Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1713971031630.png


Chelsea admin hakutaka hata kutambua kuwa Havertz kapachika mabao
 
Hamumpendi kabisa dogo. Pamoja na kuwapa UCL na kutupiga kwenye bei uyake, bado hamtaki dogo ang'ae
Ile bei yake n kwa sababu alikuwa na medali ya UCL kitu ambacho ni adimu sana maeneo ya huko kwenu Arsenal 😂 ila yeye mwnyw tumewauzia kwa 2M€
 
Kocha mkubwa zaidi ya huyu asingekubali kuja Liverpool, wamiliki ni wabahili sana
Unatumia 3 months kutafuta kocha halaf wote Enrique n Naglesman wote wako tayar Unawatreat kama ajira za wafanyakazi

Tunastahili yote yanayotokea sasa
 
Eti

"Tukaikamata Arsenal kwa dakika 15"

🤣🤣🤣 Timu ilikua haipigi pasi 3 bila mpira kupokonywa hizo dakika 15 zote zingefikaje? Anahisi anaangalia mpira peke yake nini
 
TETESI: Tayari kuna makocha wa kaliba ya juu ambao wako mkao wa kumrithi Mauricio Pochettino na watafurahishwa na changamoto inayotolewa na Chelsea
"Ruben Amorim to Chelsea here we go"
Chelsea wamelenga macho yao kwa kocha mlengwa Liverpool Ruben Amorim kama mpango mbadala endapo Chelsea wataamua kutengana na kocha wao wa sasa Mauricio Pochettino msimu ujao. The Blues wanamfuatilia kwa karibu kocha huyo wa Ureno na inaonekana Chelsea tayari wanafikiria kuhusu matukio hayo ya "vipi kama???".
 
Maanina tangia jana mpaka muda huu nimefura na kukosa cha kuandika , naandika matusi mazito nafuta
Aisee hii ni aibu kubwa , yaani tunafunzwa 5 na Arsenyetoz , pumbavu sana hii timu
 
Eti

"Tukaikamata Arsenal kwa dakika 15"

Timu ilikua haipigi pasi 3 bila mpira kupokonywa hizo dakika 15 zote zingefikaje? Anahisi anaangalia mpira peke yake nini
Yaani mpaka Arsenyetoz wazee wa kukimbia kijiwe mmefufukia humu
Hii timu ni takataka sana ,kiufupi jana mlikuwa mnapiga risasi maiti kwa lengo la kuua .
Ninyi Arsenyetoz bado ni weupe sana ,jana mmekutana na mzoga ,hii timu ni mzoga unaotembea
 
Ila kitu ambacho nimejifunza kwenye maisha ,ukiweza kuwa shabiki wa Arsenyetoz , wewe ni bingwa wa roho ngumu .
Kiufupi unakuwa na medali ya uvumilivu mkubwa sana
Sisi Chelsea mambo kama haya ni mageni sana kwetu ,hatujazoea kabisa fedheha za hivi na ukame wa makombe .
Mashabiki wa Arsenyetoz hoyeee
 
Eti

"Tukaikamata Arsenal kwa dakika 15"

Timu ilikua haipigi pasi 3 bila mpira kupokonywa hizo dakika 15 zote zingefikaje? Anahisi anaangalia mpira peke yake nini
Ila kitu ambacho nimejifunza kwenye maisha ,ukiweza kuwa shabiki wa Arsenyetoz , wewe ni bingwa wa roho ngumu .
Kiufupi unakuwa na medali ya uvumilivu mkubwa sana
Sisi Chelsea mambo kama haya ni mageni sana kwetu ,hatujazoea kabisa fedheha za hivi na ukame wa makombe .
Mashabiki wa Arsenyetoz hoyeee
 
Yaani mpaka Arsenyetoz wazee wa kukimbia kijiwe mmefufukia humu
Hii timu ni takataka sana ,kiufupi jana mlikuwa mnapiga risasi maiti kwa lengo la kuua .
Ninyi Arsenyetoz bado ni weupe sana ,jana mmekutana na mzoga ,hii timu ni mzoga unaotembea
Hakuna siku nimewahi kujifukia.

Sisi kuwafunga nyinyi hatujaanza jana. Tuna misimu zaidi ya minne tunawanyoosha tu. Umechelewa kulijua jukwaa lenu.
 
Ila kitu ambacho nimejifunza kwenye maisha ,ukiweza kuwa shabiki wa Arsenyetoz , wewe ni bingwa wa roho ngumu .
Kiufupi unakuwa na medali ya uvumilivu mkubwa sana
Sisi Chelsea mambo kama haya ni mageni sana kwetu ,hatujazoea kabisa fedheha za hivi na ukame wa makombe .
Mashabiki wa Arsenyetoz hoyeee
Ni ngumu sana kua mjinga na kusurvive.

Nyinyi ni wajinga. Hamuwezi kusurvive
 
Eti

"Tukaikamata Arsenal kwa dakika 15"

🤣🤣🤣 Timu ilikua haipigi pasi 3 bila mpira kupokonywa hizo dakika 15 zote zingefikaje? Anahisi anaangalia mpira peke yake nini
Anakwambia Cucurela alimkata vizuri Saka
 
Kama sisi ni weupe...weekend mnaenda kucheza na Villa...mkapate matokeo sasa🤠🤠....jana mlijichanganya sana kuja na kile kikosi chenu pale Emirates...bora mngegoma kuingia uwanjani tukapewa ushindi wa mezani....kuliko kuja kutupotezea muda kukimbizana na watu ambao hawajui wanafanya nn uwanjani
Yaani mpaka Arsenyetoz wazee wa kukimbia kijiwe mmefufukia humu
Hii timu ni takataka sana ,kiufupi jana mlikuwa mnapiga risasi maiti kwa lengo la kuua .
Ninyi Arsenyetoz bado ni weupe sana ,jana mmekutana na mzoga ,hii timu ni mzoga unaotembea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom