Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jackson ni takataka
Ndg, Jackson ana goli na assists
Kati ya wachezaji watatu hotcace kwa sasa pale Chelsea, Jackson ni wa tatu baada ya Palmer na Gusto, ufuatilie mpira ndipo umhukumu mchezaji
 
Tatizo linaanzia kwenye midfield. Leo Gallagher amacheza chini anajikuta kaenda kushambulia kaacha gap nyuma
Siku zote viungo wetu wako hivyo, Caicedo anapanda na Enzo anapanda halafu wanaacha gap katikati. Kocha ameshindwa kuadress hilo. May pia ni kwa sababu hao wachezaji wote ni B2B MF
 
Mchambuzi hapa anasema its not all about power but placement. Kabla sijamsikiliza zaidi nadhani anachomaanisha hapa leo tunafanya kila kitu sahihi kwa wachezaji kukaa position zao vizuri. Narudia kusema leo wachezaji wanajituma hawakai ovyoovyo tu
 
Hiki ndicho huwa nasema kila siku. Wachezaji kujituma kabla hawajafokewq. Ndio nachokiona leo
Wachezaji wajitume au wasijitume ni kazi ya Kocha, naona leo kaongea nao vizuri na hata kwenye media mtizamo wa Poche umeanza kubadilika, inaonekana anawapusha wachezaji wajitope. Makocha wote bora duniani wanafanya hivyo

Mfano waangalie City baada ya Arsenal na Liver kupoteza points, nasikia kipara atawaburuta hadi washinde mechi zote. Ndivyo alivyopewa maagizo jana na Body ya City

Watoto tulishasema ni wazuri wakisukumwa, Poche akiendelea hivi na akaweka consistence hii ni timu itakayoweza kushindani makombe period
 
Hawa tungewafinyia chini tuwapige goli saba hakuna ubaya wowote,
 
Haya ndio mambo huwa tunayasema. Poch inabidi awaambie hawa wachezaji Palmer ndio mpigaj n 2nd taker ni madueke labda wao ndio waamue
Jackson ni mpuuzi hakuna haja kuonesha reaction ya vile Poor

Galagher leo ndio kasimama kama Captain- Good
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom