Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

duh watoto wa mjini wanasema KIMENUKA! jamaa wamefunga at crucial time!
 
Mkuu LEGE acha roho mbaya kwani hujui kuwa chelsea ndo mwakilishi pekee kutoka EPL.
Tuipe surpot kwa pamoja.

hakuna kitu kama hicho mkuu adui mwombee njaa muwakilishi pekee kwani mm mwingereza???
kwikwikwikwikwikwikwi umenifurahisha sana etimwakilishi pekee wa nini au nani??

mm ni Liverpool wewe ni Chelsea sasa mim mshabiki WA Liverpool Chelsea inanihusu nini??
 
Last edited by a moderator:
Half tym bora behewa limenyanyuliwa na crane chelsea 1-1 Atm

na crane imegomea hukohuko juu na behewa lake fundi katoka kigoma kuja kulitengeneza mpaka afike mbona dk 90 zilishakwisha kitambo??
 
Mi nilikuwa nahisi sub sahihi ambayo mourinho angebidi aifanye ni kumtoa david luiz na aingie oscar apachangamshe pale kati.
 
hakuna kitu kama hicho mkuu adui mwombee njaa muwakilishi pekee kwani mm mwingereza???
kwikwikwikwikwikwikwi umenifurahisha sana etimwakilishi pekee wa nini au nani??

mm ni Liverpool wewe ni Chelsea sasa mim mshabiki WA Liverpool Chelsea inanihusu nini??

tupo pamoja mkuu kwenye kuiombe achelsea kila la shari.
 
Akina Etoo wameathirika kisaikolojia akili zao zimekaa kibehewa behewa maureen kaamuru waondoe behewa ye bado kasima madhara yake ndo hayo mabeki ndo wazoefu kuondoa mipira hatari ndani ya box yeye kakazana kubutua ndo ivo sasa daraja limevunjwa mkome na mabehewa yenu!!
 
jamani kwema humu!!!?? Ntuzu na agosti 8 nimepita tu kuwasalimu....wacha mimi niende mtaa wa saba

updates from stamford bridge chelsea 1- ATM 3
 
Last edited by a moderator:
How do we call this??? Daraja la stamford bridge limezama,limesombwa na maji?? Limepasuka?? Limengolewa ??? Au limepigwa bomu??? Hhahhaha poor mourinho na mifumo yako mibovu. Poor plan poor sub and poor selection of players
 
mimi nilisema kwasababu mlicheza kwa ajili ya draw kule Spain ngoja tuwaone mkiwa kwenu mfunguke mtafute ushindi....
goli la tatu linanikumbusha enzi zangu za basketball nadundisha mpira kwenye back board halafu naurukia na ku-dunk sasa huyu kijana wa ATM kaamua kugongesha mpira kwenye mtambaa panya halafu kautokea na kumalizia,ufundi wa hali ya juu sijawahi kuona.

cc: Ntuzu agosti 8 Mentor
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom