Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Omeruo-in-Chelsea-TrAINING.jpg



kenneth omeruo ameongeza mkataba hadi 2018.
utazame ndo beki tegemeo wa NIGERIA.
 
Mkuu Ulimakafu. Chelsea fc ina wachezaji wengi na wa kutosha ambao wanacheza kwa mkopo kwenye timu nyingine mbalimbali. Msimu huu lengo la timu ni kusajili mshambuliaji mwenye uwezo wa kufikisha magoli 25 kwa msimu.

Wachezaji wa chelsea wanaocheza kwa mkopo wanazidi 22.[timu mbili hizo]

-thorgan hazard
-christian atsu
-patrick bamford
-jhon pirez
-ulises davila
-bertrand traore
-wallace
-thibaut courtois
-matej delac
-christian cuevas
-tomas kalas
-romelu lukaku
-lucas piazon
-moses
-ryan bertrand
-marko marin
Chelski niaje usajili?????????????
 
article-0-1ADB78BB000005DC-970_634x443.jpg


sasa huyu ndo WALLACE alishindwa kucheza msimu huu kwa sababu ya kibali cha kazi. Ikabidi apelekwe akacheze kwa mkopo.
Lakini huyu dogo ni beki nambari 2 hatari sana, aisee! CHELSEA FC haina haja ya kuwa na haraka kusajili msimu huu.
 
ElqVa.jpg


ulises davila- umri miaka 23, raia wa Mexico alisajiliwa na Chelsea fc; kwa sasa anacheza kwa mkopo bado.
Miaka 2 imebaki kwenye mkataba wake.
 
hupumziki?? wenzio tuna-enjoy WC


ha ha ah aha ha RRONDO za siku mkuu?

sijapata thread nzuri ya world cup ..nikaona bora nibaki hapa nyumbani kwangu, napita kuchungulia thread zingine nakuta watu wengi ambao si watu wa mpira ndo wanajadili ujinga ujinga, bora nibaki nyumbani..

si unaona tunajadili mambo mengi tu, hata ya WC tunajadili si unajua kuna vijana wetu wanawakilisha kule?

Karibu mkuu RRONDO.:tea:
 
ha ha ah aha ha RRONDO za siku mkuu?

sijapata thread nzuri ya world cup ..nikaona bora nibaki hapa nyumbani kwangu, napita kuchungulia thread zingine nakuta watu wengi ambao si watu wa mpira ndo wanajadili ujinga ujinga, bora nibaki nyumbani..

si unaona tunajadili mambo mengi tu, hata ya WC tunajadili si unajua kuna vijana wetu wanawakilisha kule?

Karibu mkuu RRONDO.:tea:

mkuu sio maneno hayo....watu tunatofautiana uwezo kwenye vitu vingi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom