Ana kipaji gani yule zaidi ya mbio kama kasongoTuseme ukweli mudryk kipaji cha mpira, kila siku zinavyozidi kwenda anazidi kunikatisha tamaa kwamba atakuja kua mchezaji hatari
Ana kipaji gani yule zaidi ya mbio kama kasongoTuseme ukweli mudryk kipaji cha mpira, kila siku zinavyozidi kwenda anazidi kunikatisha tamaa kwamba atakuja kua mchezaji hatari
Enzo yupi unayemzungumziaAliyemsajili Sanchez, Madueke, Enzo Badiashile, Disasi, Felix na Fofana anapaswa apigwe mijeledi hadharani, aburuzwe na farasi barabarani achubuke damu mwili mzima afie mbele 😡
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Hivi mmesikia maneno ya Maresca kweli sababu ya kwanini Enzo haaanzi kwa sasa?
Enzo kiungo mu-Argentina.Enzo yupi unayemzungumzia
Lete sasa hayo maneno ya Maresca.Hivi mmesikia maneno ya Maresca kweli sababu ya kwanini Enzo haaanzi kwa sasa?
Ndio naamini uchawi upo.🚨🔵 Chelsea do not consider Benoit Badiashile a player for sale, as he’s highly thought of at Stamford Bridge.
He is considered part of the long-term project at Chelsea and everyone at the club strongly believes he has a bright future at the club.
Inaeleweka kuwa Chelsea haitazamii kumuuza Benoit Badiashile leo wala kesho, ambaye bado anapendwa sana Stamford Bridge. Yeye ni sehemu ya mradi wa muda mrefu na anaonekana kuwa na mustakabali mzuri.
Tangu Enzo awekwe Benchio, hakuna ufungaji tena wa magoli au mnajifanya hamuoni hiloEnzo afanya vitu vyake vip hivyo
Ndio maana huwa nasema mpaka Maresca anampanga mchezaji 1st Eleven, huwa kuna kitu mchezaji anakionyesha uwanja wa Mazoezi, kumshawishi kochaInaeleweka kuwa Chelsea haitazamii kumuuza Benoit Badiashile leo wala kesho, ambaye bado anapendwa sana Stamford Bridge. Yeye ni sehemu ya mradi wa muda mrefu na anaonekana kuwa na mustakabali mzuri.
Takwimu zinaonyesha kiwango cha pasi cha Badiashile ni miongoni mwa mabeki bora zaidi barani Ulaya na anaendelea vizuri huko Cobham.
Chelsea wanaamini Badiashile anatoa ushindani mzuri katika kikosi chenye ushindani wa hali ya juu. Pia ana uwezo wa kubadilika hivyo anaweza kutumika kama beki wa kati wa kushoto, beki wa kushoto au hata mshirika Levi Colwill kama beki wa kati wa kulia, kama alivyofanya dhidi ya Liverpool alipoingia uwanjani kwa Tosin.🔵
@JacobsBen
x.com
View attachment 3143853
Jana nilikuwa naangalia uchambuzi SKY SPORTS, mtangazaji aliwauliza wachambuzi kwanini Maresca ameamua kumpiga benchi Mchezaji Enzo baada ya Lavia kurejea kikosini?Tangu Enzo awekwe Benchio, hakuna ufungaji tena wa magoli au mnajifanya hamuoni hilo
Build ups nyingi za magoli ya Chelsea ilikluwa na mkono wa Enzo. Sasa kawekwa benchi ili timu ipate physicality kwenye midfield lakini ubunifu hakuna.
Tunamuhitaji Enzo Fernandez zaidi ya tunavyomuhitaji Lavia
Hata Lavia akiwepo bado Chelsea inafungwa so hakuna haja ya kumuweka Enzo kwenye benchi
Hii kitu inaitwa kutafuta balance kikosini ndio kazi ya ukocha inapoanzia.Tangu Enzo awekwe Benchio, hakuna ufungaji tena wa magoli au mnajifanya hamuoni hilo
Build ups nyingi za magoli ya Chelsea ilikluwa na mkono wa Enzo. Sasa kawekwa benchi ili timu ipate physicality kwenye midfield lakini ubunifu hakuna.
Tunamuhitaji Enzo Fernandez zaidi ya tunavyomuhitaji Lavia
Hata Lavia akiwepo bado Chelsea inafungwa so hakuna haja ya kumuweka Enzo kwenye benchi
Ni sawa ila sasa tutakuwa na ufinyu wa magoli. Mimi ningekuwa Enzo Maresca ninge mweka Enzo Fernendez na Lavia na Caicedo wote kwa pamoja. Ili kazi ya kutengeneza balance ifanywe na Lavia na Caicedo halau Enzo acheze B2BHii kitu inaitwa kutafuta balance kikosini ndio kazi ya ukocha inapoanzia.
Unawapanga Caicedo & Enzo - tunafunga magoli mengi na kufungwa mengi.
Unawapanga Lavia & Caicedo - Tunafunga Magoli machache na Tunafungwa magoli machache ila cleansheet hapana (Pazia Sanchez)
Weka timu tulizocheza nazo wakati tunafunga goli nyingi against tunazostrugle kufunga kabla ya kuhitimisha maoni yakoTangu Enzo awekwe Benchio, hakuna ufungaji tena wa magoli au mnajifanya hamuoni hilo
Build ups nyingi za magoli ya Chelsea ilikluwa na mkono wa Enzo. Sasa kawekwa benchi ili timu ipate physicality kwenye midfield lakini ubunifu hakuna.
Tunamuhitaji Enzo Fernandez zaidi ya tunavyomuhitaji Lavia
Hata Lavia akiwepo bado Chelsea inafungwa so hakuna haja ya kumuweka Enzo kwenye benchi
Unataka kuniambia Maresca na uwezo wake wote wa kimbinu hajaona ni vema kuwapanga kwa pamoja CAICEDO - LAVIA - ENZO, pengine alishaona ni over balance kwenye eneo la kiungo na kupelekea weak balance kwenye eneo lingineNi sawa ila sasa tutakuwa na ufinyu wa magoli. Mimi ningekuwa Enzo Maresca ninge mweka Enzo Fernendez na Lavia na Caicedo wote kwa pamoja. Ili kazi ya kutengeneza balance ifanywe na Lavia na Caicedo halau Enzo acheze B2B
Chelsea wamefunga mabao 15 katika mechi 5 wakati Enzo Fernandez anaanza, na kutengeneza nafasi nyingi pia.Weka timu tulizocheza nazo wakati tunafunga goli nyingi against tunazostrugle kufunga kabla ya kuhitimisha maoni yako