Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

juan mata kauzwa United kwa Paundi M.37
tumenunua Salah kwa M.11 + Matic kwa Matic M.22?

bado chenji imebaki.

NB; tumeuza Kelvin De Bruyne kwa M.18 kule Ujerumani.🙂
Umeuza wangapi na umenunua wangapi???
 
CFC kiboko ya LIVERPOOL, ARSENAL, MAN UTD, MAN CITY, SPURS, SOUTHAMPTON, kati ya hao hakuna aliyethubutu kupata ushindi msimu huu kwenye EPL.🙂
Tatizo linalokuja hapa ni kwamba, huo ubabe umekupa nini hasa???

Je umewapa kitu ambacho BOSS wenu alikuwa anakitarajia???
 
Tuhesabieni na zile pesa za Tor the Res basi ... ... .... .. khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ati kufika CL semi final mmetengeneza pesa nyingi .... .. .. ... . nicheke mie pesa ambazo hazina hesabu. Twambie basi mlihonga kiasi gani? I mean brown envelopes? Khe khe khe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Halafu we
Mentor ing ------ jifunze kujibu machwali ... ... ... ..

BTW wacha neni na kubadili majina kama vinyonga hoja zikiwashinda.
 
Anafikiri tuko kihasara KM hao wengine?

juan mata kauzwa United kwa Paundi M.37
tumenunua Salah kwa M.11 + Matic kwa Matic M.22?

bado chenji imebaki.

NB; tumeuza Kelvin De Bruyne kwa M.18 kule Ujerumani.🙂
 
We Wacha uko Ka shabiki Ka timu gani?


Tuhesabieni na zile pesa za Tor the Res basi ... ... .... .. khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ati kufika CL semi final mmetengeneza pesa nyingi .... .. .. ... . nicheke mie pesa ambazo hazina hesabu. Twambie basi mlihonga kiasi gani? I mean brown envelopes? Khe khe khe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Halafu we
Mentor ing ------ jifunze kujibu machwali ... ... ... ..

BTW wacha neni na kubadili majina kama vinyonga hoja zikiwashinda.
 
hawana jipya..
lfc tuliwatandika wameshika adabu yao:

mechi 2 tumewafunga goli 4 kwa 1. Tena hapo 'bila washambuliaji' subiri mwezi wa 8 msimu uanze.
cc. Mosdef
Walikua kutwa BR liver liver liver!

Tumekuja kwenu kimya mpk Leo! Gwamahala ndio kapotea kabisa!
 
wewe ulihongwa ngapi ili utolewe mapema?
Tuhesabieni na zile pesa za Tor the Res basi ... ... .... .. khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ati kufika CL semi final mmetengeneza pesa nyingi .... .. .. ... . nicheke mie pesa ambazo hazina hesabu. Twambie basi mlihonga kiasi gani? I mean brown envelopes? Khe khe khe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Halafu we
Mentor ing ------ jifunze kujibu machwali ... ... ... ..

BTW wacha neni na kubadili majina kama vinyonga hoja zikiwashinda.
 
kabla ya 2005:

FA CUP - 2000.
FA CUP - 1997.
SUPER CUP - 1998.
WINNERS CUP[EUROPA]- 1998.

unataka niweke list yote?

nimekuuliza epl title,sio makombe! Kama makombe hata sisi tumechukua mengi tu ndani ya hiyo miaka 24,we are just talking abt league titles,si umesema hatujachukua for 24 yrs? Ndo nimekuuliza kabla hamjachukua epl msimu ule,mlikaa miaka mingapi? Hilo ndo swali,haya naomba jibu bro..
 
kwa kukusaidia wewe na wenzako wengine ambao ni wavivu wa kufikiri::der:


kwenye mashindano ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE team zinapata pesa ya kutosha. Ndo maaan 'specialist in failure' mzee Wenger akipata top 4 tayari kashatulia...hana shaka.

kwenye hatua za makundi tu: kila timu hupata paundi M.8.6
kuna mapato yatokanayo na 'market - pool'
kuna mapato unapata ukicheza: ukishinda unapata paundi M.1, ukitoka sare paundi laki 5.
kuna mapato ya kufuzu kwenye hatua ya 16 bora: ambapo timu ikifuzu inapata M.3.5,
timu ikifuzu nusu final inapata pesa.
ikicheza fainali inapata pesa..

THAT'S BUSINESS.
🙂

MFANO MDOGO TU: msimu wa 2012/2013.
CHELSEA ilitolewa kwenye hatua za makundi tu. Lakini ilivuna juml aya Paundi milioni 30, na laki saba.

source: uefa.com
Tuhesabieni na zile pesa za Tor the Res basi ... ... .... .. khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ati kufika CL semi final mmetengeneza pesa nyingi .... .. .. ... . nicheke mie pesa ambazo hazina hesabu. Twambie basi mlihonga kiasi gani? I mean brown envelopes? Khe khe khe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Halafu we
Mentor ing ------ jifunze kujibu machwali ... ... ... ..

BTW wacha neni na kubadili majina kama vinyonga hoja zikiwashinda.
 
nimekuuliza epl title,sio makombe! Kama makombe hata sisi tumechukua mengi tu ndani ya hiyo miaka 24,we are just talking abt league titles,si umesema hatujachukua for 24 yrs? Ndo nimekuuliza kabla hamjachukua epl msimu ule,mlikaa miaka mingapi? Hilo ndo swali,haya naomba jibu bro..


epl title WAITING:

chelsea fc waiting for 4 yrs.
arsenal fc waiting for 10 yrs.
man utd just lost.
man city waiting for 2yrs.
liverpool fc waiting for 24 yrs.
 
epl title WAITING:

chelsea fc waiting for 4 yrs.
arsenal fc waiting for 10 yrs.
man utd just lost.
man city waiting for 2yrs.
liverpool fc waiting for 24 yrs.

Chelsea ya tatu kwa kusubiri!

Arsenal NA Liverpool hoi bin taaban!
 
Tuhesabieni na zile pesa za Tor the Res basi ... ... .... .. khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ati kufika CL semi final mmetengeneza pesa nyingi .... .. .. ... . nicheke mie pesa ambazo hazina hesabu. Twambie basi mlihonga kiasi gani? I mean brown envelopes? Khe khe khe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Halafu we
Mentor ing ------ jifunze kujibu machwali ... ... ... ..

BTW wacha neni na kubadili majina kama vinyonga hoja zikiwashinda.

Pesa za torres financially zilirudi kwenye mauzo ya jezi ila uwanjani ndo hajatoa output worth the price.

Pili sijawahi badili jina since 2008...lete hoja nyingine.
 
Tehtehteh jana sikubahatika kupita humu ndani but naona story ni zilezile za mtaka vyote kwa pupa.
Tehtehtehtehtehtehtehtehte!
Watu waliojitangaza Machampion kabla hawajawa machampion. Tehtehtehteh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom