio kosa point kwa ujinga wao wenyewe

Mkuu you did not prove anything yet
 
sisi huwa hatusumbuliwi na habari za wachezaji kuumia kwa sababu tuna daktari bora kabisa DUNIANI..

drogba aliumia enka, akakosa mechi moja tu..kashapona!:A S wink:

hata ikitokea mchezaji yeyote akaumia; bila shaka atapona ndani ya siku 3 tu.

cheza mbali na daktari EVA...

1532040_1456356431297056_2143409238698290847_n.jpg


Diego Costa wa Chelsea kaumia jana mazoezini na ni breaking news kila kwenye sports channels!

Drogba ataongoza strike forces yenu mechi 8 za EPL ehehehehehe
 
VEMA MKUU;

kumbuka APRIL 27 PIA ULIFUNGWA NA TIMU BORA KABISA..2-0 NDANI YA ANFIELD...

CHELSEA FC - FOREVER BLUE.


Nimefungwa na team bora;nimefungwa na bingwa mtetezi!Sijacheza na Burnley wala Leicester walio kosa point kwa ujinga wao wenyewe

Mkuu you did not prove anything yet
 
CHELSEA FC NEWS - OFFICIAL.

[h=1]Injury News[/h]

Didier Drogba injured an ankle during the pre-season game against Ferencvaros on 10 August and missed the match versus Real Sociedad two days later. He returned to action in the Premier League match at Burnley on 18 August.


 
THE GUARDIAN - UINGEREZA.

"Chelsea suffered an injury scare in training on Wednesday after Diego Costa pulled up with a hamstring injury, though the severity of the strain remains to be determined.

The Spain international, a £32m signing from Atlético Madrid this summer, will undergo further tests at Cobham and while the initial prognosis appeared grim, there are hopes the injury will not prove as severe as first feared.

The 25-year-old has scored in each of his first two appearances in the Premier League and has swiftly established himself as first-choice and a key member of José Mourinho's preferred line-up.
Although Chelsea have not written off his chances of featuring at Everton on Saturday, even if the injury rules the Brazil-born forward out for the forseeable future they may sanction Fernando Torres's mooted loan move to Milan.

Torres is receptive to the possibility of joining Milan, though talks between the Italian club and Chelsea have yet to reach agreement over the Spaniard's wage package. The striker, who moved from Liverpool for a then British record £50m in January 2011, has two years to run on his £175,000-a-week contract and is unwilling to take a pay cut if he departs Stamford Bridge. Yet having rarely thrived over his three years at the club, there is a recognition that he will only ever play a fringe role at Chelsea after falling behind Costa and even the veteran Didier Drogba in the pecking order.
"Our goal is to take a great striker," said Milan's vice-president, Adriano Galliani. "We will see if we achieve our aim, but Fernando Torres? He is a great striker. We are actively working."
Should Torres leave, Chelsea would seek to add a third senior forward to their ranks before the transfer window closes on Monday, with interest established in Roma's Mattia Destro and, more intruigingly, the Monaco striker Radamel Falcao.

Falcao is effectively available for loan and would be open to a move to London, even though loan fees and wages combined would see a season-long switch cost around £20m. Chelsea have long coveted Falcao, who shares his agent, Jorge Mendes, with Mourinho.




 
Kama nilivyosema hizi ni habari kutoka the Guardina..
CHELSEA FC - bado hawajasema kwamba COSTA atakaa nje muda gani.
Hakuna haja ya mashabiki wa CHELSEA FC kuwa na hofu yoyote..

timu imetimia na jumamosi tunaenda LIVERPOOL kuchukua pointi 3...


THE GUARDIAN - UINGEREZA.

"Chelsea suffered an injury scare in training on Wednesday after Diego Costa pulled up with a hamstring injury, though the severity of the strain remains to be determined.

The Spain international, a £32m signing from Atlético Madrid this summer, will undergo further tests at Cobham and while the initial prognosis appeared grim, there are hopes the injury will not prove as severe as first feared.

The 25-year-old has scored in each of his first two appearances in the Premier League and has swiftly established himself as first-choice and a key member of José Mourinho's preferred line-up.
Although Chelsea have not written off his chances of featuring at Everton on Saturday, even if the injury rules the Brazil-born forward out for the forseeable future they may sanction Fernando Torres's mooted loan move to Milan.

Torres is receptive to the possibility of joining Milan, though talks between the Italian club and Chelsea have yet to reach agreement over the Spaniard's wage package. The striker, who moved from Liverpool for a then British record £50m in January 2011, has two years to run on his £175,000-a-week contract and is unwilling to take a pay cut if he departs Stamford Bridge. Yet having rarely thrived over his three years at the club, there is a recognition that he will only ever play a fringe role at Chelsea after falling behind Costa and even the veteran Didier Drogba in the pecking order.
"Our goal is to take a great striker," said Milan's vice-president, Adriano Galliani. "We will see if we achieve our aim, but Fernando Torres? He is a great striker. We are actively working."
Should Torres leave, Chelsea would seek to add a third senior forward to their ranks before the transfer window closes on Monday, with interest established in Roma's Mattia Destro and, more intruigingly, the Monaco striker Radamel Falcao.

Falcao is effectively available for loan and would be open to a move to London, even though loan fees and wages combined would see a season-long switch cost around £20m. Chelsea have long coveted Falcao, who shares his agent, Jorge Mendes, with Mourinho.




 
Bora agosti 8 umeleta habari kamili. Huyu shabiki wa washindwa ambao hawajawahi onja Barclays Premier League Title toka 92 anapata wasi wasi sana.
 
Last edited by a moderator:
Shida yenu watu wa LFC mnataka kulazimisha sisi tufikiri kama nyinyi.
nakuambia CHELSEA FC haijatangaza rasmi.

wee unasoma 'udaku' ambao wanapenda kuuza habari..mimi nategemea official statement ya CHELSEA FC siyo vyombo vya habari mkuu..tuelewano kwa hilo kwanza.

Pili kuumia kwa Costa hakuwezi kuwa ishu kwa Chelsea ambayo kama unafuatilia utenda kazi wa madaktari wetu...wachezaji wetu hawakai muda mrefu wakiwa majeruhi..sisi ni tofauti sana na timu yoyote ya EPL.

na tatu wee una pointi 3. mimi nina 6 lini utakuwa mbele yangu kwa pointi 15? au ushabiki tu mkuu Malafyale?



Naona unachagua article za kusoma kuhusu kuumia kwa Costa!Ukweli ni kuwa HATACHEZA kwa takribani miezi 2!Everton mtamuanzisha Torres ambaye kwenda kwake Milan kumesitishwa ahahah!

Soma hapa zaidi:
www.soccernet.com
 
Mkuu Liverpool wasikunyime usingizi; ni timu ya historia tu.
kama unavyosoma kwamba zamani kulikuwa na watu wanaishi kwenye mapango ya kondoa irangi, isimila na hata amboni tanga..
uwe na amani LFC tumewadhibiti mwaka jana, na hata mwaka huu tutawadhibiti vilivyo..


Bora agosti 8 umeleta habari kamili. Huyu shabiki wa washindwa ambao hawajawahi onja Barclays Premier League Title toka 92 anapata wasi wasi sana.
 
habari za Kyela mkuu Malafyale?
vipi hapo ziwa nyasa?

karibu CHELSEA FC uwe huru kujenga hoja na kujadiliana mpira sisi ni watu wa amani..

karibu sana..natoka kidogo nipate chai..ntarudi baadaye kidogo...eeh?:hungry:


Naona unachagua article za kusoma kuhusu kuumia kwa Costa!Ukweli ni kuwa HATACHEZA kwa takribani miezi 2!Everton mtamuanzisha Torres ambaye kwenda kwake Milan kumesitishwa ahahah!

Soma hapa zaidi:
www.soccernet.com
 
Ntuzu kijana wako Costa kaumia na atakaa nje takribani miezi 2
Ina maana sasa attack ataongoza Drogba au Torres?
Ur not serious even a bit!Majogoo ya Liverpool hadi Costa kurudi tumewaacha points 15



Hahahahaaaaaa

Tatizo kumbe bado hamjafahamu chelsea inacheza mfumo gani! Unafahamu ni kwanini Drogba BigMan amerudi pale Darajani?

Btw, chelsea ni timu ambayo Beki zake wanafunga viungo wake wote wanafunga na strikers wake pia wanafunga!


Kuwepo kwa Drogba as bigman in centre forward maana yake ni kwamba wachapa magoli ni Hazard, Salah, Faby, Schurlle, Willian, Oscar na viungo woote. Mbona kz mnayo!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom