Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

NAANZA KAZI...# 2.

jana pia kipindi cha pili kama Mohamed Salah angeingia mchezo ungechangamka sana.Kwa sababu Mo Salah ana chenga hatari na mbio..
Kijana wetu Schurrle huwa ni mchezaji mzuri lakini dakika 90 ni nyingi sana kwake. Kwa uwezo wa wachezaji wetu ikitokea Schurrle ameanza anacheza hadi dakika 60 anapisha Mo Salah.
Pia, Willian da Silva bado amechoka na kombe la Dunia. Kitaalam willian ni mchezaji mzuri kwenye mechi vs Arsenal, Spurs au Swansea; timu ambazo wanaweza mpira chini. Hawa madogo wa jana wanacheza mpira mgumu kidogo kwa Willian kustahimili.
 
NAFASI YA RAMIRES

kwa kikosi chetu cha sasa ni rahisi sana kufikiri kwamba RAMIRES hahitajiki. Lakini ngoja nitaje mambo machache ambayo yatafanya kijana huyu 'wonder boy' aendelee kula maisha CHELSEA FC.

1. Ramires ni box-to-box midfielder.
2. Ramires anaweza kucheza pembeni{nafasi za Hazard,Willian na Salah}

Ramires ana mbio kuliko Mikel na Matic..kwenye mechi ambazo tunahitaji kuongeza mashambulizi yetu kwa haraka Ramires anafaa.
Ramires anafaa kwneye mechi ambazo 'tunahitaji' nidhamu ya kukaba. MFANO. Chelsea Fc vs Barcelona-2012{semi-final}


 
Naunga mkono hoja! kwa hiyo majukumu yangu na ya mentor yanafanana kwenye mambo ya 'mapicha' eeh?
safi sana.. sasa wasaidizi mbona hujaweka?


Mkuu ni kweli kabisa!

Wasaidizi ni familia yote ya chelsea ktk kila mwenye uwezo wa kufanya hivyo! Lkn kwa wewe na Mentor mko hapa jf kila siku hivyo basi mnaliweza hilo jukumu vzr
 
Last edited by a moderator:
safi sana Ntuzu.
huu ni mwaka muhimu sana kwetu; msimu mzuri kabisa..tutaheshimiana tu.

Ni muhimu tuanze kujipanga vizuri kuupokea ushindi katika mataji zaidi ya moja.
CHELSEA FC - FOREVER BLUE.


Mkuu ni kweli kabisa!

Wasaidizi ni familia yote ya chelsea ktk kila mwenye uwezo wa kufanya hivyo! Lkn kwa wewe na Mentor mko hapa jf kila siku hivyo basi mnaliweza hilo jukumu vzr
 
NAFASI YA RAMIRES

kwa kikosi chetu cha sasa ni rahisi sana kufikiri kwamba RAMIRES hahitajiki. Lakini ngoja nitaje mambo machache ambayo yatafanya kijana huyu 'wonder boy' aendelee kula maisha CHELSEA FC.

1. Ramires ni box-to-box midfielder.
2. Ramires anaweza kucheza pembeni{nafasi za Hazard,Willian na Salah}

Ramires ana mbio kuliko Mikel na Matic..kwenye mechi ambazo tunahitaji kuongeza mashambulizi yetu kwa haraka Ramires anafaa.
Ramires anafaa kwneye mechi ambazo 'tunahitaji' nidhamu ya kukaba. MFANO. Chelsea Fc vs Barcelona-2012{semi-final}





Mkuu agosti 8 ktk jukumu lako hilo unalifanya vzr sn mkuu!

Na ktk kuongezea nyama ktk hoja yako! Kikosi cha timu hupangwa kulingana na timu ambayo unakutana nayo! Na hapo ndipo unaweza ukaona ni mchezaji gani anafaa kupangwa na nani asipangwe!

Ramires ni mchezaji muhimu sn kwetu! Atakuja cheza kutokana na timu tutakayokutana nayo!
 
Last edited by a moderator:
Asante mkuu Ntuzu..
mbali na kujadili mfumo nitakuwa najadili nafasi ya kila mchezaji katika kikosi chetu na umuhimu wake.
pia nitakuwa nalinganisha na vikosi vilivyopita au ma-legends waliopita.
Maana hii timu mie naijua kwa miaka mingi sasa..ntatoa mchango wangu pale panapopungua nyinyi pia mtaongezea tena napenda mijadala yetu iwe ya kitaalam kama 'great thinkers'..ili tufurahie mpira.


Mkuu agosti 8 ktk jukumu lako hilo unalifanya vzr sn mkuu!

Na ktk kuongezea nyama ktk hoja yako! Kikosi cha timu hupangwa kulingana na timu ambayo unakutana nayo! Na hapo ndipo unaweza ukaona ni mchezaji gani anafaa kupangwa na nani asipangwe!

Ramires ni mchezaji muhimu sn kwetu! Atakuja cheza kutokana na timu tutakayokutana nayo!
 
Ni kweli mkuu bado..mechi 37 lakini si vibaya kuwa na 'matumiani' kutegemea na hali halisi ya sasa.
hata katika mambo ya uchumi hilo linakubalika kabisa si mpira tu.

sasa sisi tunapotazama CHELSEA ya jana; ni tofauti sana na Chelsea ya mwaka jana. hata wachambuzi wengi duniani wanaofuatilia ligi ya Uingereza wamekiri kwamba Chelsea ina nafasi kubwa kuwa bingwa ikifuatiwa na Man City.


Naona wazee wa darajani mshaanza kushangilia ubingwa in August...
Lakini tuna 37 games na miezi 9...
 
10423277_802800789778838_6655683758647088635_n.jpg
 
cesc fabregas..

niseme machache kuhusu 'fundi' wetu.
huyu jamaa ana sifa kuu 3.
1. anaweza na anapenda sana kupiga pasi zenye macho.
2. anaweza kupiga mipira ya adhabu na penati.
3. ana-control nzuri sana ya mpira.


# bila kusahau kwamba anaweza kucheza vizuri sana jukumu la # 8 na hata # 10. jana alicheza majukumu hayo; alianza kama # 8, alipoingia Mikel akaenda kucheza 10.
 
KUIMARIKA KWA EDEN HAZARD.

huyu kijana ana uwezo wa juu sana. ndani ya Hazard kuna Ronaldo na pia kuna Messi.

Namaanisha nini?
Hazard anapenda kukimbia na mpira{Ronaldo}
Hazard pia anapenda kupiga chenga na kukusanya kijiji{Messi}

Kwa sababu kule mbele kuna Costa sasa yeye na Oscar watakuwa na kazi nyepesi..kazi yao kubwa ni kumtengenezea Costa pasi za uhakika.
 
Asante mkuu Ntuzu..
mbali na kujadili mfumo nitakuwa najadili nafasi ya kila mchezaji katika kikosi chetu na umuhimu wake.
pia nitakuwa nalinganisha na vikosi vilivyopita au ma-legends waliopita.
Maana hii timu mie naijua kwa miaka mingi sasa..ntatoa mchango wangu pale panapopungua nyinyi pia mtaongezea tena napenda mijadala yetu iwe ya kitaalam kama 'great thinkers'..ili tufurahie mpira.

Mkuu hilo lisikupe shida! Tuko pamoja na! Tuko na wachezaji wengi wanaofaa kwa kila timu tutakayokutana nao! Iwe EPL AU CL AU FA! Nikuwaduga tu msimu huu!

Ni kweli mkuu bado..mechi 37 lakini si vibaya kuwa na 'matumiani' kutegemea na hali halisi ya sasa.
hata katika mambo ya uchumi hilo linakubalika kabisa si mpira tu.

sasa sisi tunapotazama CHELSEA ya jana; ni tofauti sana na Chelsea ya mwaka jana. hata wachambuzi wengi duniani wanaofuatilia ligi ya Uingereza wamekiri kwamba Chelsea ina nafasi kubwa kuwa bingwa ikifuatiwa na Man City.

Mkuu kutokana na jinsi Jose alivyojenga timu yetu ni kweli kabisa wachambuzi wa nje na media za michezo lazima waipe chelsea credit ktk kutwaa ubingwa na hii inatokana na timu kukamilika kila idara!

Golini tuko na makipa 3 wazuri wakucheza game zote

Defenders wako kibao wenye sifa kibao mpk za kufungu!

Viungo ndio usiseme hapo wengine wana mbio zaidi ya Husein Bolt huyo ni Mo Salah

Ukija kwa strikers ndio baasi! Tuko na bigman kwa wale wapenzi wa mpira wa kikapu wanafahamu umuhimu wa bigman

Msimu huu kz wanayo,!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom