Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

yani wakifika huku mtaani hatupumui, ni makelele mtindo mmoja, so far so good kwa Ntuzu kuweza kuegesha behewa la mwakiembe barabarani ila vijamaa vya atm vitapenya tu hata iwe kwa bodaboda haijalishi

Michelshit inaboa sana, imefanya game imekuwa MBAYA sana!!!!

UEFA, wawe wanaangalia aina hii ya mpira, unapoteza ile ladha ya usiku wa UCL..

mpira gani, kama unaangalia gwaride bwana!!!
 
Last edited by a moderator:
gombania goli,
mm napendekeza maurin afukuzwe,yan nauza usingizi kwa mpira wa ksngr
 
Jamani wapenzi wa EPL ipeni support the blues kwani ndo mwakilishi pekee wa EPL kha.
 
Kaka, unaangalia match, nnayoangalia mimi???

kaka tunaangalia wote chelsea wamewezakukaba nafasi na atletico hawawezi kuwafunga chelsea kwa style waliyoanza nayo unaweza uka ona chelsea hawachezi ila ATM wamekosa mbinu ya tatu
 
Ni dk 45 za kufa na kupona kwa atm wakat chs wanapambana kuweka makontena bandarini, wacha tuone
 
Nafikiri timu kama chelsea zisiwe zinaruhusiwa kucheza uefa maana wanaharibu ladha ya soka
 
kaka tunaangalia wote chelsea wamewezakukaba nafasi na atletico hawawezi kuwafunga chelsea kwa style waliyoanza nayo unaweza uka ona chelsea hawachezi ila ATM wamekosa mbinu ya tatu


Bora umwambie Wewe atakuelewa!
 
kaka tunaangalia wote chelsea wamewezakukaba nafasi na atletico hawawezi kuwafunga chelsea kwa style waliyoanza nayo unaweza uka ona chelsea hawachezi ila ATM wamekosa mbinu ya tatu

Kaka, kwa huu mpira wanaocheza Chelshit, team yoyote ile Ingekosa mbinu M-badala..yaan huku kupaki basi kumezidi..

Game inaonesha haina ushindan wala msisimko wowote ule..Chelshit wanacheza mpira wa kizamani sana!!

Watu wanataka kuona ile ladha ya mpira, yaan kile kitu kilichofanya mpk watu wakauita mchezo huu "soccer"

Asa hapo unaangalia mpira, au mazoezi ya wanajeshi jinsi ya kujihami..

That's not Football!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom