Nenda kampe pole RRONDO yaani MAN UTD wasipotulia watakuwa 'average' waje tuwape somo jinsi ya kubadili makocha; na kupata mafanikio.
ha ha haha...
ha ha haha...
Team ndo ishapotea hiyo!!!!
Team ndo ishapotea hiyo!!!!
Nenda kampe pole RRONDO yaani MAN UTD wasipotulia watakuwa 'average' waje tuwape somo jinsi ya kubadili makocha; na kupata mafanikio.
ha ha haha...
Huyo Van Gaal wanayemtaka hata haogopeshi aisee!!!
DIEGO COSTA peke yake, atafanya usiku wa leo uwe mtulivuuuuuuu..
Teh Teh Teh Teh Teh Teh!!!
Natangaza kabisa ntakuwa upande wa ATM leo!!!!
Teh Teh Teh Teh Teh!!!!!!
Vaan Gaal ni bonge la kocha; si unajua rekodi yake mkuu?
MAN UTD wamezoea makocha 'wazee'. VAN GAAL is 10X better than Moyes.:smile-big:
Umechagua upande mzuri Mkuu!
Lkn Sisi ni timu ktk timu 19 za EPL!
Khe Khe Khe Khe
AHAHAHA...IF YOU UNDERSTAND..
![]()
Chelshit hata icheze na MAWE, ntashabikia MAWE..
Klopp na Simeone ndo wangenitisha sana!!!, coz ni vijana na wana uchu wa Mafanikio..
Van Gaal ni bora zaid ya Moyes, lakin Trust me yatakuwa ni yale yale Tu!!!!
Umechagua upande mzuri Mkuu!
Lkn Sisi ni timu ktk timu 19 za EPL!
Khe Khe Khe Khe
Sasa wewe unatakaje?
Kapteni wako SG alitaka Moyes abaki ili 'wapinzani' wenu waendelee kudhoofika.
Mbona unapingana na maneno ya kapteni?