lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,490
Mfumo wa kocha umewapoteza. Enzo ameprove wakati wa Potter na Lampard. Hata huyu Caicedo mfumo na pattern ya Kocha imemvuruga. Kwa ufupi hawa wachezaji wengi hawaendani na Pochettino. Akiendelea kukaa sana ataua vipaji vya hao wachezaji, aidha wauzwe na Poche aletewe wachezaji wanaoendana na yeye anavyotaka vinginevyo huyu ni wa kumtimua na kuleta kocha anayeweza kuinua tena viwango vyaoTumeshinda ki bahati tu, hamna timu pale. Caisedo na Enzo hawa ni viungo gani wanatoa pasi mkaa, pasi hazifiki kwa mlengwa, inasikitisha sana viungo wa bei kubwa kiasi kile ata kupiga pasi ifike mahala husika hawawezi. Mabeki wetu ni hamna kitu kabisa, kocha ndio kilaza kabisa hamna mtu mle. Kiufupi ukimtoa Palmer na Petrovic wengine wote ni matakataka, huo ndio ukweli mchungu.