Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

lawama kwa Mike Dean ni katika pande zote mbili na siyo 1 tu.
By the way leo turejee Vicente Calderon na natarajia updates toka kwako na siyo kukimbilia darini.

Two hours go kabla hawaanza kutoa vijisababu!
 
Two hours go kabla hawaanza kutoa vijisababu!


Karibu sn Mkuu Gwamahala natumaini umekuja na ujumbe wako wote toka YNWA MosDef nguvu Baba Kelvin Mr. Wise magnificent na wengine wote kuja kushuhudia muwakilishi Wa EPL ktk CL Na bila Shaka kuangalia namna mtakavyoweza kuikabili Chelsea tarehe 27.

Khe Khe Khe Khe

Macho yetu ni kwa Torres Leo na J2 ni kwa Torres Coz kacheza kwenu nyote!
 
Last edited by a moderator:
Karibu sn Mkuu Gwamahala natumaini umekuja na ujumbe wako wote toka YNWA MosDef nguvu Baba Kelvin Mr. Wise magnificent na wengine wote kuja kushuhudia muwakilishi Wa EPL ktk CL Na bila Shaka kuangalia namna mtakavyoweza kuikabili Chelsea tarehe 27.

Khe Khe Khe Khe

Macho yetu ni kwa Torres Leo na J2 ni kwa Torres Coz kacheza kwenu nyote!

Kambi itakayopigwa humu ndani leo, haijawahi kutokea kwenye Thread yoyote ile...
 
Last edited by a moderator:
Kambi itakayopigwa humu ndani leo, haijawahi kutokea kwenye Thread yoyote ile...



Khe Khe Khe

Golini atakuwepo Cech

Beki kulia na kushoto atakuwepo Cole na Azp.

Beki za Kati km kawaida atakuwepo Terry na Cahill

Viungo vya Kati atakuwepo Luiz Na Lampard

Mbele kidogo kwa Viungo ni Schullre na Ramires na Willian

Mwisho kwa utupiaji atakaa Torres

Karibuni nyote Wakuu muweke kambi!
 
Khe Khe Khe

Golini atakuwepo Cech

Beki kulia na kushoto atakuwepo Cole na Azp.

Beki za Kati km kawaida atakuwepo Terry na Cahill

Viungo vya Kati atakuwepo Luiz Na Lampard

Mbele kidogo kwa Viungo ni Schullre na Ramires na Willian

Mwisho kwa utupiaji atakaa Torres

Karibuni nyote Wakuu muweke kambi!

hahahahaha!!!!

huyo Torres nahis utakuwa hata we mwenyewe umejiskia vibaya wakat unaandika hilo jina lake hapo!!!!
 
Khe Khe Khe

Golini atakuwepo Cech

Beki kulia na kushoto atakuwepo Cole na Azp.

Beki za Kati km kawaida atakuwepo Terry na Cahill

Viungo vya Kati atakuwepo Luiz Na Lampard

Mbele kidogo kwa Viungo ni Schullre na Ramires na Willian

Mwisho kwa utupiaji atakaa Torres

Karibuni nyote Wakuu muweke kambi!


Cech, Azplicueta, Cole, Terry, Cahill, Luiz, Mikel, Lampard, Ramires, Willian, Torres
 
Karibu sn Mkuu Gwamahala natumaini umekuja na ujumbe wako wote toka YNWA MosDef nguvu Baba Kelvin Mr. Wise magnificent na wengine wote kuja kushuhudia muwakilishi Wa EPL ktk CL Na bila Shaka kuangalia namna mtakavyoweza kuikabili Chelsea tarehe 27.

Khe Khe Khe Khe

Macho yetu ni kwa Torres Leo na J2 ni kwa Torres Coz kacheza kwenu nyote!

Mi nimeshakaribia Mkuu, kila la kheri kwa fans wa Blues wote, nangojea zile 90mins na za nyongeza zihamue sasa
 
To be honest kwa jinsi kikosi cha chelsea nilivyokiona leo sioni ni jinsi gani chelsea wanaweza kushinda mourinho kaenda kupaki basi yaani kumpanga obi,ramires na luiz ndan wote wacheze midle??
 
daaa tores mm huwa namhesabu kama ni kadi nyekundu yupo kama hayupo vileee.

all in all Leo mkigongwa hata kimoko tuu roho yangu itasuuzika Sana.

tena ikiwezekana mfungashwe viroba na vijifurushi vyenu mapemaaaa.
msitujazie inzi
 
Ntuzu ngoma hiyo imeanza, uwe sharp kwa updates sasa siyo kuzubaa.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom