Vicent daudi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2012
- 354
- 80
ucje ukafa kwa presha chelsea habari ya mujiniKwa mwendo wa liver najua Kila cku mnameza dawa za usingiz....shida yetu top four lakin mnatulazimisha ubingwa.
ucje ukafa kwa presha chelsea habari ya mujiniKwa mwendo wa liver najua Kila cku mnameza dawa za usingiz....shida yetu top four lakin mnatulazimisha ubingwa.
Wewe na Janjaweed ninawaweka kiporo..sipendi kuongea sana!:juggle:
ucje ukafa kwa presha chelsea habari ya mujini
Angalia Mkuu ata viporo vinachacha..mnajiamin ata kumzid kocha wenu, daily anasema afikirii ubingwa wakat tunajua anajua Bado anakibarua na vijongoo
Kocha wako tu hajiamin af wewe ndounajiamin,,, lazima tuwaminye
Kocha wako tu hajiamin af wewe ndounajiamin,,, lazima tuwaminye
Angalia Mkuu ata viporo vinachacha..mnajiamin ata kumzid kocha wenu, daily anasema afikirii ubingwa wakat tunajua anajua Bado anakibarua na vijongoo
Kwa mwendo wa liver najua Kila cku mnameza dawa za usingiz....shida yetu top four lakin mnatulazimisha ubingwa.
timu yako LFC haijawahi kuwa bingwa wa PREMIER LEAGUE.
Mara ya mwisho LFC imekuwa bingwa wewe hukuwa unatazama mpira kwenye TV.
tulia kijana; kocha wako BR ni sisi ndo tumemfundisha kazi;
wakati wa KENN DAGLISH tuliwapa STEVE CLARKE awasaidie ..sisi tunawakopesha wachezaji; MOSES, ni mchezaji wa Chelsea FC; sasa timu yenyewe haina wachezaji wa kutosha unatuletea kelele?
tulia kijana:
wenzako Arsenal walianza kwa mbwembwe mwisho wake tumewachapa 6.:nod:
liverpool fc pts = 65.
chelsea fc pts = 69.
:biggrin:
nilidhani JOGOO kumbe ni VIJOGOO?
sasa simba anaweza kuogopa VIJOGOO?
huelewi usemacho: pole sana.:eyebrows:
wewe shabiki wa timu gani kwani?
wewe humwelewi Mourinho:
huwezi kuelewa anachosema ndo maana wewe si shabiki wa Chelsea; asante kwa kutuongezea kurasa kwenye 'uzi' wetu.
Kama wewe shabiki wa Liverpool, Man City, Arsenal, Man Utd, Spurs nyinyi nyote kiboko yenu ni CHELSEA FC.
liverpool tulimtandika 2-1 saafi kabisa:
Samuel Eto'o na Eden Hazard nenda katazame video YOUTUBE. au unataka nimwambie MENTOR aweke video?
tulia dogo..this is chelsea fc; :nod:
Ntawajambisha ad bac
Kufikia mafanikioa ya Liverpool nikizaz cha tano cha vitukuu vyetu..NA LIGI ITAKUA INACHEZWA KAMA GAME SIO UWANJAN
Kufikia mafanikioa ya Liverpool nikizaz cha tano cha vitukuu vyetu..NA LIGI ITAKUA INACHEZWA KAMA GAME SIO UWANJAN
Ntawajambisha ad bac
Heheheeehee...Usipanic Mkuu nyie piganien ubingwa ila point tatu zetu tunazihitaj ndompambane na city
SIMBA hakosi usingizi kwa sababu ya kelele za vijogoo
Kijana kaja Kasi kweli! Hajui hii ni thread ya mabingwa! Yani huku kitu chochote akizungumza lazima apate majibu mujarabu!