Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

we jamaa bhana,huwa nakufananisha na wabunge wa ccm,unapenda sana kujitoa ufahamu! Kuna timu isiyo defend duniani?

Defend ni muhimu hakuna isiyopenda kukaba ila sio ukabaji Roba mpaka Striker naye anakuwa beki 5 huo ni ubakaji sikukaba mwengine umezidi unahitaji kufungiwa jela. Kaba kama wanavyofanya Chelsea muda mwingine inakuwa kama Norwich walivyofanya kwenu kaba mpaka inakuwa karaha ile. Penye kusifiwa lazima msifiwe unazi pembeni ila kwenye ukweli pia kuwepo namkubali kuchukua ukweli mbona wengine tunakubali?
 
LFC haiwezekani uruhusu goli 3 ndani ya dakika 12.

wewe huna mabeki..that's why niliesema LFC are made to play NETBALL. 🙂
we jamaa bhana,huwa nakufananisha na wabunge wa ccm,unapenda sana kujitoa ufahamu! Kuna timu isiyo defend duniani?
 
sisi tumekubali tangu mwanzo kwamba hatuna 'strikers' msimu huu.
mbona nyinyi hamkubali kwamba 'hamna mabeki'?

sisi tumejaza mabeki lakini hao hao mabeki walifunga magoli 2 pale ANFIELD tarehe 27 mwezi wa 4 mwaka 2014.:smile-big:
Defend ni muhimu hakuna isiyopenda kukaba ila sio ukabaji Roba mpaka Striker naye anakuwa beki 5 huo ni ubakaji sikukaba mwengine umezidi unahitaji kufungiwa jela. Kaba kama wanavyofanya Chelsea muda mwingine inakuwa kama Norwich walivyofanya kwenu kaba mpaka inakuwa karaha ile. Penye kusifiwa lazima msifiwe unazi pembeni ila kwenye ukweli pia kuwepo namkubali kuchukua ukweli mbona wengine tunakubali?
 
He seems to like parking BUS as well!


kwenye thread ya LFC analia lia kwmba hawana 'mabeki'.
akija hapa anajifanya hahitaji mabeki;

kasome nimeshakujibu; si uliuliza 'man management' ndo nini?
Kasome maneno ya beki wako GJ.🙂
 
article-2620891-1D97842D00000578-572_634x434.jpg


Our youth gave us something to smile about...
 
Maneno ya kocha wako Brendan Rodgers(mwanafunzi wetu huyu) baada ya kurudia kutazama mechi ya tarehe 27.

"I was disappointed with the result but after I watched the game back twice, I offered congratulations. Jose is a friend," he said.
Defend ni muhimu hakuna isiyopenda kukaba ila sio ukabaji Roba mpaka Striker naye anakuwa beki 5 huo ni ubakaji sikukaba mwengine umezidi unahitaji kufungiwa jela. Kaba kama wanavyofanya Chelsea muda mwingine inakuwa kama Norwich walivyofanya kwenu kaba mpaka inakuwa karaha ile. Penye kusifiwa lazima msifiwe unazi pembeni ila kwenye ukweli pia kuwepo namkubali kuchukua ukweli mbona wengine tunakubali?
 
sisi tumekubali tangu mwanzo kwamba hatuna 'strikers' msimu huu.
mbona nyinyi hamkubali kwamba 'hamna mabeki'?

sisi tumejaza mabeki lakini hao hao mabeki walifunga magoli 2 pale ANFIELD tarehe 27 mwezi wa 4 mwaka 2014.:smile-big:


Mkuu agosti 8 kwa hii Hoja yako hapa, wakija kukujibu na kukataa ujue ni wabishi tu!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu agosti 8 kwa hii Hoja yako hapa, wakija kukujibu na kukataa ujue ni wabishi tu!
kwanini ukweli ukataliwe mastriker mnao ni butu ila mabeki kweli wetu wanaubovu ndomana hao strikers butu wakafunga na ndomana sababu ya hao strikers mpo juu yetu au mpo wapi?
 
Last edited by a moderator:
kwanini ukweli ukataliwe mastriker mnao ni butu ila mabeki kweli wetu wanaubovu ndomana hao strikers butu wakafunga na ndomana sababu ya hao strikers mpo juu yetu au mpo wapi?


Pazi tulia wewe, NEWCASTLE watakuharibia utashangaa.
unaweza kukamata #3 ligi bado sana hii..oooh!:faint2:
 
Pazi tulia wewe, NEWCASTLE watakuharibia utashangaa.
unaweza kukamata #3 ligi bado sana hii..oooh!:faint2:
Sahauuuuu nitashangilia Chelsea mwaka ujao mzima kama kweli Newcastle akitufunga tukawa wa 3 au mta vote Pazi awe timu gani haitotokea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom