Mkipigwa chini ya tano nampa Olashoga mama la mama vocha ya buku.Malizana kwanza na Bournemouth.
Ninarudia tena.
Chelsea wakipigwa chini ya goli tano ninampa vocha ya buku Olashoga mama la mama
Ninarudia tena.
Chelsea wakipigwa chini ya goli tano ninampa vocha ya buku Olashoga mama la mama
Pale Bundesliga, Bayern ni bayern tuu, hata mende awe kocha bado bayern itabaki halo halo kwenye huo ubora, hawawezi kukosa ubingwa maybe mara tatu mfululizo kisa kocha.Kompany aliishusha Burnley daraja. Bayern wakamchukua, the rest is history
Ndiyo sababu kocha anayefundisha Bayern wenye timu hua wanamhukumu kutokana na CL. Na Kompany hata CL yuko vizuri, amepoteza game moja tu aliyofungwa na Arsenal.Pale Bundesliga, Bayern ni bayern tuu, hata mende awe kocha bado bayern itabaki halo halo kwenye huo ubora, hawawezi kukosa ubingwa maybe mara tatu mfululizo kisa kocha.
Chelkenge
Ila hili jina limekaa utamu sana![]()

Mm kama shabiki wa chelkenge, Leo lazima tupigwe Ila sio nyingiWanetu Leo ndo mnaanza ligi rasmi?? 🔥🔥
Naomba link kama umepataMwenye link ya kuangalia hii mechi live