Kwenye benchi mabeki wa akiba tunaye Mjomba Tosin na Hato. Tuombe Mungu tu Badiashile ajiongeze ajitume vinginevyo tuna hali mbaya leo kwenye mabekiKwa nini Sánchez, Fofana, Cucurella na Caicedo hawapo dhidi ya Man City?
1. Robert Sánchez
2. Wesley Fofana
- Ana tatizo la misuli (muscle issue) lililotokea kwenye mechi dhidi ya Bournemouth.
- Alijaribu kufanya mazoezi Ijumaa lakini hakujisikia vizuri, hivyo akaondolewa kwenye kikosi leo.
3. Marc Cucurella
- Alikuwa anatarajiwa kuanza, lakini alionekana na homa (fever) leo asubuhi, hivyo akatolewa kwenye kikosi dakika za mwisho.
4. Moisés Caicedo
- Ana jeraha la hamstring, jambo lililothibitishwa kwenye taarifa za majeraha za Chelsea kabla ya mechi.
- Caicedo hayupo kwa sababu ya kusimamishwa (suspension).
- Alipata kadi ya njano ya tano ya msimu kwenye sare dhidi ya Bournemouth, hivyo akapata ban ya mchezo mmoja dhidi ya City
Upo Sahihi lakini unapotosha na humpi credit zake kocha Kompany,Kompany aliishusha Burnley daraja. Bayern wakamchukua, the rest is history
Mashaka ya nini?! wakati tulikubaliana leo tufungwe, ulikimbia kikao cha mwisho nini?. Mpaka sasa moja bila, second half tupigwe jingine moja then maisha yawe burudaaani.Hii timu inanipa mashaka sana
Hhahhhh kumbe kuifunga Liverpool ni mafanikio makubwa sana, ifunge sasa man city Jumapili Leo au ht utoe droo Leo mfute uteja wa zaidi miaka4Hii Video inaonyesha kwa ukamilifu mafanikio ya Chelsea chini ya Enzo Maresca. Asante sana Maresca. Kipindi hiki kitaandikwa kwenye historia ya klabu — kuirudisha timu kwenye UCL, kutwaa kombe la Conference League, kutwaa kombe jipya na la heshima la FIFA Club World Cup, na kuanza msimu wa 2025/26 kwa kuichapa Liverpool na Barcelona. Hii itaishi milele kwenye kihistoria wa Chelsea.
View attachment 3524946
Mhh 😂H
Hhahhhh kumbe kuifunga Liverpool ni mafanikio makubwa sana, ifunge sasa man city Jumapili Leo au ht utoe droo Leo mfute uteja wa zaidi miaka4
Man City hawaamini kilichotokeaKwenye benchi mabeki wa akiba tunaye Mjomba Tosin na Hato. Tuombe Mungu tu Badiashile ajiongeze ajitume vinginevyo tuna hali mbaya leo kwenye mabeki
Man City wanacheza bila presha kabisa; wanajua watafunga watakavyotaka. Chelsea wanahitaji muujiza leo kushinda, hakuna kingine.
Unawezaje kunywa maji na oil kwa pamojaCHAMA LA WANA.
Ukitoa Arsenal, Chelsea ndio timu nyingine ninayoshabikia pale England.
View attachment 3525370
😕Man city somtym ni mazwazwa sana, yaani timu haina hata kocha unashindwa kuifunga. Kweli sijapenda.
Arsenal wameshnaglia hii droo kwa kishindo duniani kote kuliko hata Chelsea
Wachezaji muhimu kuanzia safu ya nyuma hadi katikati ya uwanja walikosekana kwa Chelsea dhidi ya Man City:Man city somtym ni mazwazwa sana, yaani timu haina hata kocha unashindwa kuifunga. Kweli sijapenda.
Mmefanya vyema kufata ushauri wangu, mtaingia top 4 sasaKenge jikazeni mtoe ata sare, msifikri kwamba mnatukomoa mazee