Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

leo nafikiri tumevunja rekodi yetu wenyewe. cdhani kama season hii tushashinda zaidi ya gori tatu. raha iliyoje
 
Hii miSpurs ni mijinga sana...hapo wangekuwa wanacheza na Arsenal wangekaza na kukomaa hadi mwisho huku wakionyesha ubabe kibao. Lakini wakikutana na timu zingine mfano wa Chelsea basi wanalegea kama uji wa mtoto.

Walianza vizuri...lakini uzembe wao na kutokuwa makini ndiko kumewakosti.
 
Siipendi Chelsea...lakini naichukia Spurs kama ninavyoichukia MAN U...bora ya Liver na Chelsea kuliko timu hizo mbili.
 
Haaaaaa bila hivyo usingenipenda duh. Wakati mimi nawapenda Wasukuma mbaya.
Haya pamoja The Blues.


Ningekupenda kiduchu tu!

Lkn kwasababu waipenda The Blues Yani basi moyo wng wote umeuchukuaga!
 
Ningekupenda kiduchu tu!

Lkn kwasababu waipenda The Blues Yani basi moyo wng wote umeuchukuaga!
Mna njaa sana nyie watu,mshaanza kutongozana eeh? Ye ashasema hana time na nyie #Wagagagigikoko yeye ni wasukuma tu We Ntuzu ushawahi kaa milembe eeh?
 
Last edited by a moderator:
Man city akidr point tu, Blues wanaweza kutangaza ufalme
 

Chelsea-v-Tottenham-Chelsea-s-Samuel-Eto-o-le_3097143.jpg


Samuel Eto'o celebrates in amusing fashion after putting Chelsea ahead against Tottenham.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom