Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

RED: Hapo kwenye red ndo tunapokuona wewe ni #Mbulumundu , I'm sorry...Ujue kwanini nasema hivyo, kwakuwa baada ya game inapokuwa matokeo tofauti na unavyotaka wewe basi visingizio vinakuwa vingi, mara Ooh watakuja nyumbani, mara refa....na longo nyingine. Yaani hapo (red) unajisahaulisha kwamba mpira ni 90 mins na ofcoz 3 outcomes are expected. Tunakushangaa sana, Huo ulazima wa nyie kushinda upo wapi?
Msiwapimie watoto wa Simeone wale, anything can happen on the pitch bro..."You are little blind bro..."


Khe Khe Khe Khe Khe

Timu yetu imejengwa kwa Ushindi na si kupoteza!

Khe Khe Khe Khe

Sizinga tuko na sababu zote za Kusema hivyo coz we are the team with special spirit!
 
Last edited by a moderator:
Nyie mnasajili vikongwe/Mababu kwa pesa ndefu unategemea soka la vijana utaliweza kutawala EPL? Sahau bro!! Akina Sterling si unawaona wanavyoongoza jahazi vizuri....Nasikitika sana tulikuwa na majeruhi wengi akina Ramsey, ndo tukapotea!! Ila tunajipanga next season, ngoja tuchukue FA kwanza tuwakate kilimi. agosti 8


Khe Khe Khe Khe

Sizinga umekuja kasi sn Mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Nyie mnasajili vikongwe/Mababu kwa pesa ndefu unategemea soka la vijana utaliweza kutawala EPL? Sahau bro!! Akina Sterling si unawaona wanavyoongoza jahazi vizuri....Nasikitika sana tulikuwa na majeruhi wengi akina Ramsey, ndo tukapotea!! Ila tunajipanga next season, ngoja tuchukue FA kwanza tuwakate kilimi. agosti 8


vikongwe gani?
Eto'o?

hivi jambo bora ni vikongwe au uwezo wa mchezaji?
Sasa huyo mtoto 'giroud' anakusaidia nini?

Wewe unataja eti akina Sterling wakati wewe ni mnazi wa ARSENAL au ndo unafiki wenyewe..taja makinda wako tuwajue. FYI. tuna makinda 23 wote wako kwa mkopo timu mbalimbali Ulaya.

Hazard, Oscar, Willian, Matic, Cesar, Schurrle wote hawa ni chini ya miaka 25.

Hakuna timu yenye vijana peke yao..labda kama unazungumzia CHELSEA UNDER 21 ambayo iliitoa ARSENAL FC kwenye mashindano hivi juzi juzi tu. au?
 
RED: Hapo kwenye red ndo tunapokuona wewe ni #Mbulumundu , I'm sorry...Ujue kwanini nasema hivyo, kwakuwa baada ya game inapokuwa matokeo tofauti na unavyotaka wewe basi visingizio vinakuwa vingi, mara Ooh watakuja nyumbani, mara refa....na longo nyingine. Yaani hapo (red) unajisahaulisha kwamba mpira ni 90 mins na ofcoz 3 outcomes are expected. Tunakushangaa sana, Huo ulazima wa nyie kushinda upo wapi?
Msiwapimie watoto wa Simeone wale, anything can happen on the pitch bro..."You are little blind bro..."

hapo kwenye 'watoto' red nilifikiri tunacheza na Atletico Madrid ya 'wakubwa' kumbe wamebadili wanaleta watoto? Basi tutashinda iwe isiwe.
 
Leo sitaki kumshambulia ndugu RRONDO.
Wako bize kutafuta kocha wa kudumu...kuna wakati RRONDO anakuwa mtu mstaarabu sana. Kuna siku amewahi kusema anapenda CHELSEA ichukue ubingwa siyo Liverpool; sijui kama ilikuwa "MIND GAMES"?🙂
Ktk siku ambayo umenifurahisha sn ni leo!

Mkuu RRONDO Arsenal wamekua na kauli zile zile kila siku!
 
Nyie mnasajili vikongwe/Mababu kwa pesa ndefu unategemea soka la vijana utaliweza kutawala EPL? Sahau bro!! Akina Sterling si unawaona wanavyoongoza jahazi vizuri....Nasikitika sana tulikuwa na majeruhi wengi akina Ramsey, ndo tukapotea!! Ila tunajipanga next season, ngoja tuchukue FA kwanza tuwakate kilimi. agosti 8

hapo kwenye kusajili vikongwe kwa pesa ndefu unaweza kutoa mfano hata mmoja?

vipi FLAMINI je, yeye ni chipukizi?



 
Leo sitaki kumshambulia ndugu RRONDO.
Wako bize kutafuta kocha wa kudumu...kuna wakati RRONDO anakuwa mtu mstaarabu sana. Kuna siku amewahi kusema anapenda CHELSEA ichukue ubingwa siyo Liverpool; sijui kama ilikuwa "MIND GAMES"?🙂


Ni kweli Mkuu!

Huyu leo ni wakumuonea huruma!
 
MUDA WANGU WA KUTAMBA KWENYE HILI JUKWAAA UNAZIDI KUKARIBIA...HAHAHAAAA, tehe teheheeee!!! agosti 8 , Ntuzu , Mourinho , kalou
Juzi kuna people zilikimbia hapa
 
Last edited by a moderator:
Glory Hunters (Chelsea FC) vs Specialists in Failure(Arsenal FC)
Chelsea kocha mpya tayari iko SEMI FINAL ya UCL.

Arsenal FC kikosi kimejengwa kwa miaka mingi FA CUP FINAL.🙂

New Coach who is buying the tropies by any cost....hahaaaaa!!!!
 
MUDA WANGU WA KUTAMBA KWENYE HILI JUKWAAA UNAZIDI KUKARIBIA...HAHAHAAAA, tehe teheheeee!!! agosti 8 , Ntuzu , Mourinho , kalou
Juzi kuna people zilikimbia hapa


Mkuu Sizinga Yani Karibu sn Mkuu! Utakimbia mwenyewe!

Yani Leo tangu asubuhi niko ktk jukwaa letu hili!

Angalia usije ukakimbia mwenyewe!

Na uzuri Hali ya hewa iko pouwa kabisa kwa Dar hakuna joto Wala baridi!

Na km utapenda nipe pm nikupe no zangu tuchonge live!

Khe Khe Khe Khe
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Sizinga Yani Karibu sn Mkuu! Utakimbia mwenyewe!

Yani Leo tangu asubuhi niko ktk jukwaa letu hili!

Angalia usije ukakimbia mwenyewe!

Na usury Hali ya hewa iko pouwa kabisa kwa Dar hakuna joto Wala baridi!

Na km utapenda nipe pm nikupe no zangu tuchonge live!

Khe Khe Khe Khe

vivpi utakuwa unaweka live updates au utakuwa uko glued on tv?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom