Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Weka timu tulizocheza nazo wakati tunafunga goli nyingi against tunazostrugle kufunga kabla ya kuhitimisha maoni yako
Chelsea wamefunga mabao 15 katika mechi 5 wakati Enzo Fernandez anaanza, na kutengeneza nafasi nyingi pia.

Bila yeye kwenye kikosi cha kwanza, wamefunga mabao 4 pekee katika michezo 5 na kutengeneza nafasi chache dhidi ya wapinzani wao.
 
Kiufundi wanasema si vyema kuwachezesha DMs wawili kwenye timu kwa sababu hakutakuwepo na ubunifu kule mbele. Lavia na Caicedo ni DM zaidi ya CM. Wanaweka balance nzuri kwenye midfield ila kunakosekana ubun ifu na buildups zinapungua sana na hivyo kumake nonesense kumuweka benchi Enzo
Bora kocha ampange Enzo Fernandez kwenye kikosi na kuhakikisha anawaweka wingbacks wanaoweza ku invert kwenye kiungo kumsaidia Caicedo. Mtu huyo ni Cucurella acheze nafasoi yake ya kushoto na James kulia, Gusto aingie tu kumpunguzia mzigo James
 
Chelsea wamefunga mabao 15 katika mechi 5 wakati Enzo Fernandez anaanza, na kutengeneza nafasi nyingi pia.

Bila yeye kwenye kikosi cha kwanza, wamefunga mabao 4 pekee katika michezo 5 na kutengeneza nafasi chache dhidi ya wapinzani wao.
Lavia na caisedo ni viungo wapambanaji ila linapokuja suala la ubunifu Enzo anawafunika wote
 
Enzo aba ubunifu gani? Ama ubunifu wa kupoteza mipira hovyo hovyo, huyo jamaa msimu ukiisha apigwe bei. Yule dogo aliyeko kwa mkopo kule Ufaransa arudi kuchukua namba yake.
Lavia na caisedo ni viungo wapambanaji ila linapokuja suala la ubunifu Enzo anawafunika wote
 
Swali ni against timu gani? Ukitaka uone Enzo ni chujio aanze game ya Arsenal, Mancity Liverpool zenye high tempo na pressing kama hajaishia kupoteza mipira kizembe
Huyo hasubiri game za Southampton ndio level zake kwa sasa
 
Bodi ya usajili kwa Chelsea ni ya hovyo sana. Mchezaji kama Viktor Gyokeres unaachaje kumsajili unaenda kumchukua takataka aliye kwa mkopo kule Uturuki. Yaani Gyokeres asipo tua Chelsea nitaumia sana.
Omsiheni ni uchafu plus plus kiubora kwa huyo Dogo Gyokeres.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
3-4-2-1

Colwill
Fofana
James

Neto
Caicedo
Lavia
Madueke

Nkunku
Palmer

Jackson

Hapa tunafungwaje kwa mfano kwa huu mfumo.
 
Lookman na Gyokeres ni strikers wapambanaji haswa, sijui bodi kuu ya usajili ya Chelsea inakwama wapi kuangalia washambuliaji hatari kama hao ambapo wataweza kukabiliana na ugumu wa EPL.

Sometimes timu kama Bournemouth, Fulham huwezi kucheza nazo mpira ronyo ronyo bila ya Wachezaji wa timu yako kuwa physically strong.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Lookman na Gyokeres ni strikers wapambanaji haswa, sijui bodi kuu ya usajili ya Chelsea inakwama wapi kuangalia washambuliaji hatari kama hao ambapo wataweza kukabiliana na ugumu wa EPL.

Sometimes timu kama Bournemouth, Fulham huwezi kucheza nazo mpira ronyo ronyo bila ya Wachezaji wa timu yako kuwa physically strong.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Striker anakuwa mzuri zaidi kama anaye mpishi mzuri
Costa tulimuona mzuri lakini alikuwepo Fabregas anayejua kumpikia striker
Gyokeres anaweza akaja Chelsea akaishia kuwa kama hao mastriker wengine waliofeli hapo Chelsea kama hatakuta mpishgi mzuri
Palmer, Estevao ni wachezaji wenye uwezo mkubwa sana wa kumpikia striker chakula kitamu na rahisi kumeza
 
Jinsi navyoiona barca na liva jinsi walivyo wamoto, na wote makocha ni wageni ndio wameipokea timu sawa na Maresca tu. Halafu Maresca akifungwa anakwambia anajenga timu, hizi kauli ni za makocha mafailure, Kocha mzur haiitaji miezi mingi kuunganisha wachezaji,Huyu kocha sio tapeli kweli? sisi ni wakudroo na Manyumbu kweli?? Asije akawa tapeli kama mwenzie Arteta.

Pep ni mjanja sana asije wakawa hawa watoto wake ni maajenti wake. Maana kauli zao zinafanana, sehemu y kujifichia. Hao akina Slot na Flink hawana hizi kauli za kiboya.
 
Iwe kweli sasa
FB_IMG_1730959606746.jpeg
 
Enzo Maresca ni takataka tu sio kocha wa hadhi ya kufundisha klabu kama Chelsea. Tulifanya makosa makubwa sana kuacha kumchukua Hans Flick wakati alikuwa anapatikana na tulihusishwa kumtaka, tukaacha kuchukua kocha wa mpira tukaenda kuchukua kocha wa kuchamba. Kifupi Chelsea ilivurugika toka iuzwe.
Jinsi navyoiona barca na liva jinsi walivyo wamoto, na wote makocha ni wageni ndio wameipokea timu sawa na Maresca tu. Halafu Maresca akifungwa anakwambia anajenga timu, hizi kauli ni za makocha mafailure, Kocha mzur haiitaji miezi mingi kuunganisha wachezaji,Huyu kocha sio tapeli kweli? sisi ni wakudroo na Manyumbu kweli?? Asije akawa tapeli kama mwenzie Arteta.

Pep ni mjanja sana asije wakawa hawa watoto wake ni maajenti wake. Maana kauli zao zinafanana, sehemu y kujifichia. Hao akina Slot na Flink hawana hizi kauli za kiboya.
 
Jinsi navyoiona barca na liva jinsi walivyo wamoto, na wote makocha ni wageni ndio wameipokea timu sawa na Maresca tu. Halafu Maresca akifungwa anakwambia anajenga timu, hizi kauli ni za makocha mafailure, Kocha mzur haiitaji miezi mingi kuunganisha wachezaji,Huyu kocha sio tapeli kweli? sisi ni wakudroo na Manyumbu kweli?? Asije akawa tapeli kama mwenzie Arteta.

Pep ni mjanja sana asije wakawa hawa watoto wake ni maajenti wake. Maana kauli zao zinafanana, sehemu y kujifichia. Hao akina Slot na Flink hawana hizi kauli za kiboya.
Baadhi ya mashabiki kuifananisha Chelsea na Barcelona na Liverpool sio sawa.

Barcelona haikujengwa upya kama Chelsea.

Liverpool haikujengwa upya kama Chelsea.

Chelsea ni timu iliyoundwa upya na vipande vinaunganishwa upya.

Kwenye timu iliyobeba UEFA 2022 ni James mgonjwa tu ndie kabaki.

Msiongee kama makocha bobezi wakati hata timu ya kijiji hamuwezi kuinoa.

Mwacheni Enzo Maresca afanye kazi yake ambayo inaenda vizuri sana

Viraka vikizibwa tu Chelsea itakuwa moto wa kuotea mbali.

Hamtakuwa tena mkimsema kocha wala kuzitaja majina ya Barca na Liver hapa.

Viraka vinavyotakiwa kuzibwa ni:
  1. Kipa bora.
  2. CB wa kulia bora.
  3. Forward bora. wakisajiliwa hao wachezaji,
Chelsea itabeba makombe mengi na kuzikung'uta hizo timu mlizozitaja pamoja na hao makocha wao
 
Baadhi ya mashabiki kuifananisha Chelsea na Barcelona na Liverpool sio sawa.

Barcelona haikujengwa upya kama Chelsea.

Liverpool haikujengwa upya kama Chelsea.

Chelsea ni timu iliyoundwa upya na vipande vinaunganishwa upya.

Kwenye timu iliyobeba UEFA 2022 ni James mgonjwa tu ndie kabaki.

Msiongee kama makocha bobezi wakati hata timu ya kijiji hamuwezi kuinoa.

Mwacheni Enzo Maresca afanye kazi yake ambayo inaenda vizuri sana

Viraka vikizibwa tu Chelsea itakuwa moto wa kuotea mbali.

Hamtakuwa tena mkimsema kocha wala kuzitaja majin a ya Barca na Liver hapa.

Viraka vinavyotakiwa kuzibwa ni:
  1. Kipa bora.
  2. CB wa kulia bora.
  3. Forward bora. wakisajiliwa hao wachezaji,
Chelsea itabeba makombe mengi na kuzikung'uta hizo timu mlizozitaja pamoja na hao makocha wao
Chelsea FC ilibeba UEFA champions league 2012 & 2021 ila si 2022.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Screenshot_2024-11-07-11-12-14-62_680d03679600f7af0b4c700c6b270fe7.jpg
 
Baadhi ya mashabiki kuifananisha Chelsea na Barcelona na Liverpool sio sawa.

Barcelona haikujengwa upya kama Chelsea.

Liverpool haikujengwa upya kama Chelsea.

Chelsea ni timu iliyoundwa upya na vipande vinaunganishwa upya.

Kwenye timu iliyobeba UEFA 2022 ni James mgonjwa tu ndie kabaki.

Msiongee kama makocha bobezi wakati hata timu ya kijiji hamuwezi kuinoa.

Mwacheni Enzo Maresca afanye kazi yake ambayo inaenda vizuri sana

Viraka vikizibwa tu Chelsea itakuwa moto wa kuotea mbali.

Hamtakuwa tena mkimsema kocha wala kuzitaja majin a ya Barca na Liver hapa.

Viraka vinavyotakiwa kuzibwa ni:
  1. Kipa bora.
  2. CB wa kulia bora.
  3. Forward bora. wakisajiliwa hao wachezaji,
Chelsea itabeba makombe mengi na kuzikung'uta hizo timu mlizozitaja pamoja na hao makocha wao
Nakuunga Mkono.

Tuchel alichukua timu ambayo ilishajengwa alichofanya ni kuiorganize na kuchukua Makombe.

Baada ya timu kuuzwa wachezaji wengi wakongwe waliuzwa na kununuliwa wachezaji wapya wengi.

Wachezaji wapya wengi walionunuliwa walikuwa mazagazaga yakabidi yauzwe tena na mengine bado yamebaki kikosini.

Kama anavyosema lembu wachezaji waliochukua UEFA na Tuchel waliobaki kikosini hawazidi 2.

Kwahiyo Maresca ameanza kazi ya kusuka kikosi kipya cha ubingwa, tuombe Mungu Toddy asiondoe tena wachezaji wengi akasajili kikosi kipya tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom