lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,683
- 25,898
Kwenye benchi mabeki wa akiba tunaye Mjomba Tosin na Hato. Tuombe Mungu tu Badiashile ajiongeze ajitume vinginevyo tuna hali mbaya leo kwenye mabekiKwa nini Sánchez, Fofana, Cucurella na Caicedo hawapo dhidi ya Man City?
1. Robert Sánchez
2. Wesley Fofana
- Ana tatizo la misuli (muscle issue) lililotokea kwenye mechi dhidi ya Bournemouth.
- Alijaribu kufanya mazoezi Ijumaa lakini hakujisikia vizuri, hivyo akaondolewa kwenye kikosi leo.
3. Marc Cucurella
- Alikuwa anatarajiwa kuanza, lakini alionekana na homa (fever) leo asubuhi, hivyo akatolewa kwenye kikosi dakika za mwisho.
4. Moisés Caicedo
- Ana jeraha la hamstring, jambo lililothibitishwa kwenye taarifa za majeraha za Chelsea kabla ya mechi.
- Caicedo hayupo kwa sababu ya kusimamishwa (suspension).
- Alipata kadi ya njano ya tano ya msimu kwenye sare dhidi ya Bournemouth, hivyo akapata ban ya mchezo mmoja dhidi ya City
Man City wanacheza bila presha kabisa; wanajua watafunga watakavyotaka. Chelsea wanahitaji muujiza leo kushinda, hakuna kingine.