Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mtakuja kumwelewa Maresca baadaye.
Tatizo halikuwa Maresca kama mnafuatilia habari kwa makini. Tatizo ni hawa wamiliki wa klabu. Lengo lao kuu ni faida ya kifedha tu. Wanataka kocha ambaye atakuza wachezaji kama mifugo ili baadaye wauzwe kwa bei ya juu sokoni.

Behdad Eghbali hasa, hana nia ya kuona timu ikishinda makombe. Kwake, kushinda hakulipi — maana kunahitaji gharama kubwa. Badala yake, anaona faida kununua mchezaji kwa milioni 5 na kumuuza kwa milioni 80.

Kila mechi, Wakurugenzi wa Michezo (SDs) pamoja na wamiliki walikuwa wakiingia dressing room, wakimnyima Maresca uhuru wa kuchagua kikosi chake na kupanga mbinu za ushindi.

Mkielezwa kinachoendelea nyuma ya pazia, mtabadilisha mtazamo wenu kuhusu Maresca. Chuki mliyonayo kwake si ya haki — ni matokeo ya mfumo wa uendeshaji wa klabu unaotanguliza biashara kuliko ushindani wa kweli.
Mashabiki wamepanga maandm,ano kumpinga Behdad Eghbali na SDs

🚨 HABARI ZA HIVI PUNDE:
Inaeleweka kuwa maandamano rasmi yamepangwa… 👇🏻

🚨 Maandamano ya Mashabiki wa Chelsea dhidi ya Behdad Eghbali na Idara ya Usimamizi wa Michezo (Sporting Directorship).

⚽️ Chelsea vs Brentford, 17 Januari
🏟️ Britannia Gate, Stamford Bridge
⏰ Maandamano yanaanza saa 7 mchana

“Wafuasi wa Chelsea wanahimizwa kuungana kwa pamoja katika maandamano ya amani kupinga mfumo na mkakati wa uongozi, hususan Behdad Eghbali na Wakurugenzi wa Michezo wa #CFC.”

⚠️ UKWELI HALISI ⚠️
  • Matumizi ya Rekodi – Mkakati wa kusajili vijana pekee umeshindwa kuinua viwango.
  • Kutokuwa na Utulivu wa Kikosi – Kikosi kisicho na mizani, kisicho na uzoefu, kinachobadilika kila mara huku makocha wakibebeshwa lawama.
  • Mkakati Ulioshindikana – Wingi kupewa kipaumbele kuliko ubora ili kuongeza thamani ya kuuza baadaye kwa faida. Chelsea si Brighton tajiri wala Red Bull.
  • Machafuko ya Kiufundi – Uteuzi wa makocha wasiovutia ili wafanane na “mfumo wa ndani na mradi” — mfumo huohuo uliowashindwa Graham Potter, Mauricio Pochettino na Enzo Maresca.
1767398206495.png
 
Mashabiki wamepanga maandm,ano kumpinga Behdad Eghbali na SDs

🚨 HABARI ZA HIVI PUNDE:
Inaeleweka kuwa maandamano rasmi yamepangwa… 👇🏻

🚨 Maandamano ya Mashabiki wa Chelsea dhidi ya Behdad Eghbali na Idara ya Usimamizi wa Michezo (Sporting Directorship).

⚽️ Chelsea vs Brentford, 17 Januari
🏟️ Britannia Gate, Stamford Bridge
⏰ Maandamano yanaanza saa 7 mchana

“Wafuasi wa Chelsea wanahimizwa kuungana kwa pamoja katika maandamano ya amani kupinga mfumo na mkakati wa uongozi, hususan Behdad Eghbali na Wakurugenzi wa Michezo wa #CFC.”

⚠️ UKWELI HALISI ⚠️
  • Matumizi ya Rekodi – Mkakati wa kusajili vijana pekee umeshindwa kuinua viwango.
  • Kutokuwa na Utulivu wa Kikosi – Kikosi kisicho na mizani, kisicho na uzoefu, kinachobadilika kila mara huku makocha wakibebeshwa lawama.
  • Mkakati Ulioshindikana – Wingi kupewa kipaumbele kuliko ubora ili kuongeza thamani ya kuuza baadaye kwa faida. Chelsea si Brighton tajiri wala Red Bull.
  • Machafuko ya Kiufundi – Uteuzi wa makocha wasiovutia ili wafanane na “mfumo wa ndani na mradi” — mfumo huohuo uliowashindwa Graham Potter, Mauricio Pochettino na Enzo Maresca.
View attachment 3524414
Behdad Eghbali na SDs wao hawafurahishwi na Marecsa kuiwezesha Chelsea kushinda Conference league na FIFA CWC bali wao wanahusunishwa na Maresca kutowapa nafasi
  1. Acheampong
  2. Mamadou Sarr
  3. Aaron Aselmino
  4. Jorel Hato
  5. Andrey Santos
  6. Jamie Gittens
  7. Estevao Willian Nk Nk
Lengo ni kwamba hawa wachezaji wapande bei kehso wakiwa kwenye ubora wao wauzwe kwa faida
Kama tu hawa wamiliki hawafurahishwi kushind ahaya makombe kwa muda mfupi je kwenye mikakati yaoi kuna plan ya kushinda kombe la ligi? UEFA? sidhani
Walishasema waziwazi kuwa wao wanafurahishwa na model ya Brighton ya kuendeshwa kwa bajeti ndogo na kuwa midtable team, lakini wamiliki wanapata faida kubwa
 
Delusional fanbase.

Utasikia "Kocha alikua analazimishwa kufanya rotation ili kuongeza wachezaji thamani"

Baadaye "Kocha alikua anafanya rotation ili kila mchezaji apate namba na awe wa kutegemewa siyo kutegemea superstar mmoja"
 
Behdad Eghbali na SDs wao hawafurahishwi na Marecsa kuiwezesha Chelsea kushinda Conference league na FIFA CWC bali wao wanahusunishwa na Maresca kutowapa nafasi
  1. Acheampong
  2. Mamadou Sarr
  3. Aaron Aselmino
  4. Jorel Hato
  5. Andrey Santos
  6. Jamie Gittens
  7. Estevao Willian Nk Nk
Lengo ni kwamba hawa wachezaji wapande bei kehso wakiwa kwenye ubora wao wauzwe kwa faida
Kama tu hawa wamiliki hawafurahishwi kushind ahaya makombe kwa muda mfupi je kwenye mikakati yaoi kuna plan ya kushinda kombe la ligi? UEFA? sidhani
Walishasema waziwazi kuwa wao wanafurahishwa na model ya Brighton ya kuendeshwa kwa bajeti ndogo na kuwa midtable team, lakini wamiliki wanapata faida kubwa
Hili la SDs kumuingilia kocha ni nani ana uhakika nalo? au ni propaganda tu. Hata Poch nae tuliambiwa hivyo hivyo anaingiliwa!! alivyoajiriwa Maresca mkasema ameajiriwa Kocha wa Yes kwa kila kitu.

Halafu pia kama lengo la SDs ni la kununua wachezaji na kuuza kwa bei kubwa ni lazima makubaliano yawepo kwenye mkataba tokea wanamuajiri?! Kama alikua hakubaliani na hayo kwa nini alisaini mkataba? Au watakua wanamuajiri kama tunavyoajiri sisi msichana wa ndani akishaajiriwa ndio anashangaa kumbe sio kazi za ndani pekee kuna pia kazi za nje za kulima.

Huyo Estevao ambao alikua hataki kumtumia, ni kocha gani mwenye akili timamu ukimpa huyo mchezaji ataacha kumtumia? Hao akina Tosin aliokua anataka kuwatumia walikua wanampa matokeo??Maresca ujuaji mwingi halafu hajui!
 
Mimi nasema mapema kabisa huyu kocha wanae taka kumleta nae ni takataka tu, hamna kocha mule.
 
Kesho mkifa chini ya tano nampa Olashoga mama la mama vocha ya buku
 
Hii Video inaonyesha kwa ukamilifu mafanikio ya Chelsea chini ya Enzo Maresca. Asante sana Maresca. Kipindi hiki kitaandikwa kwenye historia ya klabu — kuirudisha timu kwenye UCL, kutwaa kombe la Conference League, kutwaa kombe jipya na la heshima la FIFA Club World Cup, na kuanza msimu wa 2025/26 kwa kuichapa Liverpool na Barcelona. Hii itaishi milele kwenye kihistoria wa Chelsea.

 
Nasikia kuna tetesi anakuja Erik ten hag yule kocha wa ajax ya vijana waliofika UCL semi final.
 
Ninarudia tena.

Chelsea wakipigwa chini ya goli tano ninampa vocha ya buku Olashoga mama la mama
 
Pale Bundesliga, Bayern ni bayern tuu, hata mende awe kocha bado bayern itabaki halo halo kwenye huo ubora, hawawezi kukosa ubingwa maybe mara tatu mfululizo kisa kocha.
Ndiyo sababu kocha anayefundisha Bayern wenye timu hua wanamhukumu kutokana na CL. Na Kompany hata CL yuko vizuri, amepoteza game moja tu aliyofungwa na Arsenal.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom