Maresca ni kocha mzuri sema anashida moja ya ego hata Leo reason ya kuperform vizuri imechangiwa na pressure ya mashabiki na Kama Leo angefanya utumbo wake watu wasingemuelewa na yeye alijua Hilo na nimeliona hili tupo serious ni pale kupitia maandalizi ya mechi, kwa mara ya Kwanza Chelsea imefanya mazoezi kwenye uwanja wetu wa mechi badala cobham kwenye uwanja wetu wa mazoezi.Mashabiki wanasehemu yao sio wakuwabeza ninaamini mechi ya Jana tungepoteza mashabiki wasingemlaumu kocha maana alifanya kila kitu sahihi kuanzia kwenye kupanga kikosi mpaka sub alizofanya Tena kwa wakati sahihi na hata mpira tumepiga mkubwa. Watu wanachomlaumu sana Maresca sometime sio matokeo ni upangaji wake, uchezaji wa konokono na sub za kijinga anazofanyaga na consistency yake huwa ana tabia sometimes ya kudharau game huwa hatumii nguvu kwenye hizi team zingine ndogo wakati ndio zipo nyingi zaidi. Akirekebisha haya madhaifu niliyotaja Chelsea inauwezo kabisa ya kuwania ubingwa kwasababu resources tunazoKuna mhenga mmoja kasema Chelsea ingefungwa ungesikia
Huyu kocha takata sana
Kwa nini alimpanga Guisto midfield
Kwa nini hakumuanzisha Estevao Willian
Angekosolewa zaidi na zaidi ila sasa Chelsea imeshinda kuna mashabiki hata wamempa YES ya kudumu Maresca kuwa ni kocha wa viwango. Ngoja gemu inayofuata apoteze
Mashabiki bana, wee waache tu!