Kumbe Leo umeangalia dogo Yuko vizuriHuyu Marc Guiu bonge la mchezaji,,
Kumbe Leo umeangalia dogo Yuko vizuriHuyu Marc Guiu bonge la mchezaji,,
Lini tutaanza kumdiscus Joao Pedro, kuwa nae uwanjani ni sawa tupo pungufu? au tumuache kwanza.Maoni yangu kuhusu mechi ya Forest dhidi ya Chelsea
Romeo Lavia hakuwa katika kiwango chake jana—hali isiyo ya kawaida kwake. Natumaini yuko sswa. Mar Guiu anastahili dakika zaidi; aling'aa sana jana. Chalobah bado anaonekana kutokuwa na utulivu. Lakini Reece James, Robert Sánchez, na Pedro Neto? Walikuwa moto wa kuotea mbali—Hongereni the Blues! ⚡️
View attachment 3490661
Una ugomvi gani na Man U mkuu😃😃Sweet girl 😘
Or ni high lights tu? Usinambie uko Team Nyumbu tu.
Sasa hapa Tanzania ikawaje ukakengeuka?
Hawana mchango kwenye Taifa la Football 😀Una ugomvi gani na Man U mkuu😃😃
Mchezaji gani amewai shinda ballon D or akiwa Chelsea😃😃Hawana mchango kwenye Taifa la Football 😀
Mchezaji gani amewai shinda ballon D or akiwa Chelsea😃😃
Fofana tena????Palmer, Colwil, Tosin, Fofana, Essugo, Delap na Enzo Fernandez
Nimecheki hailaitii mkuuKumbe Leo umeangalia dogo Yuko vizuri
Ballon D or Favorite to win player Goat Nicolas Jackson mmetoa kwa mkopo nani kabaki chalobah ama😆😆Kwa mbali sana.. kiatu ya miaka ya nyuma sana hata sijazaliwa? Emuuu 🤣
Hiyo moja ya Ronaldo tutawalipa…
Kumfunga Liva jana haiwafutii title ya unyumbu 😀Ballon D or Favorite to win player Goat Nicolas Jackson mmetoa kwa mkopo nani kabaki chalobah ama😆😆
Huyu ambaye nusu msimu yupo hospital 😃😃Kumfunga Liva jana haiwafutii title ya unyumbu 😀
Niacheee, so soon tutawalipa. Utashangaa hata R. James anawalipa
Kocha akija na akili timamu tunatoboaLeo tutatoboa kweli
Nyie kweli hamko serious na hela zetuSubs:
1) Sanchez
2) Merrick
3) James
4) Acheampong
5) Chalobah
6) Cucurella
7) Walsh
8) Andrey Santos
9) Neto
10) Garnacho
11) Kavuma-McQueen
12) George
View attachment 3491995