Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tosin hafai kuwa beki wa Chelsea B au hata C
Chalobah naye hafai, yuko too much inconsistent
Bora angebaki Josh
Chelsea wanapaswa kumuuza Tosin mwezi Januari. Ni chungu sana kutazama makosa yale yale ya ulinzi, mabao matatu yaliyofungwa kwa njia ile ile, na bado hajajifunza. Hali hii haiwezi kuendelea. Alifanya makosa dhidi ya Fulham, dhidi ya Brentford na leo dhidi ya Sunderland. #TosinOut
1761426799684.png
 
View attachment 3493640

Kwa anaejua hawa viazi wawili walikua wanafanya nini hapo, anijulishe.

Na kocha alivyo pumbavu jinga kabisa, akamtoa yule Acheampong mwenye akili akaicha hiyo mbuzi chalobar.
Yani Chelsea mmefikia stage ya kukategemea katoto kanakoitwa Achempong!?

Nyie hamfai kabisa kuonekana kwenye mikeka yangu 😁
 
View attachment 3493640

Kwa anaejua hawa viazi wawili walikua wanafanya nini hapo, anijulishe.

Na kocha alivyo pumbavu jinga kabisa, akamtoa yule Acheampong mwenye akili akaicha hiyo mbuzi chalobar.
Nakukumbusha tu jirani....jitahidi tukikutana Cole Palmer awepo pasiwepo visingizio....mna kikundi Cha watu machachari sana nilishawahi kusema....hakuna timu ya mpira hapa.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom