Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa nini Sánchez, Fofana, Cucurella na Caicedo hawapo dhidi ya Man City?

1. Robert Sánchez
  • Ana tatizo la misuli (muscle issue) lililotokea kwenye mechi dhidi ya Bournemouth.
  • Alijaribu kufanya mazoezi Ijumaa lakini hakujisikia vizuri, hivyo akaondolewa kwenye kikosi leo.
2. Wesley Fofana
  • Alikuwa anatarajiwa kuanza, lakini alionekana na homa (fever) leo asubuhi, hivyo akatolewa kwenye kikosi dakika za mwisho.
3. Marc Cucurella
  • Ana jeraha la hamstring, jambo lililothibitishwa kwenye taarifa za majeraha za Chelsea kabla ya mechi.
4. Moisés Caicedo
  • Caicedo hayupo kwa sababu ya kusimamishwa (suspension).
  • Alipata kadi ya njano ya tano ya msimu kwenye sare dhidi ya Bournemouth, hivyo akapata ban ya mchezo mmoja dhidi ya City
Kwenye benchi mabeki wa akiba tunaye Mjomba Tosin na Hato. Tuombe Mungu tu Badiashile ajiongeze ajitume vinginevyo tuna hali mbaya leo kwenye mabeki
Man City wanacheza bila presha kabisa; wanajua watafunga watakavyotaka. Chelsea wanahitaji muujiza leo kushinda, hakuna kingine.
 
Kompany aliishusha Burnley daraja. Bayern wakamchukua, the rest is history
Upo Sahihi lakini unapotosha na humpi credit zake kocha Kompany,
Hio burnely kumbuka aliitoa championship akairudisha/kuipandisha Ligi Kuu ikicheza soka zuri la upinzani, ndo ikashuka Tena, yeye akatimkia Bayern munich
 
H
Hii Video inaonyesha kwa ukamilifu mafanikio ya Chelsea chini ya Enzo Maresca. Asante sana Maresca. Kipindi hiki kitaandikwa kwenye historia ya klabu — kuirudisha timu kwenye UCL, kutwaa kombe la Conference League, kutwaa kombe jipya na la heshima la FIFA Club World Cup, na kuanza msimu wa 2025/26 kwa kuichapa Liverpool na Barcelona. Hii itaishi milele kwenye kihistoria wa Chelsea.

View attachment 3524946
Hhahhhh kumbe kuifunga Liverpool ni mafanikio makubwa sana, ifunge sasa man city Jumapili Leo au ht utoe droo Leo mfute uteja wa zaidi miaka4
 
Anyway natimiza ahadi yangu.

Mtakapomuona Olashoga mama la mama mwambieni nina vocha yake
 
Kwenye benchi mabeki wa akiba tunaye Mjomba Tosin na Hato. Tuombe Mungu tu Badiashile ajiongeze ajitume vinginevyo tuna hali mbaya leo kwenye mabeki
Man City wanacheza bila presha kabisa; wanajua watafunga watakavyotaka. Chelsea wanahitaji muujiza leo kushinda, hakuna kingine.
Man City hawaamini kilichotokea
Walituchezea kwa madharau kipindi cha kwanza
Sasa mabadiliko yaliyofanyika ya Estevao nje na kumuingiza Andrey Santos
Kumtoa Josh Acheampong na kumuingiza Hato ilibadili kabisa mcheza na underdog akabadilika kuwa Man City
Man of the Match Reece James kwa maoni yangu
FT
Man city vs Chelsea 1-1
 
CHAMA LA WANA.

Ukitoa Arsenal, Chelsea ndio timu nyingine ninayoshabikia pale England.
1767555322483.jpg
 
Makocha wakiwa interim wanakuwa wazuri sana
Mabadiliko yaliyofanyika yameipa Chelsea uhai
Shape ya backline ya 5 ndio Liam Rosenior anapenda kuitumia
 
Man city somtym ni mazwazwa sana, yaani timu haina hata kocha unashindwa kuifunga. Kweli sijapenda.
 
Man city somtym ni mazwazwa sana, yaani timu haina hata kocha unashindwa kuifunga. Kweli sijapenda.
Wachezaji muhimu kuanzia safu ya nyuma hadi katikati ya uwanja walikosekana kwa Chelsea dhidi ya Man City:

---- Lavia ----------Caicedo-----

Cucurella-----Colwill------Fofana-----?

-----------------Sanchez-----------------

Hebu fikiria kama wote wangekuwepo… kiwango kingekuwa kingine kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom