GITWA
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,720
- 2,048
Hizo ni hisia za kuipenda timu,Oya dingi lina lia.
View attachment 3538964
Hizo ni hisia za kuipenda timu,Oya dingi lina lia.
View attachment 3538964
Naona marehemu ume fufuka, shida nakupiga urudi kulala.Hizo ni hisia za kuipenda timu,
Mnashangilia kuingia final wakati wenzenu huwa tunashangilia kuchukua makombe ya world wide & Europe. Poleni sana. BTW tukutane jukwaa letu pedwa unipe kigongo kingine cha kupotezea mawazoNaona marehemu ume fufuka, shida nakupiga urudi kulala.
Wewe makalio yapo kichwani halafu makalioni ndio kuna kichwa, Bure kabisa.Kaka Arsenal wapo vizuri. Ile timu imeundwa aseeh, jamaa wanajua kuzuia, kurudisha umiliki, kubadilika haraka kutoka kushambuliwa kuja kushambulia.
Kwahiyo unachosema ni kweli kabisa Uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti
Yaani pale angekuwepo Diego Moreira angekuwa bora sana kuliko Delap, sioni huyu dogo akija kuwa striker mzuri. Amekaa kichampionship ship vileNi mtazamo tu
Mechi ya leo haikuwa mbaya, approach ya kocha kwenye mechi ilikuwa ina tija na namuelewa kwa ile lineup aliyoanza nayo kwa sababu margin ilikuwa ndogo sana tofauti ya goli moja ukicheza kidogo tu inabadilika na mlima unakuwa mkubwa zaidi kuupanda ndo maana naona kocha alilenga kuhakikisha matokeo yanabaki at least vile vile kwa hata kipindi cha kwanza chote then ndo aingize zile silaha zake yaani palmer na toto tundu
Sehemu ambayo nakubaliana na mzee wa takataka na moja kwa moja hii itamaanisha napingana kidogo na kocha ni kwa john cena delap, jamaa kiukweli kiwango bado na ule upande ulifaa sana mtu hatari toka mwanzo, japo kwa namna nyengine pengine kumuanzisha estevao ambaye hakuwepo na timu kwa siku kadhaa kutokana na changamoto za kifamilia labda kisaikolojia hakuwa fresh ndo maana hakuweza kuanza naye kule kwa delap ila bado binafsi naamini kule angeanza mtu mwengine huenda angeoffer kitu kizuri zaidi
All in all hatuko mbali sana na nchi ya ahadi, na kocha naamini sio mbaya japo binafsi naendelea kumuasses na so far so good, zile nafasi za enzo alizopaisha zile kama tatu hivi angekutana nazo caicedo zileee anyways blue is the color wanangu upchelsea👊
Bora akili zianze kuwarudi... delap ni takataka...Yaani pale angekuwepo Diego Moreira angekuwa bora sana kuliko Delap, sioni huyu dogo akija kuwa striker mzuri. Amekaa kichampionship ship vile
Mi huwa najiuliza hawa madogo wanashindwa kumuangalia tu hata Jamie Vardy alivyokua katili mbele ya goli. Delap sijategemea angekua hivi alivyo saivi ukilinganisha na alivyokua msimu uliopita Ipswich.Yaani pale angekuwepo Diego Moreira angekuwa bora sana kuliko Delap, sioni huyu dogo akija kuwa striker mzuri. Amekaa kichampionship ship vile
Hizo chances za Enzo, ukumbuke pia na wasted chances za longballs 2 alizopata Martineli na ya fofana kuokoa Kwa kiwiko Cha mkono Kona vipi na zenyewe zingezaa goli au magoli. Ile claim ya penalty Kwa Martineli kwngu naona ni Sahihi haikuwa penati sababu beki alianza kucheza mpiraNi mtazamo tu
Mechi ya leo haikuwa mbaya, approach ya kocha kwenye mechi ilikuwa ina tija na namuelewa kwa ile lineup aliyoanza nayo kwa sababu margin ilikuwa ndogo sana tofauti ya goli moja ukicheza kidogo tu inabadilika na mlima unakuwa mkubwa zaidi kuupanda ndo maana naona kocha alilenga kuhakikisha matokeo yanabaki at least vile vile kwa hata kipindi cha kwanza chote then ndo aingize zile silaha zake yaani palmer na toto tundu
Sehemu ambayo nakubaliana na mzee wa takataka na moja kwa moja hii itamaanisha napingana kidogo na kocha ni kwa john cena delap, jamaa kiukweli kiwango bado na ule upande ulifaa sana mtu hatari toka mwanzo, japo kwa namna nyengine pengine kumuanzisha estevao ambaye hakuwepo na timu kwa siku kadhaa kutokana na changamoto za kifamilia labda kisaikolojia hakuwa fresh ndo maana hakuweza kuanza naye kule kwa delap ila bado binafsi naamini kule angeanza mtu mwengine huenda angeoffer kitu kizuri zaidi
All in all hatuko mbali sana na nchi ya ahadi, na kocha naamini sio mbaya japo binafsi naendelea kumuasses na so far so good, zile nafasi za enzo alizopaisha zile kama tatu hivi angekutana nazo caicedo zileee anyways blue is the color wanangu upchelsea👊
Arsenal nao hawakuwa na staa boy wao Saka, odegard aliingia mwishoni kbs na harvertz aliyefunga piaJames hakuwepo na Neto🤣
Bila penati huyu chali ni hewaFirst Half Cole Palmer Hatrick
Chelsea 3-0 Wolves
Cole Palmer amekuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya Premier League kufunga hat-trick tatu kabla ya kipindi cha mapumziko.Bila penati huyu chali ni hewa
Mi huwa najiuliza hawa madogo wanashindwa kumuangalia tu hata Jamie Vardy alivyokua katili mbele ya goli. Delap sijategemea angekua hivi alivyo saivi ukilinganisha na alivyokua msimu uliopita Ipswich.
Yaani pale angekuwepo Diego Moreira angekuwa bora sana kuliko Delap, sioni huyu dogo akija kuwa striker mzuri. Amekaa kichampionship ship vile
Kuna mtu mmoja kasema huwa kuna wachezaji wa timu kubwa na wale wa timu ndogo. Ukikosea yule wa timu ndogo ukamleta kwenye timu kubwa hawezi kuc heza vizuri kabisa kwa sababu ya presure.Mi huwa najiuliza hawa madogo wanashindwa kumuangalia tu hata Jamie Vardy alivyokua katili mbele ya goli. Delap sijategemea angekua hivi alivyo saivi ukilinganisha na alivyokua msimu uliopita Ipswich.