lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,488
Kuna sehemu kule twitter baada ya kuona line up nikaandikaKinachoumiza sio kufungwa bali ni performance
Huwez kwenda emirates sasa hiv na lime up
Ya vile kama vile unaenda cheza na plymouth
Mgumu sana kubadilika na hawez badilika
"Badiashile na Disasi wapo, Pochettino ni kocha aliyelaaniwa! PERIOD" baada ya mpira kwisha tu likes zaidi ya 200
Na kumbe ikawa hivyo, Badiashile anastahili kucheza na watoto wa mtaani mechi zile za mipira ya makaratasi
Unamuacha Chalobah aliyeonyesha ukomavu kwenye kulinda lango unamuweka Badiashile kama sio kulaaniwa ni nini, halafu eti anakuja kusema kawapumzisha wakati Enzo anayetakiwa kupumzishwa kila mechi anaanza
Mbaya kuliko yote sio hata line -up
Hiwa Poche anawaambia nini wacherzaji baada ya breki kwa sababu hata kama tungefungwa timu ilicheza vizuri hadi tunaenda breki. Akina Disasi na Badiashile hawakulemewa sana kama kipindi cha pili?
Viungo wanaambiwa nini hadi balance nzuri iliyokuwepo first half inapotea ghafla kipindi cha pili?