Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nasikia kuna tetesi anakuja Erik ten hag yule kocha wa ajax ya vijana waliofika UCL semi final.
 
Ninarudia tena.

Chelsea wakipigwa chini ya goli tano ninampa vocha ya buku Olashoga mama la mama
 
Ninarudia tena.

Chelsea wakipigwa chini ya goli tano ninampa vocha ya buku Olashoga mama la mama
1767512291465.png
 
Pale Bundesliga, Bayern ni bayern tuu, hata mende awe kocha bado bayern itabaki halo halo kwenye huo ubora, hawawezi kukosa ubingwa maybe mara tatu mfululizo kisa kocha.
Ndiyo sababu kocha anayefundisha Bayern wenye timu hua wanamhukumu kutokana na CL. Na Kompany hata CL yuko vizuri, amepoteza game moja tu aliyofungwa na Arsenal.
 
Kenge jikazeni mtoe ata sare, msifikri kwamba mnatukomoa mazee
 
Kwa nini Sánchez, Fofana, Cucurella na Caicedo hawapo dhidi ya Man City?

1. Robert Sánchez
  • Ana tatizo la misuli (muscle issue) lililotokea kwenye mechi dhidi ya Bournemouth.
  • Alijaribu kufanya mazoezi Ijumaa lakini hakujisikia vizuri, hivyo akaondolewa kwenye kikosi leo.
2. Wesley Fofana
  • Alikuwa anatarajiwa kuanza, lakini alionekana na homa (fever) leo asubuhi, hivyo akatolewa kwenye kikosi dakika za mwisho.
3. Marc Cucurella
  • Ana jeraha la hamstring, jambo lililothibitishwa kwenye taarifa za majeraha za Chelsea kabla ya mechi.
4. Moisés Caicedo
  • Caicedo hayupo kwa sababu ya kusimamishwa (suspension).
  • Alipata kadi ya njano ya tano ya msimu kwenye sare dhidi ya Bournemouth, hivyo akapata ban ya mchezo mmoja dhidi ya City
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom