Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu Liverpool sio kikwazo kabisa! Yani siku tukienda Anifield utapigwa mpira Wa kufa mtu! Kumbuka mechi ya Man City!

Tuombee tusipate majeruhi tu! Na uzuri sasaiv wachezaji wako makini sn hawajiingizi sn ktk mazingira hatarishi ya kuweza kuumia! Na wanapumzishwa sn! Na pia tunashiriki UCL na EPL Kwahiyo wachezaji hawachoki sn!

tuombe mungu maana hiyo kwetu ndio mechi tough
 
Siku Hiyo Wenger ataanguka tena!


Chelsea fc = mabingwa:

Man City ili wachukue ubingwa lazima wakutane na: Kiporo (City vs United tar 25 mwezi huu)
-pia lazima wacheze na Arsenal na Liverpool. bado kuna mechi itakayowachosha sana vs Barcelona.

Arsenal wenyewe lazima wacheza na Chelsea Fc tarehe 22 = darajani.

kimahesabu; tayari Chelsea 90% ni bingwa wa msimu huu: :argue:
 
Tarehe 22 ndio mzizi wa fitina utakatwa


siku hiyo utapigwa mpira kama wa Spurs; tena kulingana na kocha JM; babu Eto'o atakuwa anaanza mechi zote za darajani;

bila kusahau bwana BA anacheza dakika 15 tu zinatosha.
Sasa tuko mbele kabisa: P =66, GD = 34.:coffee:

Arsenal fc: P = 59, GD = 24.

 
Mkuu Liverpool sio kikwazo kabisa! Yani siku tukienda Anifield utapigwa mpira Wa kufa mtu! Kumbuka mechi ya Man City!

Tuombee tusipate majeruhi tu! Na uzuri sasaiv wachezaji wako makini sn hawajiingizi sn ktk mazingira hatarishi ya kuweza kuumia! Na wanapumzishwa sn! Na pia tunashiriki UCL na EPL Kwahiyo wachezaji hawachoki sn!

MKuu Ntuzu: Liverpool wanacheza 4-3-3. sisi Chelsea FC tunacheza 4-2-3-1.
Maana yake nini? mara nyingi mfumo huu ni rahisi sana kuugeuza kuwa 4-5-1 au 4-6-0. kwenye kiungo tutawadhibiti sana LIverpool; hata wenyewe wanajua.
Sehemu pekee ambayo Liverpool watafuruta ni kwenye safu ya ushambuliaji: mbele wanaweka washambuliaji 3. Lakini mkuu Ntuzu na wadau wengine kumbukeni kwamba Chelsea Fc kukaba na kuzuia ni asili yake:

Katika mechi 15 zilizopita; chelsea imecheza mechi 11 bila kuruhusu goli.
Cheza mbali na Chelsea FC.
 
MKuu Ntuzu: Liverpool wanacheza 4-3-3. sisi Chelsea FC tunacheza 4-2-3-1.
Maana yake nini? mara nyingi mfumo huu ni rahisi sana kuugeuza kuwa 4-5-1 au 4-6-0. kwenye kiungo tutawadhibiti sana LIverpool; hata wenyewe wanajua.
Sehemu pekee ambayo Liverpool watafuruta ni kwenye safu ya ushambuliaji: mbele wanaweka washambuliaji 3. Lakini mkuu Ntuzu na wadau wengine kumbukeni kwamba Chelsea Fc kukaba na kuzuia ni asili yake:

Katika mechi 15 zilizopita; chelsea imecheza mechi 11 bila kuruhusu goli.
Cheza mbali na Chelsea FC.


Mkuu agosti 8 na Mentor mnataka niwambie nini Leo?

Mimi nawambia hivi, "nimeanza kushangilia ubingwa Wa EPL tayari" Maana history inaonesha kwamba, Jose Mourinho hajawahi kupoteza kombe zikiwa zimesalia mechi chache namna hii! Lazima lazima kwa namna yoyote ile tuchukue kombe!
 
Last edited by a moderator:
Mmesahau mlivyo pingwa na Man City goli 6.? Fainal ya FA mnakutana na City USO kwa USO na City Hilo kombe la FA ndio atajifichia hapo! Sasa Wewe utasemaje ndoo ya FA mtaichukua? Au tumuulize Huyu ndugu yng Msukuma mwenzangu unaesema anabusara Maana Sisi wasukuma kwa busara ndio wenyewe! Eti ndugu yng Ng'wamapalala ndoo ya FA mtachukua?
Naona weekend ya jana imekuendea kombo sana kuona Man Shit anatolewa na Passionate team...Money can not buy everything mkuu....Halafu dharau kwenye soka hamna.
Haya sasa Njoo uyakane maneno yako ya shombo hapahapa(check nilivyokunukuu)...Hivi kwanini nyie #TeamMburukenge mna under-rate sana hizi team nyingine? Wigan mwaka jana walimfukuzisha kocha, nasubiri mwaka huu hapo Shit manake ndo washatolewa!!
Kumbuka 3 results are expected in futbo.
Gunners For Life!! COYG
 
Naona weekend ya jana imekuendea kombo sana kuona Man Shit anatolewa na Passionate team...Money can not buy everything mkuu....Halafu dharau kwenye soka hamna.
Haya sasa Njoo uyakane maneno yako ya shombo hapahapa(check nilivyokunukuu)...Hivi kwanini nyie #TeamMburukenge mna under-rate sana hizi team nyingine? Wigan mwaka jana walimfukuzisha kocha, nasubiri mwaka huu hapo Shit manake ndo washatolewa!!
Kumbuka 3 results are expected in futbo.
Gunners For Life!! COYG

Bila maneno ya kishabiki mpira utaenda? Wewe vp Sizinga!!!!! Umeanza juzi kusapoti mipira?

Teh Teh Teh!!!!!

Katavi
 
Last edited by a moderator:
Mkuu agosti 8 na Mentor mnataka niwambie nini Leo?

Mimi nawambia hivi, "nimeanza kushangilia ubingwa Wa EPL tayari" Maana history inaonesha kwamba, Jose Mourinho hajawahi kupoteza kombe zikiwa zimesalia mechi chache namna hii! Lazima lazima kwa namna yoyote ile tuchukue kombe!

Hujakosea mkuu Ntuzu; endelea kushangilia ubingwa;
 
JM akiendelea kumtumia BA kwa match zilizobaki atakuwa ameiva vya kutosha, BA ni mshambuliaji mzuri kuliko haka torres, BA ni kijana damu inachemka na wala si mvivu wa kukimbia na hakati tamaa mapema anaifata mipira mpaka ahakikishe kipe amedaka, hii inampa nafasi kubwa sana BA chelsea
 
JM akiendelea kumtumia BA kwa match zilizobaki atakuwa ameiva vya kutosha, BA ni mshambuliaji mzuri kuliko haka torres, BA ni kijana damu inachemka na wala si mvivu wa kukimbia na hakati tamaa mapema anaifata mipira mpaka ahakikishe kipe amedaka, hii inampa nafasi kubwa sana BA chelsea

Umri wa Demba Ba = miaka 28.
 
1979698_10152253187542482_265872016_n.jpg


nw show me how you do ngololo.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom