Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tumefungwa na Fuham kwa makosa makuu mawili kwanza kumtoa Jackson ambae anadefend na kuweka Nkunku kosa la pili Neto alichoka mapema na kocha kashindwa kumuondoa na kumueka madueke goli zote zimepita kwa Neto.

Enzo hawezi kumudu midfield tunahitaji Lavia arudi wakiwa na Coicedo kati kati tunakua vizuri sanaa, tumekua dhaifu sanaa kati kati ya uwanja.
 
Dah ,wakuu ,tumewambwa msalabani , tumeshenyentwa kiufupi mamaee
Hii game inaniuma sana
Mliongalia game mtupe mrejesho game ilikuwaje ?
 
Najua Arsenyetoz huko wanachekelea chooni mamaeee ,yatakuja kutujazia nzi humu mpaka basi ,we ngoja tu .🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ila hii trend sijapenda aisee , hizi si mechi za kuloose ,ni vile tu vijana hawajakaza kalio leo , hizi timu ni za kugonga ili kupata points nyingi ,kumbuka hata top four pia ni mpambano msimu huu ,kuna Nottingham ,Yale majamaa yanaweka kambani kila mechi msimu huu ,so kocha aje na mbinu za kusolve hii issue ,naona timu za low blocks mazee ya kupaki bus yameshatujulia sasa hivi ,sio nzuri hii
 
Wanakera kinges€ ,mechi gani hizi za kuloose aisee ?
Na hapo kuna upinzani mkali wa Notingham , Arsenyetoz na Liverpool
Kocha inabidi ajipange sawa
 
Halafu Epl ni mbio ndefu ,fitness ni muhimu mno ,sasa hawa wachezaji wa wodini sidhani kama wanatufaa ,Lavia kwa haya majeruhi yake ,hatufai , Santos arudishwe apige kazi aisee
 
Msimu kama huu sio wa kuchezea kabisa , ukiangalia city kapoteana , liverpool na Arsenal nao hawatishi , ni msimu wa kukaza na kubeba kombe ,kocha na wachezaji wake waache upuuzi na mentality ya kuridhika kama midtable teams ,Chelsea ni brand kubwa aisee .
 
Msimu kama huu sio wa kuchezea kabisa , ukiangalia city kapoteana , liverpool na Arsenal nao hawatishi , ni msimu wa kukaza na kubeba kombe ,kocha na wachezaji wake waache upuuzi na mentality ya kuridhika kama midtable teams ,Chelsea ni brand kubwa aisee .
Tatizo maneno maneno mengi sana mtani🤠🤠🤠....tulia ligi huwa ndo inaanza miezi hii
 
Ila hii trend sijapenda aisee , hizi si mechi za kuloose ,ni vile tu vijana hawajakaza kalio leo , hizi timu ni za kugonga ili kupata points nyingi ,kumbuka hata top four pia ni mpambano msimu huu ,kuna Nottingham ,Yale majamaa yanaweka kambani kila mechi msimu huu ,so kocha aje na mbinu za kusolve hii issue ,naona timu za low blocks mazee ya kupaki bus yameshatujulia sasa hivi ,sio nzuri hii
Fulham wako vizuri ingawa kweli sio game ya kupoteza, liver ulimi ulimtoka kwa fulham
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom