Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

weka na wewe data zako au una shingo bila kichwa?🙂
Dah!!!

Kwa hizo data basi ungekuwa ni tajiri zaid ya Arsenal..coz tangu 2004 umebeba makombe mengi na mafanikio mengi zaid ya Arsenal!!!
 
FOCUS on your game tonight vs CP.

and please try to study before arguing with ME.

usikwepeshe hoja hapa!!

umetuletea Takwimu zako za usajili wa january tu..Matic na Salah, na Mauzo ya Mata..

Wakat this season pia, chini ya JM, mmeclose deals za kina willian, Schurrie, Van Ginkel, Etoo, Atsu, Zouma, Etc.
 
you are not serious .. nimekupa OFFICIAL REPORT ya finance ya team; unaleta porojo zako:

toa ripoti ya timu ya LFC NA HAO MASWAHIBA ZAKO ARSENAL kwa mwaka jana mlipata faida kiasi gani.

acha utoto MOSDEF.. nilifikiri huwa unasoma..kumbe wewe ni shabiki wa makelele tu? Pole sana..sina muda wa kujadili na wewe hadi uweke na wewe ripoti ya timu yako kwa mwaka jana..

sina haja ya kuweka report yangu ya mwaka jana wakati ranks za clubs tajiri Duniani zilizotolewa na Forbes tarehe 2 March mwaka huu zinajieleza wazi..#LFC ipo nafasi ya kumi...Chelshit nafasi ya 7 na Arsenal nafasi ya 4..hiyo ndo fact.

1. Madrid
2.Manure
3.Barcelona
4.Arsenal
5.Bayern Munich
6.Ac Milan
7.Chelsea
8.Juventus
9.Man city
10.Liverpool.

So according to #Forbes , hujampita Arsenal brother!!!!

Ombea apotee miaka 3 au mi4 kama Liverpool, deals na mikataba ipungue ndo umpite ndugu yangu..

Afu si ushasikia kuwa #LFC deals kibao zishaanza kurudi!!
 
sina haja ya kuweka report yangu ya mwaka jana wakati ranks za clubs tajiri Duniani zilizotolewa na Forbes tarehe 2 March mwaka huu zinajieleza wazi..#LFC ipo nafasi ya kumi...Chelshit nafasi ya 7 na Arsenal nafasi ya 4..hiyo ndo fact.

1. Madrid
2.Manure
3.Barcelona
4.Arsenal
5.Bayern Munich
6.Ac Milan
7.Chelsea
8.Juventus
9.Man city
10.Liverpool.

So according to #Forbes , hujampita Arsenal brother!!!!

Ombea apotee miaka 3 au mi4 kama Liverpool, deals na mikataba ipungue ndo umpite ndugu yangu..

Afu si ushasikia kuwa #LFC deals kibao zishaanza kurudi!!

list yako inaonyesha most valuable clubs.....sio income per annum....ukizungumzia income[turn over] kwa sasa 1.madrid 2.barca 3.bayern 4.man utd na kuendelea
 
list yako inaonyesha most valuable clubs.....sio income per annum....ukizungumzia income[turn over] kwa sasa 1.madrid 2.barca 3.bayern 4.man utd na kuendelea

Thanks kwa usahihisho..

Lakini still, bado Arsenal ni tajiri kuliko Chelshit!!
 
Thanks kwa usahihisho..

Lakini still, bado Arsenal ni tajiri kuliko Chelshit!!

Arsenal wako vizuri financially hilo liko wazi,ndio timu inaongoza kwa kuwa na 'cash' wana cash karibia sawa na timu zote za premier combine[kuna mahali nilisoma hii].
 
Wilian, Etoo, schurrie, Atsu, Zouma, Van ginkel, mliwanunua msimu gan???


acha kufikiri kwa ------ wewe matokeo yake unatuandikia kinyesi apa.,,jamaa anakupa transactions za dirisha dogo(mata na de bruyne out,,salah and matic in) we unamtajia kina hazard ambaye kashacheza misimu miwili,,taahira nini wewe?
 
Arsenal wako vizuri financially hilo liko wazi,ndio timu inaongoza kwa kuwa na 'cash' wana cash karibia sawa na timu zote za premier combine[kuna mahali nilisoma hii].

ndo maana huwa tunawaambia hawa chelsick,siku yule mrusi akifa na timu inakufa
 
ndo maana huwa tunawaambia hawa chelsick,siku yule mrusi akifa na timu inakufa

ndio maana UEFA ikaleta FFP[financial fair play] kila timu itumie kulingana na inavyoingiza sio aje sugar daddy wa kirusi au kiarabu amwage hela wanunue wachezaji ghali na mishahara mikubwa siku akiondoka timu haiwezi kujiendesha.
 
mimi nawashangaa mnabishania timu yenye hela,nyie mnanufaikaje na hizo hela? Bishanieni mpira bhana! Hata kama timu inatengeneza mkwanja mrefu kiasi gani,sisi mashabiki,hasa watz hatufaidiki chochote na hizo hela!
 
acha kufikiri kwa ------ wewe matokeo yake unatuandikia kinyesi apa.,,jamaa anakupa transactions za dirisha dogo(mata na de bruyne out,,salah and matic in) we unamtajia kina hazard ambaye kashacheza misimu miwili,,taahira nini wewe?

kuna jina la Hazard hapo??

acha kuvamia vitu ambavyo huelewi vilianza vipi!!!

Nmemtaja Hazard hapo??

Acha kupanic bro, soma kwanza vizuri ndo ucomment!!!
 
wewe kilaza ndo maana goli 3 zimerudi. tunazungumzia kupata hasara kwenye msimu si utajiri wa timu:

data zangu zinajieleza kilaza mkubwa kabisa wewe.:shock:
sina haja ya kuweka report yangu ya mwaka jana wakati ranks za clubs tajiri Duniani zilizotolewa na Forbes tarehe 2 March mwaka huu zinajieleza wazi..#LFC ipo nafasi ya kumi...Chelshit nafasi ya 7 na Arsenal nafasi ya 4..hiyo ndo fact.

1. Madrid
2.Manure
3.Barcelona
4.Arsenal
5.Bayern Munich
6.Ac Milan
7.Chelsea
8.Juventus
9.Man city
10.Liverpool.

So according to #Forbes , hujampita Arsenal brother!!!!

Ombea apotee miaka 3 au mi4 kama Liverpool, deals na mikataba ipungue ndo umpite ndugu yangu..

Afu si ushasikia kuwa #LFC deals kibao zishaanza kurudi!!
 
kuna jina la Hazard hapo??

acha kuvamia vitu ambavyo huelewi vilianza vipi!!!

Nmemtaja Hazard hapo??

Acha kupanic bro, soma kwanza vizuri ndo ucomment!!!


crystal palace kiboko yako njoo tena utoe mapovu..
 
not true..wape pole wenzako wamengoja kombe kwa miaka 25 sasa.😕
ndio maana UEFA ikaleta FFP[financial fair play] kila timu itumie kulingana na inavyoingiza sio aje sugar daddy wa kirusi au kiarabu amwage hela wanunue wachezaji ghali na mishahara mikubwa siku akiondoka timu haiwezi kujiendesha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom