Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ww Lofa Mkohoti na vilaza wenzio njooni hapa tu discuss namna ya kuandaa sherehe ya ubingwa kwa vidume wenu....nyny mtakuwa kitengo Cha kugawa vinywaji kwa wageni waalikwa kama kina Livakuku na Mama Cita....tangu mwaka 2021 hamjatufunga na hio dalili haionekani kabisa.....narudia Tena hyu Kocha wenu mawani naye mtamfukuza tu🤠🤠
 
Kama kuna mtu atakuja kulaumu kwa kufungwa leo naamini huyo mtu hajui mpira. Tumejitahidi sana ila tukubali huu ukweli Arsenal ni timu bora sana sio tu UK ila ni ulaya nzima.

Inaumiza sana ila kuna amani katika kuukubali ukweli
Ubatizo unaanza
 
Leo hakuna kisingizio cha wachezaji.

Leo kisingizio ni mfumo.

Wazenge wengine huwaoni kwenye huu uzi wa hawa watu lakini niamini mimi hawa wangepata suluhu wangejisifu ujinga na wenzao wangekuja kuwasifu.

Wazenge kabisa
 
huyu Kocha wenu apewe wachezaji anaowataka....sio Eghbali anayewataka....mtafika pahala ila wakiendeleza ule ufala wao Ile bodi yenu....hakyani hyu rose nyemba naye mtamfukuza
Amortim angepewa wachezaji anaowataka sasa hivi Man Un ited sijui wangekuwa wapi? Apprach bodi inachukua ya ID football ni kama ilivyo Barcelona, PSG, Bayern Munich, Man City na timu nyingine lukuki. Ili siku kocha akiach au kutimuliwa tunamleta tu kocha anayefanana na identity. Man City sasa hivi wanamuandaa Maresca kuchukua mikoba ya PEP kwa sababu ya identity kufanana. Hii ya kumtafutia kocha wachezaji kwenye identity isyo ya kudumu ya backline ya 3/5 ni mtindo wa kizamani sana na sio sustainable
 
Ww Lofa Mkohoti na vilaza wenzio njooni hapa tu discuss namna ya kuandaa sherehe ya ubingwa kwa vidume wenu....nyny mtakuwa kitengo Cha kugawa vinywaji kwa wageni waalikwa kama kina Livakuku na Mama Cita....tangu mwaka 2021 hamjatufunga na hio dalili haionekani kabisa.....narudia Tena hyu Kocha wenu mawani naye mtamfukuza tu🤠🤠
Kama Arsenal watashinda Premier League msimu huu, watakuwa ni moja ya timu dhaifu zaidi kuwahi kutwaa taji hilo katika historia ya ligi.
-Paul Scholes 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Leo hakuna kisingizio cha wachezaji.

Leo kisingizio ni mfumo.

Wazenge wengine huwaoni kwenye huu uzi wa hawa watu lakini niamini mimi hawa wangepata suluhu wangejisifu ujinga na wenzao wangekuja kuwasifu.

Wazenge kabisa
James hakuwepo na Neto🤣
 
Oya dingi lina lia.
FB_IMG_17701962058528837.jpg
 
Delap ni forward ama mcheza mieleka ? Rugby ? Mnachekesha .... ! Kale kachaliii Garnacho mmevishwa bonge la pichu mchana kweupe
 
Watu wanataka tuamini kwamba Carabao Cup ndiyo kipimo cha ukubwa? Kwa kweli, nani duniani anapigania Carabao?

Sisi ni Mabingwa wa Dunia — timu iliyowahi kushinda kila kitu kikubwa barani Ulaya na Duniani halafu leo tuanze kujishusha kupigania kikombe cha mbuzi na Arsenal? Haiingii akilini. Hii mechi ilikuwa tu kama kuwapa somo kwamba viwango vya Chelsea na Arsenal haviko daraja moja, hata kama matokeo ya jana yalikuwa ya mashindano madogo.

Kikubwa ni safari ya EPL na Ulaya, si Carabao. Hapo ndipo timu kubwa hujitambulisha.

 
Kama Arsenal watashinda Premier League msimu huu, watakuwa ni moja ya timu dhaifu zaidi kuwahi kutwaa taji hilo katika historia ya ligi.
-Paul Scholes 🤣 🤣 🤣 🤣
Kaangalie kipindi Cha 1998 mpk 2003 jinsi hawa vibwengo kina Paul Scholes walivyokuwa wanabeba ubingwa....walikuwa wanabebwa waziwazi kabisa....it was Fergie effect...kipindi kile kungekuwa na VAR hawa kuku wasingebeba makombe mengi.....he is the least qualified guy to talk about our team...kuku kabisa yule🤠🤠
 
Watu wanataka tuamini kwamba Carabao Cup ndiyo kipimo cha ukubwa? Kwa kweli, nani duniani anapigania Carabao?

Sisi ni Mabingwa wa Dunia — timu iliyowahi kushinda kila kitu kikubwa barani Ulaya na Duniani halafu leo tuanze kujishusha kupigania kikombe cha mbuzi na Arsenal? Haiingii akilini. Hii mechi ilikuwa tu kama kuwapa somo kwamba viwango vya Chelsea na Arsenal haviko daraja moja, hata kama matokeo ya jana yalikuwa ya mashindano madogo.

Kikubwa ni safari ya EPL na Ulaya, si Carabao. Hapo ndipo timu kubwa hujitambulisha.

View attachment 3538973
Mkuu jana bwana mdgo Fofana asingelia kama hilo kombe halina maana shehe🤠🤠....sisi hatujashangilia kwenda final ila tumeshangalia kuwafumua Tena huku Kai Mikazo akiwatungua Tena.....tunawakumbusha Tena Bado kwny ligi mnarudi Tena pale....hatujamalizana bdo
 
Mkuu jana bwana mdgo Fofana asingelia kama hilo kombe halina maana shehe🤠🤠....sisi hatujashangilia kwenda final ila tumeshangalia kuwafumua Tena huku Kai Mikazo akiwatungua Tena.....tunawakumbusha Tena Bado kwny ligi mnarudi Tena pale....hatujamalizana bdo
Huyo katuabisha bure, tunamsamehe kwa sababu kawa mgonjwa muda mrefu labda akili yake haiko sawa
 
Leo hakuna kisingizio cha wachezaji.

Leo kisingizio ni mfumo.

Wazenge wengine huwaoni kwenye huu uzi wa hawa watu lakini niamini mimi hawa wangepata suluhu wangejisifu ujinga na wenzao wangekuja kuwasifu.

Wazenge kabisa
Wewe ni shabiki wa mpira sawasawa na hao unaowasema. Mtu wa mpira anaweza kutofautisha hayo na kuyaacha yaende ndio maana sometimes huwa napuuzia comments zako.
 
Wewe ni shabiki wa mpira sawasawa na hao unaowasema. Mtu wa mpira anaweza kutofautisha hayo na kuyaacha yaende ndio maana sometimes huwa napuuzia comments zako.
Actually wewe member ni miongoni mwa ninaowaheshimu ingawa sikujui.

Haijawahi tokea tumefungwa nikapoint kwamba kumkosa mchezaji A au B ni sababu.

Ukipuuzia comments ni fair kwakua hatuwezi kufanana mtazamo. Kuna kitu utakiona mimi sioni kuna kitu nitaona wewe hautaona.

Kila la heri kwenye FA na top four.
 
Cucurella bado ni baraka kwa Arsenal, niliwahi sema ana games chache alizocheza dhidi ya Arsenal na akaproduce rating ya juu, jana katoka na rating ya juu pia.

Isipokua yeye ndiye alipoteza mpira uliopelekea goli. Magoli yetu bado uchochoro ni Cucurella
 
Naona marehemu ume fufuka, shida nakupiga urudi kulala.
Mnashangilia kuingia final wakati wenzenu huwa tunashangilia kuchukua makombe ya world wide & Europe. Poleni sana. BTW tukutane jukwaa letu pedwa unipe kigongo kingine cha kupotezea mawazo
 
Kaka Arsenal wapo vizuri. Ile timu imeundwa aseeh, jamaa wanajua kuzuia, kurudisha umiliki, kubadilika haraka kutoka kushambuliwa kuja kushambulia.

Kwahiyo unachosema ni kweli kabisa Uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti
Wewe makalio yapo kichwani halafu makalioni ndio kuna kichwa, Bure kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom