Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,931
- 27,186
Hawa Fulham ukiachana kuwa ni derby ni wasumbufu sana.
Tatizo maneno maneno mengi sana mtani🤠🤠🤠....tulia ligi huwa ndo inaanza miezi hiiMsimu kama huu sio wa kuchezea kabisa , ukiangalia city kapoteana , liverpool na Arsenal nao hawatishi , ni msimu wa kukaza na kubeba kombe ,kocha na wachezaji wake waache upuuzi na mentality ya kuridhika kama midtable teams ,Chelsea ni brand kubwa aisee .
Wakina Brentford.. Brighton...Hawa Fulham...arsenal....man city kama atazinduka... Newcastle....wte Hawa utqwafata ugenini....mambo ndo yanaanzaTatizo maneno maneno mengi sana mtani🤠🤠🤠....tulia ligi huwa ndo inaanza miezi hii
Fulham wako vizuri ingawa kweli sio game ya kupoteza, liver ulimi ulimtoka kwa fulhamIla hii trend sijapenda aisee , hizi si mechi za kuloose ,ni vile tu vijana hawajakaza kalio leo , hizi timu ni za kugonga ili kupata points nyingi ,kumbuka hata top four pia ni mpambano msimu huu ,kuna Nottingham ,Yale majamaa yanaweka kambani kila mechi msimu huu ,so kocha aje na mbinu za kusolve hii issue ,naona timu za low blocks mazee ya kupaki bus yameshatujulia sasa hivi ,sio nzuri hii