Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,508
- 18,668
Na nilipo kwambia huyu Maresca ni takataka ulimtetea sana, tatizo lako una mihemko.
Wastani wa umri wa mchezaji wa Feyenoord Rotterdam ni miaka 23.8, huku Chelsea FC wastani wa umri wa miaka 23.9. Licha ya hayo, Maresca anadai kwamba hawawezi kushindana katika Kombe la Carabao, Kombe la FA, au kumaliza katika nne bora. Tuna kocha wa hovyo sana.