Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

James hayupo tena
Wolves vs Chelsea

4-2-3-1

--Joao Pedro--

Neto --- Enzo (C) --- Palmer

Santos --- Caicedo

Cucurella — Chalobah — Fofana — Gusto

--Sánchez--

Bench
  • Sharman‑Lowe
  • Acheampong
  • Badiashile
  • Sarr
  • Hato
  • Garnacho
  • Estevão
  • Delap
  • Guiu
 
Bila penati huyu chali ni hewa
Cole Palmer amekuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya Premier League kufunga hat-trick tatu kabla ya kipindi cha mapumziko.

1770484242528.png
 
February yote Chelsea ina mteremko
  1. Chelsea vs Leeds United — Tue 10 Feb 2026, 22:30 EAT (Nyumbani)
  2. Chelsea vs Burnley — Sat 21 Feb 2026, 18:00 EAT (Nyumbani)
Ila kuanzia March tarehe moja tutaanza na revenge
  1. Arsenal vs Chelsea — Sun 1 Mar 2026, 19:30 EAT (Ugenini)
  2. Aston Villa vs Chelsea — Wed 4 Mar 2026, 22:30 EAT (Ugenini)
  3. Chelsea vs Newcastle United — Sat 14 Mar 2026, 20:30 EAT (Nyumbani)
  4. Everton vs Chelsea — Sat 21 Mar 2026, 20:30 EAT (Ugenini)
 
Siku hizi narratives za clean sheets zimefutwa.

Kimahesabu mtu wa kumi hadi wa sita wanaweza kushika nafasi ya nne au ya tano.

Kazi mnayo wanetu
 
Delap hajawahi kuwa mzuri.
Mi huwa najiuliza hawa madogo wanashindwa kumuangalia tu hata Jamie Vardy alivyokua katili mbele ya goli. Delap sijategemea angekua hivi alivyo saivi ukilinganisha na alivyokua msimu uliopita Ipswich.
 
Bado huja sema, matakataka ni mengi sana pale Chelsea. Ubaya ni kuwa huwa nikiwambia ukweli mnakataa, nyinyi wenyewe mtakubali tu.
Yaani pale angekuwepo Diego Moreira angekuwa bora sana kuliko Delap, sioni huyu dogo akija kuwa striker mzuri. Amekaa kichampionship ship vile
 
Mi huwa najiuliza hawa madogo wanashindwa kumuangalia tu hata Jamie Vardy alivyokua katili mbele ya goli. Delap sijategemea angekua hivi alivyo saivi ukilinganisha na alivyokua msimu uliopita Ipswich.
Kuna mtu mmoja kasema huwa kuna wachezaji wa timu kubwa na wale wa timu ndogo. Ukikosea yule wa timu ndogo ukamleta kwenye timu kubwa hawezi kuc heza vizuri kabisa kwa sababu ya presure.
Msemo wa wahenga
"Jogoo wa shamba hawezi wika mjini"
Delap, Gittens, Garnacho. Hato ni wachezaji wazuri ila wamewahishwa mjini. Walitakiwa wabaki shamba kwanza wajifun ze kulima kitunguu na dengu wakishakomaa ndio waje mjini. Sasa presure ya maisha ya mjini inawapoteza kabisa. Msimu ujao wote utasikia wanakwenda mkopo
 
Kuna huo mwezi wa3, bora tufungwe na wote. Ila sio hao viwete. Huyo kocha mvaa miwani aambiwe kbs.
20260208_202624.jpg
 
Kuna huo mwezi wa3, bora tufungwe na wote. Ila sio hao viwete. Huyo kocha mvaa miwani aambiwe kbs.
View attachment 3541259
Mwezi wa tatu na wa nne utakuwa mgumu kwa Chelsea na ndio miezi ya kubaki au kuondolewa kwenye top 4
Tunahitaji points 20+ ili tubaki kwenye top 4

February 2026
  • Tue 10 Feb — Chelsea vs Leeds United (Premier League)
  • Fri 13 Feb — Hull City vs Chelsea (FA Cup)
  • Sat 21 Feb — Chelsea vs Burnley (Premier League)
March 2026
  • Sun 1 Mar — Arsenal vs Chelsea (Premier League)
  • Wed 4 Mar — Aston Villa vs Chelsea (Premier League)
  • Sat 14 Mar — Chelsea vs Newcastle United (Premier League)
  • Sat 21 Mar — Everton vs Chelsea (Premier League)
April 2026
  • Sat 11 Apr — Chelsea vs Manchester City (Premier League)
  • Sat 18 Apr — Chelsea vs Manchester United (Premier League)
  • Sat 25 Apr — Brighton vs Chelsea (Premier League)
May 2026
  • Sat 02 May: Chelsea vs Nottingham Forest (Premier League, 15:00) – Stamford Bridge
  • Sat 09 May: Liverpool vs Chelsea (Premier League, 15:00) – Anfield
  • Sun 17 May: Chelsea vs Tottenham Hotspur (Premier League, 15:00) – Stamford Bridge
  • Sun 24 May: Sunderland vs Chelsea (Premier League, 16:00) – Away (Final day of the season)
 
Timu ya Mbwana Samatta yaifunga timu yetu dada ya Strasbourg hapo jana
1770605428507.png
 
Kuna mtu mmoja kasema huwa kuna wachezaji wa timu kubwa na wale wa timu ndogo. Ukikosea yule wa timu ndogo ukamleta kwenye timu kubwa hawezi kuc heza vizuri kabisa kwa sababu ya presure.
Msemo wa wahenga
"Jogoo wa shamba hawezi wika mjini"
Delap, Gittens, Garnacho. Hato ni wachezaji wazuri ila wamewahishwa mjini. Walitakiwa wabaki shamba kwanza wajifun ze kulima kitunguu na dengu wakishakomaa ndio waje mjini. Sasa presure ya maisha ya mjini inawapoteza kabisa. Msimu ujao wote utasikia wanakwenda mkopo
Au labda ni sisi tu ndio tunawapa pressure. Usikute wao wanaaminishwa tofauti na hiki tunachotaka wao wafanye. Kwasababu haiwezekani unapata nafasi na bado unaendelea kurukaruka tu.
 
Au labda ni sisi tu ndio tunawapa pressure. Usikute wao wanaaminishwa tofauti na hiki tunachotaka wao wafanye. Kwasababu haiwezekani unapata nafasi na bado unaendelea kurukaruka tu.
Confidence, wanapokuwa kwenye timu ndogo wanakuwa na confidence kubwa kwa sababu ni timu ndogo, matarajio madogo, presure ndogo
Wanapokuja kwenye litimu lenye matarajio makubwa kama Chelsea panic inawatawala ahat wanapolala usiku, hawalali vizuri. Sisi mashabiki tu ndio tunaidharau Chelsea ila Chelsea ni lijitu likuwa ambalo hawa vijana wadogo wakifika pale kwanza hawaamini kama wamesajiliwa Chelsea
 
Sheria za EPL ni za kijinga kweli
Dominik Szoboszlai kamvuta shati Erling Haaland ili asiwahi mpira naye Haaland akamvuta shati Szoboszlai asiwahi kwenda kuuokoa mpira wa Cherki uliokuwa uinaelekea wavuni taratibu.
Hata hivyo mpira uliendlea kwenda na kuingia wavuni.
Sasa shida yangu inakuja pale Dominik Szoboszlai alipopewa red card akiambiwa kuwa amemzuia Haaland asiende kufunga goli wakati goli lilishaingia na sio Haalnd kafunga
Kosa la pili, goli halali la Cherki likafutwa na kuwa free kick
Hapo sheria iboreshwe kwa kweli
 
Sheria za EPL ni za kijinga kweli
Dominik Szoboszlai kamvuta shati Erling Haaland ili asiwahi mpira naye Haaland akamvuta shati Szoboszlai asiwahi kwenda kuuokoa mpira wa Cherki uliokuwa uinaelekea wavuni taratibu.
Hata hivyo mpira uliendlea kwenda na kuingia wavuni.
Sasa shida yangu inakuja pale Dominik Szoboszlai alipopewa red card akiambiwa kuwa amemzuia Haaland asiende kufunga goli wakati goli lilishaingia na sio Haalnd kafunga
Kosa la pili, goli halali la Cherki likafutwa na kuwa free kick
Hapo sheria iboreshwe kwa kweli

Ww ndo hujaelewa na hy sheria ipo sahihi kwa 100%

1: Rudia kuangalia hy mechi tena, mpira haukuingia golini tayari halland alimshika Dominick, hvy Hapa n foul kabla goli halijafungwa.

2: goli lilifutwa kwa sababu halland alicheza foul Kwa kumvuta Dominic Kabla Mpira hujaingia golini, Ila asingemshika bc lingekuwa Goli Na Dominic angepewa kadi ya njano kwa kumvuta halland na sio red card.

Ukitaka kuelewa kilichotokea, inakubidi usiwe mpenzi wa soka la kibongo mana refa wa kibongo n vichwa maji + TFF hasa hasa Linapokuja suala la kuwabeba simba na yanga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom