super cup -1998, tulimchapa Real Madrid 1-0 na kubeba hiyo ndoo; ambayo majirani zetu ARSENAL FC wanaisikia tu.🙂
hahahahahahahah umenfurahsha sn mkuu August8 na hzo pc zk dah!
karibu sana mkuu.
ni muhimu kubobea kwenye mambo yote; mie najua mpira pia naijua chelsea fc nje ndani.
kazi yangu ni kuwaburudisheni na kuwakumbusheni tulikotoka.
CHELSEA FC - BLUE FOREVER.
Mkongwe JFH
![]()
[/QUOTE]celestine babayaro; cfc 1997-2005.
beki asiyekuwa na makeke..
[QUO
TE=agosti 8;9819721]![]()