juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Mtu anaesema Poch ni Kocha mzuri mpaka sasa hiv kuna haja ya kumpima akili.Kuna wazee humu watakuambia tatizo ni la wachezaji, tushukuru leo tulikuwa na manyumbu wa Serengeti
Badiashile hatakiwi hata awepo Benchi. Midfile wanatakiwa wafanyiwe rotation, Discline hakuna hata ya kujipanga. katikati ya uwanja kunakuwa na uwazi mkubwa kama uwanda wa Serengegeti
View attachment 2954061
Huwez kila game makosa ni yale yale ya kiuchezaji. Kuanzia kujilinda, kiungo nirahis kutawaliwa, game control zero etc wachezaji badala ya kuimprove ndio kwanza viwango vinashuka