Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ila hii trend sijapenda aisee , hizi si mechi za kuloose ,ni vile tu vijana hawajakaza kalio leo , hizi timu ni za kugonga ili kupata points nyingi ,kumbuka hata top four pia ni mpambano msimu huu ,kuna Nottingham ,Yale majamaa yanaweka kambani kila mechi msimu huu ,so kocha aje na mbinu za kusolve hii issue ,naona timu za low blocks mazee ya kupaki bus yameshatujulia sasa hivi ,sio nzuri hii
Fulham wako vizuri ingawa kweli sio game ya kupoteza, liver ulimi ulimtoka kwa fulham
 
Nkuku vs Jackson bado kuna ubishi?
Kocha mpuuzi sana, yaani amemtoa jackson kamungiza Nkuku wakaanza kudefend, si angeingiza beki kabisa. Halafu kagoli kamoja unadefend vip manina. Peleka moto

Aliemleta Sanchoka chelsea akamatwe popote alipo.
 
Ndugu yangu umenipa matumaini ya uwongo, Ahsante kwa kuharibu bajeti yangu. Baada ya ushauri wako nikaagiza kuku choma na kinywaji baridi nikaanza kujipongeza kwa ushindi tutakaopata.
Ilikuwa mikononi mwetu, kitumbua tumedondosha wenyewe
 
Ila hii trend sijapenda aisee , hizi si mechi za kuloose ,ni vile tu vijana hawajakaza kalio leo , hizi timu ni za kugonga ili kupata points nyingi ,kumbuka hata top four pia ni mpambano msimu huu ,kuna Nottingham ,Yale majamaa yanaweka kambani kila mechi msimu huu ,so kocha aje na mbinu za kusolve hii issue ,naona timu za low blocks mazee ya kupaki bus yameshatujulia sasa hivi ,sio nzuri hii
Kuanzia namba 9 ni contender wa top 4, kazi ipo kweli kweli. Chelsea inatakiwa kudrop points baada ya mechi 5 hadi 7 hivi ndipo tutakuwa na sifa ya kubaki top 4 vinginevyo tukidondosha point kama Mwanitesa Un ited au Mwanashit hatutaweza kubaki top 4
 
Maresca na Nkunku wake wanatuhujumu.

Haiwezekani mchezaji mzembe vile unampanga kama namba 9
Angeingizwa nani? Jackson anapress sana na kukimbia uwanjan i sana, dakika hizo za 60/70 anakuwa amechoka sana
 
Njano aliyopata neto ilimpunguzia umakini wa kukaba kocha angeliona ilo mapema na kumingiza madueke yote haya yasingetokea pia sub ya nkuku ilibadili kabisa mfumo mpira ikawa haiendi mbele kama Jackson alipokuwa uwanjani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom