Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

huwezi kumfananisha rodriguez na costa,costa average sana


nani anamfananisha COSTA na RODRIGUEZ?

tupunguze ushabiki wa mchezaji kwa sababu ya mechi 7 tu.

Nilichosema mimi mkuu Dully Jr, ni kwamba macho ya CHELSEA FC yako kwenye kutafuta the 'lone striker' basi.
Kuhusu James kuwa bora kuliko Costa, huo ni mjadala mpya kabisa.

Au nikuulize, kama James Rodriguez ni bora sana kiasi hicho kwa nini Le Profeser AW asimsajili?

Bado hadi sasa Diego Costa anafaa kusajiliwa na Chelsea Fc.

sababu:
1.Chelsea inacheza karibu sana na Atletico Madrid.[costa hawezi kupata shida kucheza kwenye mfumo wa Chelsea fc, Hispania inafuata mfumo wa Barca ndio maana ameshindwa kung'aa kwenye kombe la Dunia.]
2.Costa ana nguvu na ni mshambuliaji msumbufu, jambo ambalo litamsaidia kwneye ligi ya Uingereza.

Acha James Rodriguez aende Real Madrid, sisi tuko bize na Diego Costa..:welcome:
 
483579773-filipe-luis-of-atletico-madrid-and-lionel-gettyimages.jpg


Huyu tunamfuatilia kwa nguvu kubwa; beki wa kushoto ana umri wa miaka 28 kwa sasa.
Beki mzoefu, raia wa Brazil, ila ATM wameng'ang'ania dau lake kwamba lazima Chelsea fc ilipe paundi M.19

Lakini yeye mwenyewe amewaomba viongozi wa timu yake 'washushe' dau lake ili aweze kujiunga CHELSEA FC.

Ikumbukwe kwamba kwa sasa Chelsea fC haina beki wa kushoto zaidi ya Cesar Azpilicueta. Tunamhitaji huyu jamaa.
 
483579773-filipe-luis-of-atletico-madrid-and-lionel-gettyimages.jpg


Huyu tunamfuatilia kwa nguvu kubwa; beki wa kushoto ana umri wa miaka 28 kwa sasa.
Beki mzoefu, raia wa Brazil, ila ATM wameng'ang'ania dau lake kwamba lazima Chelsea fc ilipe paundi M.19

Lakini yeye mwenyewe amewaomba viongozi wa timu yake 'washushe' dau lake ili aweze kujiunga CHELSEA FC.

Ikumbukwe kwamba kwa sasa Chelsea fC haina beki wa kushoto zaidi ya Cesar Azpilicueta. Tunamhitaji huyu jamaa.

yupi huyo tena?picha imekataa?au philipe luis?
 
Belgium 2 - 1 USA.[j.Green]
Kelvin De Bruyne.
Romelu Lukaku.


Hapo vipi?

De Bruyne anajua saana kijana yule. Inaonesha Chelsea ilifanya makosa kumuacha kirahisi kisa aliflop kwa mechi mbili tu. Mourinho aache kukurupuka na kuuza vipaji. Timu ya Ubelgiji inajengwa katika kijana huyu.
 
De Bruyne anajua saana kijana yule. Inaonesha Chelsea ilifanya makosa kumuacha kirahisi kisa aliflop kwa mechi mbili tu. Mourinho aache kukurupuka na kuuza vipaji. Timu ya Ubelgiji inajengwa katika kijana huyu.


Kufunga goli moja kunamfanya mtu kuwa mchezaji bora?
vipi, mbona hata Torres alifunga goli mechi vs Australia?

tulieni majirani..
 
Kufunga goli moja kunamfanya mtu kuwa mchezaji bora?
vipi, mbona hata Torres alifunga goli mechi vs Australia?

tulieni majirani..

Hapa umekurupuka maana sijazungumzia kufunga au swaumu nini?? Nimesema timu ya Ubeligiji inasimama juu ya kijana huyu!! Kama umetazama mechi zote tangu mzunguko utakubaliana nami. Chelsea ilifanya kosa kwa kumuhukumu dogo kisa alicheza chini ya kiwango mechi mbili tu. Wenye kuujua mpira wanaelewa nachosema, mtazame dogo huyu kwenye timu ya taifa.
 
Hapa umekurupuka maana sijazungumzia kufunga au swaumu nini?? Nimesema timu ya Ubeligiji inasimama juu ya kijana huyu!! Kama umetazama mechi zote tangu mzunguko utakubaliana nami. Chelsea ilifanya kosa kwa kumuhukumu dogo kisa alicheza chini ya kiwango mechi mbili tu. Wenye kuujua mpira wanaelewa nachosema, mtazame dogo huyu kwenye timu ya taifa.


unafikiri utasaidiwa ukianza kuleta ushabiki?

ulikuwa wapi wakati akicheza Chelsea fc, au wakati anacheza Bendesliga? Dogo Kelvin anajua lakini kuna tofauti kati ya kung'aa kwenye kombe la Dunia ambalo lina mechi 7 tu.

ligi mechi 38 + Fa Cup +Capitol one cup + Champions League...

acha mchezo na ligi kijana...hata kocha bora anapatikana kwenye ligi siyo timu ya taifa.
 
De Bruyne anajua saana kijana yule. Inaonesha Chelsea ilifanya makosa kumuacha kirahisi kisa aliflop kwa mechi mbili tu. Mourinho aache kukurupuka na kuuza vipaji. Timu ya Ubelgiji inajengwa katika kijana huyu.

kumbuka kwamba benchi zima la ufundi hufanya uamuzi, pia usisahau kwamba kuna mkurugenzi wa ufundi ambaye majukumu yake ni kumshauri Mourinho.

Kumbuka pia kwamba Jose Mourinho anamjua Kelvin De Bruyne kuliko wewe unavyomjua. Pia kumbuka kwamba mimi namjua vizuri huyo mchezaji kuliko wewe.

Mimi namkubali huyo mchezaji tangu aliposajiliwa Chelsea, lakini lazima utambue kwamba kwenye maisha ni muhimu kutofautisha urafiki na uwezo.
Unaweza kuwa mshabiki wa mchezaji fulani; lakini hiyo haimaanishi kwamba yeye ni bora kuliko wengine.

[h=2]Kevin De Bruyne's Characteristics[/h] [h=3]+ Strengths[/h] [TABLE="class: grid"]
[TR]
[TD] Crossing
[/TD]
[TD="align: right"] Very Strong [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Key passes
[/TD]
[TD="align: right"] Very Strong [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Passing
[/TD]
[TD="align: right"] Strong [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Dribbling
[/TD]
[TD="align: right"] Strong [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Taking set-pieces
[/TD]
[TD="align: right"] Strong [/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[h=3]- Weaknesses[/h] [TABLE="class: grid"]
[TR]
[TD] Tackling
[/TD]
[TD="align: right"] Very Weak [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Aerial Duels
[/TD]
[TD="align: right"] Weak [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Defensive contribution
[/TD]
[TD="align: right"] Weak
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
kumbuka kwamba benchi zima la ufundi hufanya uamuzi, pia usisahau kwamba kuna mkurugenzi wa ufundi ambaye majukumu yake ni kumshauri Mourinho.

Kumbuka pia kwamba Jose Mourinho anamjua Kelvin De Bruyne kuliko wewe unavyomjua. Pia kumbuka kwamba mimi namjua vizuri huyo mchezaji kuliko wewe.

Mimi namkubali huyo mchezaji tangu aliposajiliwa Chelsea, lakini lazima utambue kwamba kwenye maisha ni muhimu kutofautisha urafiki na uwezo.
Unaweza kuwa mshabiki wa mchezaji fulani; lakini hiyo haimaanishi kwamba yeye ni bora kuliko wengine.

Kevin De Bruyne's Characteristics

+ Strengths

[TABLE="class: grid"]
[TR]
[TD] Crossing [/TD]
[TD="align: right"] Very Strong[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Key passes [/TD]
[TD="align: right"] Very Strong[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Passing [/TD]
[TD="align: right"] Strong[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Dribbling [/TD]
[TD="align: right"] Strong[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Taking set-pieces [/TD]
[TD="align: right"] Strong[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

- Weaknesses

[TABLE="class: grid"]
[TR]
[TD] Tackling [/TD]
[TD="align: right"] Very Weak[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Aerial Duels [/TD]
[TD="align: right"] Weak[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Defensive contribution [/TD]
[TD="align: right"] Weak[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

have u ever critisized JOSE MOURINHO????
 
Ndiyo. Aliookuwa Real Madrid, baada ya Chelsea kuitoa Barca kwenye nusu fainali alisema hata hivyo Chelsa haitaweza kuchukua champions league vs Bayern..

But most of the time the guy is right..i like his focus in life..
have u ever critisized JOSE MOURINHO????


 
James Rodriguez anacheza ufaransa, kafunga magoli 9 msimu ulopita, kombe la dunia kafunga 5 = 14.
Diegto Costa anacheza hispania, kafunga magoli 27 msimu ulopita, champions league kafunga 8 = 35.

huenda nimesahau; lakini niambie nani anafaa kusajiliwa kwenye timu ya Chelsea fc inayohitaji mshambuliaji?
tuwe honest sometimes..



huwezi kumfananisha rodriguez na costa,costa average sana
 
unafikiri utasaidiwa ukianza kuleta ushabiki?

ulikuwa wapi wakati akicheza Chelsea fc, au wakati anacheza Bendesliga? Dogo Kelvin anajua lakini kuna tofauti kati ya kung'aa kwenye kombe la Dunia ambalo lina mechi 7 tu.

ligi mechi 38 + Fa Cup +Capitol one cup + Champions League...

acha mchezo na ligi kijana...hata kocha bora anapatikana kwenye ligi siyo timu ya taifa.

Hebu twende taratibu kaka. Keleta ushabiki unamaanisha nini?? Mimi ni shabiki wa mpira na ndio maana nimechangia hapa. Kuhusu dogo De Bruyne ni kwamba ni miongoni mwa vijana wadogo ambao timu ya Chelsea iliwanunua na kumuacha timu aliyonunuliwa kwa msimu wa 2012. Msimu uliofuata 2012/2013 alipelekwa kwa mkopo na alipoonekana amefuzu alirejeshwa Chelsea kwa ajili ya kuja kuchezea timu kubwa. Ila bahati yake mbaya akakutana na mtu asiyejua kuwajenga watoto kisaikolojia Mr. Mourinho ambaye dogo alipokosea mechi mbili tu Mourinho alitoka nje na kuanza kumponda na kumkatisha tamaa. Kama ilivyokuwa kwa Lukaku, dogo alikata tamaa na ikalazimika kumuuza kwa Paund 18m. Hebu nambie kijana aliyenunuliwa miaka miwili tu nyuma kwa paundi 7m anapouzwa kwa 18m je huyo ni mbovu??

Kuna kitu ambacho unatakiwa ukifahamu kaka. Mourinho anatatizo la kutowaamini vijana na ndio maana hivi sasa yuko busy kununua wachezaji wapya huku akiua vipaji zaidi ya 20 vilivyopelekwa kwa mkopo timu nyingine. Lukaku alipelekwa kwa mkopo na kufunga goli 17, je washambuliaji wote waliobaki Chelsea walifunga goli ngapi?? Leo hii Mourinho na hicho unachokiita wewe uongozi wa Chelsea umakazana kununua Coasta, mtu ambaye ni prone wa majeraha na atakuwa na muda mrefu wa kujiadabt kwenye ligi ya uingereza huku wakimuacha Lukaku ambaye sasa amekuwa na yuko katika hali nzuri.

I won't wonder kama akina Ake, Omruo, na vijana wengine wakaishia kupoteza ndoto zao. Timu ya Chelsea chini ya Mourinho ni timu inayotaka ushindi wa muda mrefu. I'm sure na msimu huu mtaambulia patupu. Ilikuwa ndio muda wa kuwarudisha vijana waje wacheze na kuwaamini. Ila ndio kwanza mnaongeza msururu wa mibabu.

Usitake kumweka Mourinho nje ya lawama hizi.
 
kumbuka kwamba benchi zima la ufundi hufanya uamuzi, pia usisahau kwamba kuna mkurugenzi wa ufundi ambaye majukumu yake ni kumshauri Mourinho.

Kumbuka pia kwamba Jose Mourinho anamjua Kelvin De Bruyne kuliko wewe unavyomjua. Pia kumbuka kwamba mimi namjua vizuri huyo mchezaji kuliko wewe.

Mimi namkubali huyo mchezaji tangu aliposajiliwa Chelsea, lakini lazima utambue kwamba kwenye maisha ni muhimu kutofautisha urafiki na uwezo.
Unaweza kuwa mshabiki wa mchezaji fulani; lakini hiyo haimaanishi kwamba yeye ni bora kuliko wengine.

Kevin De Bruyne's Characteristics

+ Strengths

[TABLE="class: grid"]
[TR]
[TD] Crossing [/TD]
[TD="align: right"] Very Strong[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Key passes [/TD]
[TD="align: right"] Very Strong[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Passing [/TD]
[TD="align: right"] Strong[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Dribbling [/TD]
[TD="align: right"] Strong[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Taking set-pieces [/TD]
[TD="align: right"] Strong[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

- Weaknesses

[TABLE="class: grid"]
[TR]
[TD] Tackling [/TD]
[TD="align: right"] Very Weak[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Aerial Duels [/TD]
[TD="align: right"] Weak[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Defensive contribution [/TD]
[TD="align: right"] Weak[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Hahahaha benchi la ufundi la Chelsea lilimjua zaidi Matic kabla ya kumuuza ila misimu miwili mbele likajua lilikosea na kumnunua kwa pesa zaidi ya mara tatu ya benchi hilo lilipomuuza.

Kuna siku mtataka tena kumnunua Luiz. Mnamuuza mtu aliyekuwa na mapenzi na timu kama Luiz hapo ndipo nimegundua Chelsea haina washauri wa maana. Najua utakuja na kigezo cha pesa, ila kuna icons wa timu ambao ni lazima kuwalinda. That's why akina Giggs wamestafia Manchester United.
 
Hebu twende taratibu kaka. Keleta ushabiki unamaanisha nini?? Mimi ni shabiki wa mpira na ndio maana nimechangia hapa. Kuhusu dogo De Bruyne ni kwamba ni miongoni mwa vijana wadogo ambao timu ya Chelsea iliwanunua na kumuacha timu aliyonunuliwa kwa msimu wa 2012. Msimu uliofuata 2012/2013 alipelekwa kwa mkopo na alipoonekana amefuzu alirejeshwa Chelsea kwa ajili ya kuja kuchezea timu kubwa. Ila bahati yake mbaya akakutana na mtu asiyejua kuwajenga watoto kisaikolojia Mr. Mourinho ambaye dogo alipokosea mechi mbili tu Mourinho alitoka nje na kuanza kumponda na kumkatisha tamaa. Kama ilivyokuwa kwa Lukaku, dogo alikata tamaa na ikalazimika kumuuza kwa Paund 18m. Hebu nambie kijana aliyenunuliwa miaka miwili tu nyuma kwa paundi 7m anapouzwa kwa 18m je huyo ni mbovu??

Kuna kitu ambacho unatakiwa ukifahamu kaka. Mourinho anatatizo la kutowaamini vijana na ndio maana hivi sasa yuko busy kununua wachezaji wapya huku akiua vipaji zaidi ya 20 vilivyopelekwa kwa mkopo timu nyingine. Lukaku alipelekwa kwa mkopo na kufunga goli 17, je washambuliaji wote waliobaki Chelsea walifunga goli ngapi?? Leo hii Mourinho na hicho unachokiita wewe uongozi wa Chelsea umakazana kununua Coasta, mtu ambaye ni prone wa majeraha na atakuwa na muda mrefu wa kujiadabt kwenye ligi ya uingereza huku wakimuacha Lukaku ambaye sasa amekuwa na yuko katika hali nzuri.

I won't wonder kama akina Ake, Omruo, na vijana wengine wakaishia kupoteza ndoto zao. Timu ya Chelsea chini ya Mourinho ni timu inayotaka ushindi wa muda mrefu. I'm sure na msimu huu mtaambulia patupu. Ilikuwa ndio muda wa kuwarudisha vijana waje wacheze na kuwaamini. Ila ndio kwanza mnaongeza msururu wa mibabu.

Usitake kumweka Mourinho nje ya lawama hizi.

Chelsea collected £103.1 million from the exits of Juan Mata (£37.1 million), Kevin De Bruyne (£16 million) and David Luiz (£50 million).
Incredibly, the Blues spent a supposed £103.1 million to purchase Nemanja Matic (£21 million), Mohamed Salah (£11 million), Kurt Zouma (£12.5 million), Diego Costa (£32 million) and Cesc Fabregas (£26.6 million).
 
Hebu twende taratibu kaka. Keleta ushabiki unamaanisha nini?? Mimi ni shabiki wa mpira na ndio maana nimechangia hapa. Kuhusu dogo De Bruyne ni kwamba ni miongoni mwa vijana wadogo ambao timu ya Chelsea iliwanunua na kumuacha timu aliyonunuliwa kwa msimu wa 2012. Msimu uliofuata 2012/2013 alipelekwa kwa mkopo na alipoonekana amefuzu alirejeshwa Chelsea kwa ajili ya kuja kuchezea timu kubwa. Ila bahati yake mbaya akakutana na mtu asiyejua kuwajenga watoto kisaikolojia Mr. Mourinho ambaye dogo alipokosea mechi mbili tu Mourinho alitoka nje na kuanza kumponda na kumkatisha tamaa. Kama ilivyokuwa kwa Lukaku, dogo alikata tamaa na ikalazimika kumuuza kwa Paund 18m. Hebu nambie kijana aliyenunuliwa miaka miwili tu nyuma kwa paundi 7m anapouzwa kwa 18m je huyo ni mbovu??

Kuna kitu ambacho unatakiwa ukifahamu kaka. Mourinho anatatizo la kutowaamini vijana na ndio maana hivi sasa yuko busy kununua wachezaji wapya huku akiua vipaji zaidi ya 20 vilivyopelekwa kwa mkopo timu nyingine. Lukaku alipelekwa kwa mkopo na kufunga goli 17, je washambuliaji wote waliobaki Chelsea walifunga goli ngapi?? Leo hii Mourinho na hicho unachokiita wewe uongozi wa Chelsea umakazana kununua Coasta, mtu ambaye ni prone wa majeraha na atakuwa na muda mrefu wa kujiadabt kwenye ligi ya uingereza huku wakimuacha Lukaku ambaye sasa amekuwa na yuko katika hali nzuri.

I won't wonder kama akina Ake, Omruo, na vijana wengine wakaishia kupoteza ndoto zao. Timu ya Chelsea chini ya Mourinho ni timu inayotaka ushindi wa muda mrefu. I'm sure na msimu huu mtaambulia patupu. Ilikuwa ndio muda wa kuwarudisha vijana waje wacheze na kuwaamini. Ila ndio kwanza mnaongeza msururu wa mibabu.

Usitake kumweka Mourinho nje ya lawama hizi.

1. Robben alipokuja Chelsea na kupata mafanikio alikuwa kijana au mzee?
2. Rafael Verane wa Real Madrid nani aliyemfanya ajulikane kwenye ulimwengu wa soka?
3. Kipi afadhali kwako kama mtu wa mpira, je kijana akae benchi au aende akacheze kwa mkopo?
4. Mpira wa sasa ni mgumu kwa sababu unataka matokeo ya haraka; huwezi kuwa na wachezaji wa UMITASHUMTA na ukategemea kuchukua ubingwa, ndo maana David Moyes amefukuzwa, mpira wa sasa ni biashara na matokeo kuliko enzi zile za mpira wa burudani tu.

Twendelee sasa, hoja kwa hoja.
 
Wafuatao ni wachezaji wa Chelsea walio nje na wataokwenda nje kwa mkopo;

1. Kurt Zouma (defender)
2. Christan Atsu (midfielde)
3. Matej Delac
3. Thibout Courtois
4. Wallace
5. Bertrand Traore
6. Ulises Davilla
7. Cristian Cuevas
8. Stpe Perica
9. Patrick Bamford
10. Tomas Kalas
11. Romelu Lukaku
12. Nathaniel Chalobah
13. Josh McEachran
14. Ryan Bertrand
15. Todd Kane
16. George Saville
17. Jhon Pirez
18. Victor Moses
19. Kenneth Omeruo
20. Billy Clifford
21. Marko Marin
22. Oriol Romeu
23. Patrick Van Aabholt
24. Gael Kakuta
25. Lucas Piazon
26. Milan Lalkovic
27. Thorgan Hazard

Pamoja na wachezaji wote hao, bado timu inaendelea kusajili na kusajili. Lini mdogo wetu nditi atapata nafasi ya kucheza first team?? Unataka kumnunua Fillipe Luis huku unampeleka kwa mkopo Kalas!! Hapo kuna akili kweli?? Unamuuza Luiz ili umnunue Fillipe!!

Ni ngumu sana kuitetea management ya kijinga kama ya Chelsea. When will these young men come to first team?? Hili ni Tatizo la Mourinho hata Real Madread alikuwa akilaumiwa kwalo. So disgusting.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom