lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,360
- 25,456
Chelsea wamefunga mabao 15 katika mechi 5 wakati Enzo Fernandez anaanza, na kutengeneza nafasi nyingi pia.Weka timu tulizocheza nazo wakati tunafunga goli nyingi against tunazostrugle kufunga kabla ya kuhitimisha maoni yako
Bila yeye kwenye kikosi cha kwanza, wamefunga mabao 4 pekee katika michezo 5 na kutengeneza nafasi chache dhidi ya wapinzani wao.