Miaka 10?? Unauhakika?? Hao viwete na vigoli vyao hivyo hivyo vya kona unafikiri watabahatisha hivyo hivyo kila siku.Viwete, wakati una miaka zaidi 10 hujamfunga, na msimu huu ushakutana nae tayari mara 3 na mara 2 umepasuka
Miaka 10?? Unauhakika?? Hao viwete na vigoli vyao hivyo hivyo vya kona unafikiri watabahatisha hivyo hivyo kila siku.Viwete, wakati una miaka zaidi 10 hujamfunga, na msimu huu ushakutana nae tayari mara 3 na mara 2 umepasuka
Agosti, 22 - 2021 nyumbani kwenu tuliwafumua 2-0Viwete, wakati una miaka zaidi 10 hujamfunga, na msimu huu ushakutana nae tayari mara 3 na mara 2 umepasuka
Wengi wa wanaoichukulia poa Chelsea ni walioanza kushabikia miaka ya 2015. Hawajaiona Chelsea ya asali na maziwaConfidence, wanapokuwa kwenye timu ndogo wanakuwa na confidence kubwa kwa sababu ni timu ndogo, matarajio madogo, presure ndogo
Wanapokuja kwenye litimu lenye matarajio makubwa kama Chelsea panic inawatawala ahat wanapolala usiku, hawalali vizuri. Sisi mashabiki tu ndio tunaidharau Chelsea ila Chelsea ni lijitu likuwa ambalo hawa vijana wadogo wakifika pale kwanza hawaamini kama wamesajiliwa Chelsea
Wewe ni mfano wa mashabiki waliojichokea, hakuna matumaini tenaTHE BLUES ya sasa hivi imexpire
Hapo ndio utajua kuwa Chelsea bado inatakiwa kuingia sokon baada ya kutumia zaidi ya 2bnSub anayejitambua kisoka ni Pedro neto tuu, Hao wengine n wachovu wengine n wala mishahara ya bure.
Ngapi Jackson katoa nje mipira ya jinsi hiyoIle tap in aliyokosa Palmer angekuwa ni Jackson kamati ya lugha chafu ingekaa kikao cha dharula
Mfululizo wa makosa ndio sababuIle tap in aliyokosa Palmer angekuwa ni Jackson kamati ya lugha chafu ingekaa kikao cha dharula