Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ahahahha Eto'o alinifurahisha sana....btw he doesnt look dat old compared to kina Terry na Lampard!!!
 

Chelsea-v-Tottenham-Demba-Ba-19-of-Chelsea-ce_3097154.jpg


Chelsea players congratulate Demba Ba after he seals a 4-0 win over Spurs



Komaa Ba hatukuuzi kabisa tena umesafisha nyota! Dakika 15 ulizocheza umechungulia nyavu Mara mbili! Km unapewa Dakika 90 Si unafunga goli 12 kwa mahesabu hayo ya Dakika 15 goli 2.
 
Ahahahha Eto'o alinifurahisha sana....btw he doesnt look dat old compared to kina Terry na Lampard!!!


la muhimu timu imeshinda:
kama nilivyosema; tunaelekea kwenye ubingwa wandugu.

umri wa eto'o ni off-the pitch. tunalenga ushindi katika mechi 9 zilizosalia.:coffee:
 
Ahahahha Eto'o alinifurahisha sana....btw he doesnt look dat old compared to kina Terry na Lampard!!!


Terry amezaliwa 1981.
Lampard amezaliwa 1978.

life style ya waingereza ni tofauti sana: mtazame Steve Gerrard.
 
Kocha anawasema washambuliaji wake ili wachangamke. ni njia ya kitaalam ya kuwafundisha washambuliaji. Kocha aliposema hana 'washambuliaji' alitaka wakazane wafunge magoli. Sasa angalau magoli yanafungwa na washambuliaji: Sasa GD = 34.
Safi sn Eto'o komaa tu na ubabu wako!
 
Kocha anawasema washambuliaji wake ili wachangamke. ni njia ya kitaalam ya kuwafundisha washambuliaji. Kocha aliposema hana 'washambuliaji' alitaka wakazane wafunge magoli. Sasa angalau magoli yanafungwa na washambuliaji: Sasa GD = 34.

Ulimsikia Tim Sherwood alivyowaponda wachezaji wake jana? Yale ni maneno ya kuwaambia huko changing room sio in public.

"Lack of character."

In the first place yeye ndo kapanga kikosi hivyo alitakiwa achukue responsibility.
 
Muone huyu glory hunter

Kaka we huoni fact hapo, Liverpool atadrop point kwa Man na Arsenal atadrop point kwa Totenham, kikwazo cha Chelsea kubeba ndoo ni Man City pekee, hivyo lazima tumuombee mabaya
 
Kocha anawasema washambuliaji wake ili wachangamke. ni njia ya kitaalam ya kuwafundisha washambuliaji. Kocha aliposema hana 'washambuliaji' alitaka wakazane wafunge magoli. Sasa angalau magoli yanafungwa na washambuliaji: Sasa GD = 34.

Naelewa Mkuu kwasababu Jose hawezi kutoa maneno ya kumuuzi mchezaji wake! Ni mbinu ya kitaalam kuwaadaa ata timu pinzani Na kuamsha ari kwa strikers!

Safi sn Eto'o

Safi sn Ba

We are the champion!
 
Kaka we huoni fact hapo, Liverpool atadrop point kwa Man na Arsenal atadrop point kwa Totenham, kikwazo cha Chelsea kubeba ndoo ni Man City pekee, hivyo lazima tumuombee mabaya


Huyo Sizinga katoka Milembe jana!

Muacheni abwabwaje! Mwenzake Ng'wamapalala ametulia tu!
 
Last edited by a moderator:
Komaa Ba hatukuuzi kabisa tena umesafisha nyota! Dakika 15 ulizocheza umechungulia nyavu Mara mbili! Km unapewa Dakika 90 Si unafunga goli 12 kwa mahesabu hayo ya Dakika 15 goli 2.
Kweli we umetoka Milembe mkuu...Hayo mahesabu yako kwenye mpira haya-apply mkuu!! Liverpool alishinda goli 4 ndani ya dk 20.....na baada ya 90 ilishinda 5-1. We kweli ulitoka Milembe na Uzamivu wako
 
wadau, naona timu inaenda vizur kikwazo kidogo ni dhidi ya liverpool kama ushind utapatikana dhidi ya mechi hakuna timu ya kuzuia chelsea kuchukua ubingwa wakati huo kuwaombea wapinzani wetu mabaya na hasa man city
 
Kweli we umetoka Milembe mkuu...Hayo mahesabu yako kwenye mpira haya-apply mkuu!! Liverpool alishinda goli 4 ndani ya dk 20.....na baada ya 90 ilishinda 5-1. We kweli ulitoka Milembe na Uzamivu wako

Si mlisema hatuna strikers? Mkipigiwa hesabu tena mnazikataa?!!!! Teh Teh Teh

Ivi siku ile mlikuaje? Au Yule jamaa yenu Ozil alikua hajala? Maana Dakika 20 Liverpool 4 Arsenal 0. Ni haki Mzee Wenger ugonjwa wake Wa kuanguka urudi! Teh Teh Teh
 
Si mlisema hatuna strikers? Mkipigiwa hesabu tena mnazikataa?!!!! Teh Teh Teh

Ivi siku ile mlikuaje? Au Yule jamaa yenu Ozil alikua hajala? Maana Dakika 20 Liverpool 4 Arsenal 0. Ni haki Mzee Wenger ugonjwa wake Wa kuanguka urudi! Teh Teh Teh
Ule sio ugonjwa, alisukumwa na MOYES...LOL(Lucifer Our Lord)
 
Ndugu yangu Ntuzu huyo unayemtaja Ng'wamapalala sio mtu wa papara na kurupuki!! Ni mtu wa busara hawezi kubishana na mgonjwa!! Ngoja tuchukue ndoo ya FA halafu tuje kwenye Ligi, manake mnaleta dharau sana!!


Mmesahau mlivyo pingwa na Man City goli 6.? Fainal ya FA mnakutana na City USO kwa USO na City Hilo kombe la FA ndio atajifichia hapo! Sasa Wewe utasemaje ndoo ya FA mtaichukua? Au tumuulize Huyu ndugu yng Msukuma mwenzangu unaesema anabusara Maana Sisi wasukuma kwa busara ndio wenyewe! Eti ndugu yng Ng'wamapalala ndoo ya FA mtachukua?
 
Last edited by a moderator:
wadau, naona timu inaenda vizur kikwazo kidogo ni dhidi ya liverpool kama ushind utapatikana dhidi ya mechi hakuna timu ya kuzuia chelsea kuchukua ubingwa wakati huo kuwaombea wapinzani wetu mabaya na hasa man city


Mkuu Liverpool sio kikwazo kabisa! Yani siku tukienda Anifield utapigwa mpira Wa kufa mtu! Kumbuka mechi ya Man City!

Tuombee tusipate majeruhi tu! Na uzuri sasaiv wachezaji wako makini sn hawajiingizi sn ktk mazingira hatarishi ya kuweza kuumia! Na wanapumzishwa sn! Na pia tunashiriki UCL na EPL Kwahiyo wachezaji hawachoki sn!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom