Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nilimtetea Pochetino nikasimangwa sana juan david akiongoza mashambulizi. Mkamleta kocha wenu wa ball Maresca mkamsifia kwa mapambio yote. Haya sasa amekuwa kocha wa ovyo. Tulieni azamishe chombo zaidi, mechi zilizobaki mbele kiza kingi kwake. Kuwa na upara sio kushinda mechi.
Maresca ana makosa yake sikatai ila SD ndio tatzo kubwa huwez sajil 1.5BN na bado team yako inamapungufu tele.

Wakat wa poch mapungufu yalionekana je wenyewe katika kuyatatua hayo mapungufu walifanya nini??? Shida ni zile zile toka wakat wa Poch. Unaenda kumsajil felix ambae hakuna kitu anachoongeza ndani ya miez 5 unamtoa kwa mkopp siupuuzi huo
 
Mimi nilisha project kwa behaviour ya sasa hivi Chelsea itafikisha points 53 na haitazidi 56 na bado watu wanasema Maresca kafanya vizuri kwa sababu aliifikisha timu kwenye nafasi ya pili
Msimu huu namaba yetu ni 8-10. Hifadhi hii post

Chelsea iko ICU, na bado mabosi wanaonekana kuridhika na kocha huyo.
Katika mechi 10 zilizopita, tumeona
Tumefungwa mechi 5
Tumetoka sare mechi 3
ushindi kidunchu wa mechi 2 pekee

View attachment 3246522
View attachment 3246539
We si ndio mtetezi mkuu umebadilika
 
Maresca ana makosa yake sikatai ila SD ndio tatzo kubwa huwez sajil 1.5BN na bado team yako inamapungufu tele.

Wakat wa poch mapungufu yalionekana je wenyewe katika kuyatatua hayo mapungufu walifanya nini??? Shida ni zile zile toka wakat wa Poch. Unaenda kumsajil felix ambae hakuna kitu anachoongeza ndani ya miez 5 unamtoa kwa mkopp siupuuzi huo
Walisajili kulingana na fursa badala ya uhitaji.
Mfano:
Tulimhitaji striker tukapewa Guiu - mtoto wa mama
Tulimhitaji CB kiongozi tukasajiliwa Tosin -ada ya bure
Tulimhitaji kiungo mkabaji wakamuuza Conor Gallagher ili wamsajili Joao Felix mdondokaji
Tulimhitaji winga wa kushindana na Mudryk tukapewa Sanchomnatishaji
Tulmhitaji kipa no. 1 tukaletewa Filip Jorgensen
Yaani kinachotakiwa na kilicholetwa ni vitu viwili tofauti
 
Chelsea fc - 23/24
  • Total Transfer fees - €461.1M
  • Position - 6
  • Points - 63

Chelsea fc - 24/25
  • Total Transfer fees - €275.5M
  • Position - 7
  • Points - 43 (Bado mechi 12)
Zile kelele za 1bn team zitarudi tena kwa nguvu sana kama Chelsea ikishika nafasi ya 7-10
 
Hii comment yako inadhihirisha kwamba sporting directors hawajui mpira, hawajui mahitaji ya timu, hawajui nini wanafanya ofisini. Ndio maana tumetumia pesa nyingi sana kufanya sajili za ovyo. Mbaya zaidi matajiri wetu hawajui chochote kuhusu mpira.
Masporting director wanatola team ndogo bado wanamentality za team ndogo + wamiliki wajuaji hatari tupu
 
Visingizio viingiii ila Kocha ndio jinga no.1 hao hao watoto anaweza akawatumia akapata matokeo, hao watoto walonunuliwa wana kitu ndio mana wakaonwa.

Baca wale pale vitoto vingii lakini wanaongoza ligi. Mtasema ligi ya spain laini lakin timu zao kila kukicha zinazinyanyasa timu za EPL. Huo ugumu sijui unatoka wapi.
 
Visingizio viingiii ila Kocha ndio jinga no.1 hao hao watoto anaweza akawatumia akapata matokeo, hao watoto walonunuliwa wana kitu ndio mana wakaonwa.

Baca wale pale vitoto vingii lakini wanaongoza ligi. Mtasema ligi ya spain laini lakin timu zao kila kukicha zinazinyanyasa timu za EPL. Huo ugumu sijui unatoka wapi.
Strasbourg wana watoto lakini sasa hiovi wanacheza ile mbaya huku wachezaji wake wengi ni wale waliokosa namba Chelsea

Ebu angalia hizi timu na wastani wa umri wao

PSG and Strasbourg wana umri mdogo lakini wana fanya vizuri

Strasbourg - wastani wa umri 21.3
PSG - 23.3
Chelsea - 23.4
Monaco - 23.6
Parma - 23.6
Barcelona - 23.7
Stade Reims - 23.9
Valencia - 24.1
Juventus - 24.3
Stuttgart - 24.3
Eintracht Frankfurt - 24.3

1740476914267.png
 
Leo Soton anafufukia kwa Chelsea,,, ! Full time chel 0: Soton 1, bichwa kubwa Cucurela Own goal
 
Leo Soton anafufukia kwa Chelsea,,, ! Full time chel 0: Soton 1, bichwa kubwa Cucurela Own goal
Southamptom lazima wafungwe ndio shida yao kubwa, hata kama wakishinda ila kufungwa ni jadi yao tangu ligi ianze. Hawawezi kabisa kujilinda
Na sisi Chelsea kuweka clean sheet ni shida kweli kweli
 
Mkuu Wastani wa Umri mdogo is not applicable EPL, bali EPL inajitaji world class experienced players kubeba Kombe.
Hata hivyo matarajio yetu sio makubwa tunayotaka kwenye hii timu changa, Europa tu inatosha

Msimu uliopita walifanikiwa kucheza UECL ambayo mimi naona ni mafanikio makubwa
Msimu huu wakifanikiwa kucheza Ueropa league bado ni hatua kubwa wamepiga na msimu ujao wakiweza kuingia UCL watakuwa wamekuwa wamekomaa vizuri kuweza sasa kushindani ubingwa wa EPL
Hii ya Europa, Maresca akishindwa atakuwa kocha fala mkubwa kwa sababu kuu mbili
1) Kuna kila hali kwamba Chelsea itapewa nafasi 5 za UCL msimu ujao na hivyo Europa zikaenda timu mbili ambazo ni namba 6 na namba 7
2) Hata hivyo Chelsea ikishindwa kushika namba 6 au 7 bado wanayo UECL ambayo wakishinda wataingia moja kwa moja Europa league kupitia hayo mashindano.
Zote hizo Chelsea ikifeli basi naafiki kabisa Maresca afukuzwe
 
"Mkuu wa Borussia Dortmund, Niko Kovač, ana sifa tele kwa Carney Chukwuemeka:

Jinsi anavyopokea mpira na kuubeba, jinsi anavyogeuka mara moja kuelekea uelekeo wa mchezo, ni jambo la kipekee sana. Ana kasi nzuri na mbinu bora. Kijana huyu atatuletea furaha, ikiwa atabaki na afya njema."

Maoni yangu
Sehemu nzuri kuhusu Chukwuemeka ni umahiri wake katika kupiga pasi fupi na uwezo wake wa kuhakikisha pasi inafika mahali inapokusudiwa kwa kufanya ufuatiliaji wa karibu. Yeye ni mzuri katika kuunda muunganiko mzuri wa harakati kutoka kwa ulinzi, kupitia kiungo, hadi katika ujenzi wa goli. Anapocheza pamoja na wachezaji kama Palmer au Jackson, anaunda chemistry bora.

Hata hivyo, kocha wetu hakutaka kuona ubora wa Chukwuemeka.

1740493180849.png
 
Mkuu hii timu imeshakuwa ya kupiga ramli. Tukubali tuu ukubwa wetu umebaki jina na historia ya makombe tuliyobeba huko nyuma. Kamwe Hatuwezi kurudia Kwenye makali yetu Kwa kutegemea kupiga ramli. Muda utaongea tuu. Jiandae kwa maumivu makali huko mbeleni.
Mkuu nakataa
Dalili za kurudi enzi yetu na kwenye utukufu wa raha unaonekana wazi
Hawa matajiri wetu kumwaga pesa nyingi ni ishara kuwa wanapenda mpira ila kwenye approach mbaya. Na wao wanapata uzoefu kama vile kocha na wachezaji nao wanavyopata uzoefu. Msimu huu wa kiangazi naamini wataziba viraka vya striker mzoefu Beki mzoefu na kiongozi na kusajili angalau winga mfungaji upande wa kushoto. Watamuita Adnrey Santos au kumsajili DM ambaye atacheza na Caicedo ili Enzo Fernandez awe huru kucheza kama namba 8 au namba 10.
Naamini kabisa kuanzia msimu ujao wa 2025/26 hii Chelsea haitafanya vizuri na kuishia Disemba kama ilivyofanya msimu huu. Watafanya vizuri hadi kufikia May 2026

Karibu jiandae mkuu kwenye karamu ijayo kwa sababu tunaipata Chelsea yetu ya zamani

Wewe naona umekata tamaa sana
Kukata tamaa ni ugonywa unaweza kukula ini, koyo na bandama
Weka tumaini na imani ili uwe na afya bora
 
Chelsea vs Southampton

4-2-3-1

----------------Neto -------------

Sancho ---------Nkunku---------Palmer

------Enzo----------Caicedo-------

Cucurella--Colwill --Tosin ----Gusto

--------------Jorgensen--------------

Bench
1) Sanchez
2) W. Fofana
3) Asheampong
4) James
5) Samuels-Smith
6) KDH
7) Amougou
8) George
9) Mheuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom