Asante kijanaAlhamisi ni UECL na Compenhagen
Jumapili tupo na Leicester City nyumbani
Asante kijanaAlhamisi ni UECL na Compenhagen
Jumapili tupo na Leicester City nyumbani
🤣🤣🤣THE BLUES ikicheza mashabiki wake duniani kote wanakasirika, wanasonya, wanalaumu kocha na wachezaji, wanazira kuendelea kuangalia mechi na mwisho wanajutia kupoteza usingizi wao kuangalia malupulapu.
Enzo Maresca: "Kuanzia sasa na kuendelea, Ligi ya Conference yote na michezo yote ya Ligi Kuu ni muhimu, kwa hivyo tutachukua moja baada ya nyingine hadi mwisho na kujaribu kushinda michezo mingi iwezekanavyo."Copenhagen watatutoa darajani.
Chelsea na Manu wamekuwa ndugu kwenye hiliTunaweza kuwa tunalaumu directors wanasajili wachezaji wa ovyo wakati THE BLUES moja ya utamaduni wake ni kuua vipaji
Bei inazidi kupanda tu, nafikri sasa imefikia mil 45
Umeshawasahau Nyumbu,THE BLUES ndio club inayoongoza duniani kwa kuuwa vipaji vya wachezaji. Mchezaji anakuja wa moto anaondoka wa baridi na kusindikizwa na matusi.
Disasi amekuwa chachu cha ushindi villa.
Nasikia ya Felix hata 15 haifiki.Bei inazidi kupanda tu, nafikri sasa imefikia mil 45
Hata Tosin na Cucurella wanajituma sanaWachezaji wote wangekuwa wanajituma kama neto tungekuwa vizuri ila machezaji mengine ni matakata tu