Kaeni humu mjifariji huyo maurinyo anamiaka 4 ya kusubiri for Tittle na vilevile ana miaka 7 ya kusubiri for ucl trophy sijui kama mrusi atamvumilia nakiona kiama cha maureen hapo darajani kipo karibu sana!!
vipi kwani kapteni wenu SG ameacha kuteleza uwanjani? maana mnaweza kusajili vizuri na kucheza vizuri, lakini mtakapokaribia kwenye ubingwa mtateleza tena.. ha aha ha ha ..