Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Alama za uchezaji kwa wachezaji wa Chelsea dhidi ya Arsenal jana

-Mauricio Pochettino - 0
Hakuwa na mbinu yeyote ya kujilinda wala kufunga magoli, kazembea makosa ya wachezaji hadi tukafungwa mabao matano bila
-Djordje Petrovic - 6
Alifungwa mabao matano, lakini kwa uungwana, aliokoa mabao kama 8, yaani asingeokoa tungefunkwa mabao 13-0.
-Alfie Gilchrist - 3
Kutupwa katika kina cha maji marefu huku hana uzoefu wa kuogelea
Axel Disasi - 3
Sehemu ya safu ya ulinzi iliyoruhusu mabao matano, bila kupata hakiki nzuri.
Benoit Badiashile - 4
Ilianza vizuri ila baadaye akaanza kupoteza mipira hovyo na kuonyesha ulegevu katika kumkabili adui anaposhambulia
Marc Cucurella - 5
Ilionekana kufanya vizuri mapema katika kipindi hicho cha kwanza tulipokuwa kwenye mchezo. ila baadaye alizidiwa na Saka na White kwa pamoja bila wenzake kumsaidia
Moises Caicedo - 4
Kapotezwa na kasi ya wachezaji wa Arsenal na hakukuwa na lzaidi kufanya kwenye tim u ya Chelsea ambayo haikuwa tayari kutoa ushirikiano kwenye kukaba
Conor Gallagher - 5
alijitahidi sana kucheza ila uwezo wake haukuunmgwa mkono na wenzake
Enzo Fernandez - 4
Tena kama Caicedo, kapotezwa kabisa
Noni Madueke - 3
Angalau alijaribu kuchukua watu wachache hapa na pale lakini hakuweza kusaidia timu kujilinda
Nicolas Jackson - 6
Alijitahidi sana kupeleka mashabulizi mbele lakini alijikuta yuko peke yake mbele kama mgeni aliyepotea porini
Mykhailo Mudryk - 2
Hakuonyesha chochote. Hakuna akili ya mpira, kama vile hakuwa na hamu ya mpira, hakimbii, hakabi wala kukimbia uwanjani. Alitisha sana.
Niliangalia mechi lakini sikumuona kabisa Mudryk. Nilishangaa sana kusikia amefanyiwa sub.
 
Huna unachojua wewe. Mnaangalia mipira kwenye tv mnakuja kutusumbua huku na vi idea vya kina George Ambangile hata kupiga danadana 8 hamuwezi

Kaeni na ushabiki maandazi wenu
Heri zako wewe unaejua hongera. Wewe ndio huwa unaleta ViIdea vya ambangile siku ukiona Amekufurahisha. Ili tu kuprove point zako

Uzuri wa mpira ni mchezo wa wazi kila mtu anaona.

Sina muda wa kubishana na watu wasiojielewa ambao kila kitu mtu akionhea wanachukulia Personal
 
Muargentina tactically kichwani ni zero tena😂😂😂...yle mnamuonea tu...jamaa anacheza na hernia yake...anajitoa sana kwa timu yake ila ndo hvyo tu
Ni rahisi sana kumtabiri Poch hana mbinu the way anavyoiset up team yake ndio hivyo nq arteta alichifanya kumsoma kidogo na 2nd half moto ukawaka.

Huku yule muargentina tactically kichwami ni zero
i
 
Kuweni na akili na muwe mnaelewa tunayotasema mjinga mwenyewe. Huwa nasema siku zote matatizo ya Chelsea hayatokani na kocha peke yake kama mnavyoshupalia. Sijui mmejifunzia wapi mpira nyie. Anyway endeleeni na litimu lenu mkiamini kocha peke yake ndio tatizo Pumbav
kuna kitu unachokosea mkuu hakuna mtu anaekataa baadhi ya wachezaji

Ila 70% ya matatizo yetu ya sasa Ni Kocha Hizo 30 unawapa wachezaji,sporting director,owner

We kama kocha lazima uwe unajua mchezaji flan ni mzinguaji why uendelee kumpa nafasi kila game o mchezaji flan hafati maelekezo yangu kwa nini uendelee kumpa nafasi

Hizo nafasi sibora uwape hata academy ambao Ila siku zote amejificha kwwnye kivulo cha excuse

Ukishajua team yako weakness yake ni ipi lazima uanze kufanyia kazi ila sisi msim mzima tumekuwa hiv tunajua kabisa na kocha ni kama hashtuki

Tukubal Tukatae this squad haiendani na Poch.Poch swala la Kimbinu ni Zero

Angalia makocha wote kwenye big game wanavyokuwa unpredictable ila kwa poch ni ngumu kubadilika idea zake anazotumia against plymouth ndio hizo hizo atataka atumie dhid ya City, Hizo hizo vs Liverpool,Vs Arsenal etc
 
Hyu Mkohoti Kila siku alikuwa anatutishia Mudiriki bwana🤠🤠....jana kacheza Sasa sikuona alichokuwa anafanya....laanq ya kutupora yle mtoto itawatqfuna sana....yle anacheza pale Chelkenge ila ndonga lake na moyo wake vipo Arsenal
Nataman Mudryk angeenda Arsenal Kuna mchezaji mule ni vile tu ajapata Kocha wa kumuongoza vizuri
 
Hawa wote wapeleke kwa makocha wanaojielewa mpeleke kwa Arteta,Pep,Klopp uone shughuli yake
Una akili mpk zinamwagika mkuu🤠🤠...mazingira ya Sasa a Chelsea ni very toxic...TAfuteni Mwalimu wa kutengeneza project yake....vngnevyo mtazima sana moto safari hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom