Chatta g
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 617
- 992
Back to default modeðŸ˜ðŸ˜Miaka yote Arsenal ni Mbweha tu hata urembe kwa majina ya akina Bukayo Saka, sijui Declan Rice Arsenal inabaki Arsenal
Back to default modeðŸ˜ðŸ˜Miaka yote Arsenal ni Mbweha tu hata urembe kwa majina ya akina Bukayo Saka, sijui Declan Rice Arsenal inabaki Arsenal
Strasbourg wapo nafasi ya ngapi ? Wanacheza ligi yenye ushindani kama EPL ?Umri wa wastani wa Strasbourg ni 21.5, na wanacheza soka la kuvutia. Kinyume chake, umri wa wastani wa Chelsea ni miaka 23.5, lakini wanacheza vibaya, huku kocha na baadhi ya mashabiki wakitoa visingizio kuwa ni kikosi cha vijana wachanga. Kikosi cha Chelsea kina thamani mara kumi zaidi ya kile cha Strasbourg.
Kwa hiyo, ni nani mwenye makosa?
1) Wamiliki
2) Wakurugenzi wa Michezo
3) Kocha
4) Wachezaji
View attachment 3239000
Kocha ndio mwehu, hakuna kisingizio cha ushindani wala nini, hao Strasbourg wakija kucheza na chelsea tutatandikwa kama watoto wadogo.Strasbourg wapo nafasi ya ngapi ? Wanacheza ligi yenye ushindani kama EPL ?
Ukisema HAIWEZEKANI kwa maherufi makubwa unamaanisha nini mkuu?Kwa kweli mashabiki wa London waandamane Stanford bridge hiyo tarehe 25. Blue Co watupishe wamefeli kuendesha timu.
Yaaani kutoka kuwa bingwa wa UEFA mpaka kuwa malapulapu kuwasafishia wengine point 3. HAIWEZEKANI








Nilitegemea ungebaki kwenye mada, hilo swali lingekuaj baadayeStrasbourg wapo nafasi ya ngapi ? Wanacheza ligi yenye ushindani kama EPL ?
Chelsea Trophies:![]()
Full name: Chelsea Football Club
Nickname(s): The Blues, The Pensioners
Founded: 10 March 1905
League: Premier League
Website: ChelseaFC.com
View attachment 450996
Ground: Stamford Bridge, (Capacity: 41,663) - Pitch 103m x 67m
View attachment 2262786
Owner: The consortium of Todd Boehly, Clearlake Capital Group, Hansjörg Wyss and Mark Walter
View attachment 2268766
Chairman: Todd Boehly
View attachment 3055233
Head Coach: Enzo Maresca
League Titles: 6
Premier League Champions: 5 (2016/17, 2014/15, 2009/10, 2005/06, 2004/05)
First Division Championship: 1 (1954/55)
European Trophies: 9
UEFA Champions League: 2 (2011/12, 2020/2021)
UEFA Europa League: 2 (2012/13, 2018/19)
UEFA Super Cup: 2 (1998, 2021)
UEFA Cup Winners': 2 (1997/98, 1970/71)
FIFA Club World Cup: 1 (2022)
FA Cup Trophies: 8 (2018, 2012, 2010, 2009, 2007, 2000, 1997, 1970)
League Cup: 5 (2014/15, 2006/07, 2004/05, 1997/98, 1964/65)
Community Shield: 4
FA Community Shield: 2 (2009, 2005)
FA Charity Cup: 2 (2000, 1955)
Other Trophies
Second Division Championship: 2 (1988/89, 1983/84)
Full Members Cup: 2 (1989/90, 1985/86)
View attachment 1889041Follow this thread for team updates!
Chelsea Football Club celebrate as they Crowned UEFA Super Cup Winners(2021)
View attachment 1801870
Chelsea Football Club celebrate as they Crowned UEFA Champions League Winner (2020/21)
View attachment 2117727
Chelsea Football Club celebrate as they Crowned FIFA Club World Cup Winner (2022)
View attachment 2682733
Chelsea’s Premier League Fixture - 2023/24
Hii point kubwa mkuu, hawakumpata mshauri mzuri, wamepoteza mabilioni yao mengi kumbe walikuwa wakitaka timu kama Brighton ya euro milioni 300 tuBLUE CO walistahili kununua Brighton sio THE BLUES
Mbweha kabisa kasoro mkiaKenge kabisa
Kipindi cha Poche muda kama huu Chelsea ilikuwa nafasi ya ngapi? Poche hakuwa kocha yule...alitoka kwenye fashion mapema kama MorinyoNilimtetea Pochetino nikasimangwa sana juan david akiongoza mashambulizi. Mkamleta kocha wenu wa ball Maresca mkamsifia kwa mapambio yote. Haya sasa amekuwa kocha wa ovyo. Tulieni azamishe chombo zaidi, mechi zilizobaki mbele kiza kingi kwake. Kuwa na upara sio kushinda mechi.
Kuna sehemu kule X nilijibu swali kama hili na naweka hayo majibu hapa:Kipindi cha Poche muda kama huu Chelsea ilikuwa nafasi ya ngapi? Poche hakuwa kocha yule...alitoka kwenye fashion mapema kama Morinyo
Hata Mimi nilitaka sana Pochetino afukuzwe, ilikuwa ni makosa japo Pochettino sio kocha tuliyemtaka ila namuona kama afadhali kuliko Maresca kwenye vitu vingi. Maresca ana mfumo ambao ungekubali ni mzuri kulkiko wa Pochettino ila tatizo la Maresca hawezi kufanya TWEAKING ili aweze kuwachezesha wachezaji muhimu. Hata wale waliokuwa wakifanya vizuri wakati wa Maresca sasa hawafanyi vizuri tena.Nilimtetea Pochetino nikasimangwa sana juan david akiongoza mashambulizi. Mkamleta kocha wenu wa ball Maresca mkamsifia kwa mapambio yote. Haya sasa amekuwa kocha wa ovyo. Tulieni azamishe chombo zaidi, mechi zilizobaki mbele kiza kingi kwake. Kuwa na upara sio kushinda mechi.
Mungu akiwasaidia nyny na wengine nao atawasaidia....Sasa wale wengine na wao watajisaidia baada ya kupata msaada wa Mungu ila nyny hamtajisaidia baada ya kupata msaada wa Mungu....tabu Iko palepale....nafasi ya pili mlifikajefikaje kipindi kileKuna sehemu kule X nilijibu swali kama hili na naweka hayo majibu hapa:
Mlinganisho wa Mwenendo wa msimu haufai kwa Maresca kwa sababu tabia za kuongeza kasi ya matokeo aun ubora wa uchezaji ni tofauti.
Chukua, kwa mfano, tabia za kuongeza kasi za msimu za Pochettino na Maresca.
Mwenendo wa uchezaji wa Pochettino ulikuwa ukiongezeka kwenda juu na kumaliza msimu kwa pointi 63.
Mwenendo wa uchezaji wa Maresca unashuka kwenda chini, na ni Mungu pekee ndiye anayejua tutaishia wapi Mei—pointi 53 au pointi 60?
Kwa kuzingatia mwenendo wa sasa wa Chelsea, wanatarajiwa kupata pointi 13 kati ya 39 zinazowezekana, na kufanya jumla ya pointi 56 kufikia Mei. Uwiano huu wa pointi hautatosha kwa Chelsea kupata nafasi katika 4, 5, 6, au hata 7 za juu. Nina shaka hilo. Hii ni projection tu, Mungu anaweza ingilia form ya timu ikapanda wakashinda point zaidi ya 20 kati ya 39 ili wazidi zile 63 za Pochettino, ILA NINA WASIWASI MKUBWA KAMA HIYO ITAWEZEKANA