Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Blac kid, kwa sasa hakuna timu inapenda kukaa bila mataji kwa muda mrefu. Hata Man Utd ndo maana wamemfukuza D.Moyes.
Hata Man City walimfukuza Mancini wakaleta MP, kwa hiyo kufukuza kocha ndo utamaduni wa sasa.

BACK TO THE TOPIC hata LIVERPOOL si wavumilivu hata kidogo; unakumbuka jinsi wamiliki kina Tom Hicks yaliyowapata wakati LFC iliposhindwa kufanya vizuri?

Nakukumbusha Blac kid.
1268742663-0003A07DA30F151E3120ACCDA%20%281%29.jpg

Fukuza fukuza haikatazwi Moyes alistahili kabisa kutoka bingwa hadi no.7 inamana hata europa hawashiriki hapana huwezi kuvumiliwa, lakini chelsea mpaka manager analeta kombe la ucl bado anafungashiwa virago, fukuza ya namna hii siiungi mkono!
 
:focus:

KUHUSU USAJILI WA CHELSEA FC KUFIKIA SASA;

1. Diego Costa, tunamhitaji huyu. Tangu ameondoka Didier Drogba bado tunahangaika kupata mshambuliaji anayeweza kufunga magoli 20 au zaidi katika msimu mmoja. Tayari Eto'o tumempa mkono wa kwa heri. Bado tunao Lukaku, Torres na Ba. lazima kuna wawili itabidi waende zao iwe ni kwa mkopa au jumla kabisa. Torres ametoa mchango wake kwa kadiri ya uwezo wake wa sasa. tunamshukuru sana lakini sasa ni wakati wa kutazama mbele. Huu ni wakati wa kuwa na Costa as our number one striker. Diego kazoea mpira wa 'direct football' ambao haupishani sana na mtindo wetu hapa CFC. Kwa hiyo Diego ni kwa ajili ya kutibu ugonjwa wetu wa kuwa na mshambuliaji tishio.

2. Cesc Fabregas, huyu jamaa amekuja kuziba pengo la Frank Lampard, ambaye ameondoka Chelsea Fc kwa heshima zote.:hail:
Fabregas ana uwezo, umri na akili ya kuweza kuziba pengo hilo haraka sana.. pale kati kwenye namba 6 na 8 itakuwa: Matic na Febragas,
Timu itaimarika sana msimu ujao. sasa ndo maana mkuu Viol ameanza kufurahia mapema..umeelewa sasa Blac kid?:couch2:

Hahahahaha! Unajua nimekoment vile sababu yaani nyie kumvuta tu fabregas na costa tayari mmejiona mmekula bingo lakini nawaambia huyo costa wenu mtamchukia kama mnavyomchukia torres teh teh teh!
 
ndo maana wewe ni LIVERPOOL na mimi CHELSEA FC.



Fukuza fukuza haikatazwi Moyes alistahili kabisa kutoka bingwa hadi no.7 inamana hata europa hawashiriki hapana huwezi kuvumiliwa, lakini chelsea mpaka manager analeta kombe la ucl bado anafungashiwa virago, fukuza ya namna hii siiungi mkono!
 
Gerrard Houllier alifukuzwa LIVERPOOL FC, mbona hata yeye aliwapeni kombe la UEFA EUROPA LEAGUE?
Fukuza fukuza haikatazwi Moyes alistahili kabisa kutoka bingwa hadi no.7 inamana hata europa hawashiriki hapana huwezi kuvumiliwa, lakini chelsea mpaka manager analeta kombe la ucl bado anafungashiwa virago, fukuza ya namna hii siiungi mkono!
 
USAJILI wenu mwaka huu umekaa ki-Tottenham tottenham tu..maana mnajaza wachezaji wengi wanaocheza kiungo na ushambuliaji.
mfano: Lambert na Lallana wanacheza ushambuliaji, eeh? sasa kuna Sturridge, Rahim, Iago Aspas ..mmesahau kwamba chanzo cha shida zenu ni ulinzi na kiungo mkabaji?

hebu tuambie sasa mmejipangaje kukabilana na mambo ya kuteleza[SG], kujifunga[skirtel] na kutoa pasi kwa maadui[kolo toure]?

Si kwamba anarundika viungo unajua squad ya lfc ni finyu sana nyie mnawachezaji kibao nadhani hata kikosi chenu cha 3 kinaweza kusumbua ligi tuna tatzo la fullback mpaka sasa hakuna cha maana kilchofanyika Moreno na lovren wamesikika sana kwenye media ila hadi sasa bado hawajawa the reds namuamini BR kocha bora kwa sasa England mpaka dirisha linakuja kufungwa atakuwa amesajili squad kali itakayochachafya akina Chelsea and others.
 
aisee? lini BR kapewa cheo cha ukocha bora wa ENGLAND? au nilipitwa na hiyo taarifa nini?

kwenye rangi ya blue mimi sina hata hofu..nasubiri tukutane kiwanjani..hapa GERRARD pale KOLO TOURE, kule SKIRTEL..kwa nini nisikufunge 4-0?:A S-eek:


Si kwamba anarundika viungo unajua squad ya lfc ni finyu sana nyie mnawachezaji kibao nadhani hata kikosi chenu cha 3 kinaweza kusumbua ligi tuna tatzo la fullback mpaka sasa hakuna cha maana kilchofanyika Moreno na lovren wamesikika sana kwenye media ila hadi sasa bado hawajawa the reds namuamini BR kocha bora kwa sasa England mpaka dirisha linakuja kufungwa atakuwa amesajili squad kali itakayochachafya akina Chelsea and others.
 
Si kwamba anarundika viungo unajua squad ya lfc ni finyu sana nyie mnawachezaji kibao nadhani hata kikosi chenu cha 3 kinaweza kusumbua ligi tuna tatzo la fullback mpaka sasa hakuna cha maana kilchofanyika Moreno na lovren wamesikika sana kwenye media ila hadi sasa bado hawajawa the reds namuamini BR kocha bora kwa sasa England mpaka dirisha linakuja kufungwa atakuwa amesajili squad kali itakayochachafya akina Chelsea and others.

aliyechaguliwa na waingereza wenzake..kaitoa timu nafasi ya 7 hadi nafasi ya 3.
sisi tutasubiri uwanjani.

msimu huo huo ambao BR amepewa tuzo mambo yalikuwa hivi:

chelsea 2 - 1 liverpool[stanford bridge]
chelsea 2 -0 liverpool[anfield]

total:
chelsea 4 - 1 liverpool fc
 
BR ni kijana wetu, anajua CHELSEA FC ni wazazi wake..
kafundishwa na 'special one'..

article-2612160-1D515BAC00000578-118_634x473.jpg



Si kwamba anarundika viungo unajua squad ya lfc ni finyu sana nyie mnawachezaji kibao nadhani hata kikosi chenu cha 3 kinaweza kusumbua ligi tuna tatzo la fullback mpaka sasa hakuna cha maana kilchofanyika Moreno na lovren wamesikika sana kwenye media ila hadi sasa bado hawajawa the reds namuamini BR kocha bora kwa sasa England mpaka dirisha linakuja kufungwa atakuwa amesajili squad kali itakayochachafya akina Chelsea and others.
 
steve-clarke_1800597c.jpg


SC ni kijana wetu pia wa CHELSEA FC, alikuwa mchezaji wetu, kapteni wetu,
alikuwa msaidizi wa Jose, na hatimaye akaja kuwasaidieni ufundi wakati wa KD..

lazima utupe heshima...:cool2:




Hahahahahaha! Naona unatetea sana fukuza fukuza ya mrusi ngoja nikukumbie kidogo tutajumuika mida.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom