tatu -moja,ila sijapenda formation ya kipindi cha pili ya mourinho
dogo mzuri sana! ila bado ana uoga flani hivi, especially akirudishiwa mpira anakua na uoga wa kupiga mbele, badala y kuanza na mabeki wake hata kama hawana watu.hahaaaa..."Thibaut Courtois isn't my first choice for the rest of the season. He was my first choice today. The rest of the season? Who knows?"
dogo mzuri sana! ila bado ana uoga flani hivi, especially akirudishiwa mpira anakua na uoga wa kupiga mbele, badala y kuanza na mabeki wake hata kama hawana watu.
Grand PA
me too bro!" we need many goals, ........... kwa mechi y jana haikupaswa turidhike na magoli ma3!" tungetakiwa tushinde hata magoli 6.magoli mengi yanasaidia mwisho w msimu.
Grand PA
Chelsea have defenders who score, midfielders who score and now a striker who can score!
me too bro!" we need many goals, ........... kwa mechi y jana haikupaswa turidhike na magoli ma3!" tungetakiwa tushinde hata magoli 6.magoli mengi yanasaidia mwisho w msimu.
Grand PA
Uwe na amani mkuu Grand PA, hakuna timu imeshinda magoli zaidi ya matatu hadi sasa.
Kuhusu kufunga magoli mengi; nadhani itanoga zaidi kuwafunga Man Utd 5, Arsenal 8, Man City 6, na Liverpool 7 maana kuwafunga 'vigogo' kuna raha yake aisee. lakini kusema ukweli timu imecheza mpira mzuri sana..wacha tufurahie kwanza ushindi mengine baadae. Naona wapinzani wa Diego Costa kimyaaaaaaaaaa.:A S-eek:
kwahio MAN UTD ndio wagumu kidogo au wachovu unatuhurumia?? maanake sisi tu ndio 5-0 wengine 6.7.8!
aisee hamna mchezaji aliniuma kama FABREGAS kwenda Chelsea.....najua nini anaweza kufanya uwanjani na jana kaonyesha!
kwahio MAN UTD ndio wagumu kidogo au wachovu unatuhurumia?? maanake sisi tu ndio 5-0 wengine 6.7.8!
aisee hamna mchezaji aliniuma kama FABREGAS kwenda Chelsea.....najua nini anaweza kufanya uwanjani na jana kaonyesha!
sasa baada ya mechi ya jana unaweza kufananisha Sanchez na Diego Costa au Fabregas?
usajli wetu ulikuwa makini sana msimu huu. tumeziba tu mapengo ya msimu ulopita baasi; mashine iko sawa; hapa Hazard, pale Oscar; kule Schurrle...mara Ivanovic..qwi qwi alaf kwa dharau ya mpira Petr Cech anangoje benchi..two best goalkeepers.
mwanzo mgumu; lakini mtamkubali tu..huyu dogo anajua. salama kaka Grand PA, eti wewe si ulishauriwa uvae suruali siyo kushinda na hivyo kinguo? haa haha haha utani tu.
Uwe na amani mkuu Grand PA, hakuna timu imeshinda magoli zaidi ya matatu hadi sasa.
Kuhusu kufunga magoli mengi; nadhani itanoga zaidi kuwafunga Man Utd 5, Arsenal 8, Man City 6, na Liverpool 7 maana kuwafunga 'vigogo' kuna raha yake aisee. lakini kusema ukweli timu imecheza mpira mzuri sana..wacha tufurahie kwanza ushindi mengine baadae. Naona wapinzani wa Diego Costa kimyaaaaaaaaaa.:A S-eek:
Kwa wale walimlinganisha Diego Costa na wachezaji 'underground' nawasamehe kwa sababu imeonekana hadharani.
kwa chelsea ya sasa hamna timu yoyote kwenye wale big 4 watatusumbua,wategemee kupoteza mechi zao watakazokutana na sisi
Msamaha wako umesikika mkuu ......... tehtehtehteh