Dah !Eti bado ni mdogo tumvumilie. Akikua ataacha
Kweli standards zimeshuka sana .
Huyu pimbi miaka ya nyuma asingeweza hata kuwa kwenye benchi kabisa
Ni aibu tupu
Dah !Eti bado ni mdogo tumvumilie. Akikua ataacha
Jackson ni Drogba mtupu namuona🤠🤠...anahitaji viungo wa kumlisha mipira awe anatupiaDah !
Kweli standards zimeshuka sana .
Huyu pimbi miaka ya nyuma asingeweza hata kuwa kwenye benchi kabisa
Ni aibu tupu
Mimi nimesema akifika miaka 23 yrs (msimu ujao tu) tutaanza kuona mema ya Jackson na sijasema tusubiri hadi afikishe miaka 28Najua kuhusu process hasa kwa hawa vijana. Shida ni kwamba wapo kwenye timu ina demand matokeo kila mechi. Lakini pia kwa hawa vijana nafasi wanazopata ni nyingi hata kuleta mlinganyo tofauti na nafasi zizotengenezwa, yan ni sawa na ratio ya 1.6 wanapata goli 1 katika nafasi 6+ hii sio dalili nzuri kwa kigezo pekee cha uchanga. Hapa ni dalili huyu mchezaji ni average hata kuja kuwa na improvement kuvwa hapo baadaye.
Cheek kwa sasa ana miaka 28
Pulisic ana miaka 25
Christensen miaka 28
Je tungewasubiri hawa wote wafikishe hiyo miaka wajikute kwenye hii fomu waliyonayo sasa?






Jackson ni Drogba mtupu namuona...anahitaji viungo wa kumlisha mipira awe anatupia




Jackson ni mkulima wa tumbaku yule , sijui ilikuwaje akawa mcheza mpira Afadhali kabisa ili akirudi arudi kichujaaEnzo atakosa mechi zote zilizosalia hii ni baada ya kufanyiwa upasuaji wa hernia ambayo imekuwa ikimsumbua katika kipindi cha miezi 5 iliyopita
Hakuna kocha hapo ushauri wa bure kachukueni iniesta , atawasogeza sogezaOrodha ya mameneja watatu (3) waliowekwa kwenye foleni endapo Chelsea itapeana mgongo na Pochettino majira ya joto, kulingana na TEAMtalk.
Je ni yupi unamuona atakuja kuiboresha timu iwe na balance ya kushinda makombe
- Ruben Amorim
- Hansi Flick
- Roberto De Zerbi
View attachment 2973868
hilo lijamaa sijui huwa linapiga puchuu
sasa mwamba angesingizia nini wajameni.mpumzisheni kidogo jamaaBodi walikuwa wamemweleza Pochettino moja kwa moja kuacha kutaja "ukosefu wa uzoefu katika kikosi" wakati wa interview na press conference zake. Pochettino bado alifanya hivi, mabosi wa juu hawakufurahishwa sana na hii.
View attachment 2974073
Mkuu,wewe upo na Poche tuBodi walikuwa wamemweleza Pochettino moja kwa moja kuacha kutaja "ukosefu wa uzoefu katika kikosi" wakati wa interview na press conference zake. Pochettino bado alifanya hivi, mabosi wa juu hawakufurahishwa sana na hii.
View attachment 2974073

THE BLUES akicheza mashabiki wake duniani kote wanapita mtaani wakiombeleza timu yao imewambwa msalabani.


Sio kweli, Chelsea akicheza mashabiki wake duniani kote wanapita mitaani wamevaa bikini za blue huku wanatingisha makalio kama bata mzinga


Tunamhitaji Hans Flick pale darajaniOrodha ya mameneja watatu (3) waliowekwa kwenye foleni endapo Chelsea itapeana mgongo na Pochettino majira ya joto, kulingana na TEAMtalk.
Je ni yupi unamuona atakuja kuiboresha timu iwe na balance ya kushinda makombe
- Ruben Amorim
- Hansi Flick
- Roberto De Zerbi
View attachment 2973868