Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ni mtazamo tu

Mechi ya leo haikuwa mbaya, approach ya kocha kwenye mechi ilikuwa ina tija na namuelewa kwa ile lineup aliyoanza nayo kwa sababu margin ilikuwa ndogo sana tofauti ya goli moja ukicheza kidogo tu inabadilika na mlima unakuwa mkubwa zaidi kuupanda ndo maana naona kocha alilenga kuhakikisha matokeo yanabaki at least vile vile kwa hata kipindi cha kwanza chote then ndo aingize zile silaha zake yaani palmer na toto tundu

Sehemu ambayo nakubaliana na mzee wa takataka na moja kwa moja hii itamaanisha napingana kidogo na kocha ni kwa john cena delap, jamaa kiukweli kiwango bado na ule upande ulifaa sana mtu hatari toka mwanzo, japo kwa namna nyengine pengine kumuanzisha estevao ambaye hakuwepo na timu kwa siku kadhaa kutokana na changamoto za kifamilia labda kisaikolojia hakuwa fresh ndo maana hakuweza kuanza naye kule kwa delap ila bado binafsi naamini kule angeanza mtu mwengine huenda angeoffer kitu kizuri zaidi

All in all hatuko mbali sana na nchi ya ahadi, na kocha naamini sio mbaya japo binafsi naendelea kumuasses na so far so good, zile nafasi za enzo alizopaisha zile kama tatu hivi angekutana nazo caicedo zileee anyways blue is the color wanangu upchelsea👊
Yaani pale angekuwepo Diego Moreira angekuwa bora sana kuliko Delap, sioni huyu dogo akija kuwa striker mzuri. Amekaa kichampionship ship vile
 
Yaani pale angekuwepo Diego Moreira angekuwa bora sana kuliko Delap, sioni huyu dogo akija kuwa striker mzuri. Amekaa kichampionship ship vile
Mi huwa najiuliza hawa madogo wanashindwa kumuangalia tu hata Jamie Vardy alivyokua katili mbele ya goli. Delap sijategemea angekua hivi alivyo saivi ukilinganisha na alivyokua msimu uliopita Ipswich.
 
Ni mtazamo tu

Mechi ya leo haikuwa mbaya, approach ya kocha kwenye mechi ilikuwa ina tija na namuelewa kwa ile lineup aliyoanza nayo kwa sababu margin ilikuwa ndogo sana tofauti ya goli moja ukicheza kidogo tu inabadilika na mlima unakuwa mkubwa zaidi kuupanda ndo maana naona kocha alilenga kuhakikisha matokeo yanabaki at least vile vile kwa hata kipindi cha kwanza chote then ndo aingize zile silaha zake yaani palmer na toto tundu

Sehemu ambayo nakubaliana na mzee wa takataka na moja kwa moja hii itamaanisha napingana kidogo na kocha ni kwa john cena delap, jamaa kiukweli kiwango bado na ule upande ulifaa sana mtu hatari toka mwanzo, japo kwa namna nyengine pengine kumuanzisha estevao ambaye hakuwepo na timu kwa siku kadhaa kutokana na changamoto za kifamilia labda kisaikolojia hakuwa fresh ndo maana hakuweza kuanza naye kule kwa delap ila bado binafsi naamini kule angeanza mtu mwengine huenda angeoffer kitu kizuri zaidi

All in all hatuko mbali sana na nchi ya ahadi, na kocha naamini sio mbaya japo binafsi naendelea kumuasses na so far so good, zile nafasi za enzo alizopaisha zile kama tatu hivi angekutana nazo caicedo zileee anyways blue is the color wanangu upchelsea👊
Hizo chances za Enzo, ukumbuke pia na wasted chances za longballs 2 alizopata Martineli na ya fofana kuokoa Kwa kiwiko Cha mkono Kona vipi na zenyewe zingezaa goli au magoli. Ile claim ya penalty Kwa Martineli kwngu naona ni Sahihi haikuwa penati sababu beki alianza kucheza mpira
 
Delap
Gittens
Hato
Garnacho
Haya ni matakataka Pro max...yaliyosajiliwa msimu uliopita.... note; matakataka ni mengi sana hapo darajani, nimezungumzia usajili uliopita tu (summer)

Haya huyu Estevao, ngoja tumuangalie sio yule aliyekuwa anaimbwa wonder kid ..... awe makini sana, ancelot anaweza asimuite na akiumuita ataishia benchi
 
James hayupo tena
Wolves vs Chelsea

4-2-3-1

--Joao Pedro--

Neto --- Enzo (C) --- Palmer

Santos --- Caicedo

Cucurella — Chalobah — Fofana — Gusto

--Sánchez--

Bench
  • Sharman‑Lowe
  • Acheampong
  • Badiashile
  • Sarr
  • Hato
  • Garnacho
  • Estevão
  • Delap
  • Guiu
 
Bila penati huyu chali ni hewa
Cole Palmer amekuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya Premier League kufunga hat-trick tatu kabla ya kipindi cha mapumziko.

1770484242528.png
 
February yote Chelsea ina mteremko
  1. Chelsea vs Leeds United — Tue 10 Feb 2026, 22:30 EAT (Nyumbani)
  2. Chelsea vs Burnley — Sat 21 Feb 2026, 18:00 EAT (Nyumbani)
Ila kuanzia March tarehe moja tutaanza na revenge
  1. Arsenal vs Chelsea — Sun 1 Mar 2026, 19:30 EAT (Ugenini)
  2. Aston Villa vs Chelsea — Wed 4 Mar 2026, 22:30 EAT (Ugenini)
  3. Chelsea vs Newcastle United — Sat 14 Mar 2026, 20:30 EAT (Nyumbani)
  4. Everton vs Chelsea — Sat 21 Mar 2026, 20:30 EAT (Ugenini)
 
Siku hizi narratives za clean sheets zimefutwa.

Kimahesabu mtu wa kumi hadi wa sita wanaweza kushika nafasi ya nne au ya tano.

Kazi mnayo wanetu
 
Delap hajawahi kuwa mzuri.
Mi huwa najiuliza hawa madogo wanashindwa kumuangalia tu hata Jamie Vardy alivyokua katili mbele ya goli. Delap sijategemea angekua hivi alivyo saivi ukilinganisha na alivyokua msimu uliopita Ipswich.
 
Bado huja sema, matakataka ni mengi sana pale Chelsea. Ubaya ni kuwa huwa nikiwambia ukweli mnakataa, nyinyi wenyewe mtakubali tu.
Yaani pale angekuwepo Diego Moreira angekuwa bora sana kuliko Delap, sioni huyu dogo akija kuwa striker mzuri. Amekaa kichampionship ship vile
 
Mi huwa najiuliza hawa madogo wanashindwa kumuangalia tu hata Jamie Vardy alivyokua katili mbele ya goli. Delap sijategemea angekua hivi alivyo saivi ukilinganisha na alivyokua msimu uliopita Ipswich.
Kuna mtu mmoja kasema huwa kuna wachezaji wa timu kubwa na wale wa timu ndogo. Ukikosea yule wa timu ndogo ukamleta kwenye timu kubwa hawezi kuc heza vizuri kabisa kwa sababu ya presure.
Msemo wa wahenga
"Jogoo wa shamba hawezi wika mjini"
Delap, Gittens, Garnacho. Hato ni wachezaji wazuri ila wamewahishwa mjini. Walitakiwa wabaki shamba kwanza wajifun ze kulima kitunguu na dengu wakishakomaa ndio waje mjini. Sasa presure ya maisha ya mjini inawapoteza kabisa. Msimu ujao wote utasikia wanakwenda mkopo
 
Kuna huo mwezi wa3, bora tufungwe na wote. Ila sio hao viwete. Huyo kocha mvaa miwani aambiwe kbs.
20260208_202624.jpg
 
Kuna huo mwezi wa3, bora tufungwe na wote. Ila sio hao viwete. Huyo kocha mvaa miwani aambiwe kbs.
View attachment 3541259
Mwezi wa tatu na wa nne utakuwa mgumu kwa Chelsea na ndio miezi ya kubaki au kuondolewa kwenye top 4
Tunahitaji points 20+ ili tubaki kwenye top 4

February 2026
  • Tue 10 Feb — Chelsea vs Leeds United (Premier League)
  • Fri 13 Feb — Hull City vs Chelsea (FA Cup)
  • Sat 21 Feb — Chelsea vs Burnley (Premier League)
March 2026
  • Sun 1 Mar — Arsenal vs Chelsea (Premier League)
  • Wed 4 Mar — Aston Villa vs Chelsea (Premier League)
  • Sat 14 Mar — Chelsea vs Newcastle United (Premier League)
  • Sat 21 Mar — Everton vs Chelsea (Premier League)
April 2026
  • Sat 11 Apr — Chelsea vs Manchester City (Premier League)
  • Sat 18 Apr — Chelsea vs Manchester United (Premier League)
  • Sat 25 Apr — Brighton vs Chelsea (Premier League)
May 2026
  • Sat 02 May: Chelsea vs Nottingham Forest (Premier League, 15:00) – Stamford Bridge
  • Sat 09 May: Liverpool vs Chelsea (Premier League, 15:00) – Anfield
  • Sun 17 May: Chelsea vs Tottenham Hotspur (Premier League, 15:00) – Stamford Bridge
  • Sun 24 May: Sunderland vs Chelsea (Premier League, 16:00) – Away (Final day of the season)
 
Timu ya Mbwana Samatta yaifunga timu yetu dada ya Strasbourg hapo jana
1770605428507.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom