Wengine tulijifanya wamepata Garasa kwa Fabregas! Chelsea wanatisha Kama ukoma! hazard,Oscar,Fabregas na Mjerumani wote Assist hao na Costa ni mtemi wa mwili na anajuwa kukokota mpira wacha tu Morinho aseme timu zijitaharishe kuweka ma bus Morinho anaongea Kama alikuwa haweki Bus ila kiukweli anajuwa kujiamini Chelsea watasumbua sana lazima haki Yao tuwape, zaidi ukweli utakuja kujulikana baada 15 kwa timu asilimia kubwa.Nilisema Arsenal na Wenger walikosea kutomrudisha Fabregas. Bonge la pande alilotoa
66'
BUR 1 - 3 CHE
Drogba naona anapasha pasha nahisi anajiandaa kuingia
#Sipendi_nachopost_ila_basi_tuu
Pole sana mkuu,
Pole sana mkuu. vipi bado wana pack bus?66'
BUR 1 - 3 CHE
Drogba naona anapasha pasha nahisi anajiandaa kuingia
#Sipendi_nachopost_ila_basi_tuu
tehtehteh nimecheka sana kazi ndio kazi kaka wewe mtangazaji endelea tu utafanyaje maji yaoge tu haimanishi unaipenda Chelsea tupe matokeo kazi nzuri.66'
BUR 1 - 3 CHE
Drogba naona anapasha pasha nahisi anajiandaa kuingia
#Sipendi_nachopost_ila_basi_tuu
Pole sana mkuu. vipi bado wana pack bus?
tehtehteh nimecheka sana kazi ndio kazi kaka wewe mtangazaji endelea tu utafanyaje maji yaoge tu haimanishi unaipenda Chelsea tupe matokeo kazi nzuri.