Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

picha zaidi kutoka darajani,tuburudike Ntuzu agosti 8 Mentor

hazard switched off...and became hazardous!
Adrian-Lopez-011.jpg


duh KIMENUKA
Samuel-Etoo-and-Fernando--013.jpg


goal of the game
Arda-Turan-scores-014.jpg


not so special
Chelsea-fans-010.jpg
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu agosti 8 Mentor poleni sana,kufungwa ni sehemu ya mchezo, najua sasa hivi mtakuwa na hali gani maanake na mimi wiki mbili tu zilizopita nilipata maumivu hayo...usiwajali sana akina MosDef Baba Kelvin hao hawajui nini kinatokea kwenye mechi hiz wamezoea CAPITAL ONE.....PAMOJA.
 
Last edited by a moderator:
wale majamaa wa Picha wekeni picha sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ili watu tuburudike humu.
 
Maoni yangu : Chelsea hamna kocha, huwezi kumuweka azpiculeta namba 11 alafu a.cole namba 3 wakati hakucheza mechi nyingi tu za ligi so hakuwa katika kiwango kizuri hii ni kuonesha kwamba hakuwachukulia serious a.madrid kosa la pili huwezi kumuweka luiz middle na ramires wote wakabaji wakati oscar yupo benchi?? Katika mechi ambayo unahitaji ushindi na kushambulia Then hazard umchezeshe namba kumi hizo akili au matope? Alafu schurle unamwacha nje.
 
Burudaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaani.
 
ngoja tuwaumize kesho kutwa tuingie FINAL LISBON alaf tuone watasemaje.:smile-big:

yeah right....mnaenda LISBON kutembelea home kwa Mourinho kama alivyosema 'special one' kwenye press conference
 
Leo mmepatikana mlibakia kushangilia ushindi wa liver mkabweteka chezea UEFA wewe!!
 
jitihada haizidi uwezo mlistahili kufungwa.

Roho inauma sana, mwanzo tulipark basi letu vizuri. Akaja chizi akanyang'anya funguo na uchizi wake aliendesha kwa kasi ya ajabu.
Mwache akakutane na kibonde mwenzake fainali ataliona kombe lileeeeee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom