Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu kwani Badiashile ni mchezaji wa timu gani?

Siku zote huwa nawaambia matatizo ya Chelsea hayatokani na kocha peke yake nyie huwa mbasema namtetea.
Ebu acha hiyo drama yako mkuu unajichora bure, ubovu wa wachezaji nani abebe lawama. Pochettino anampanga huku aklijua tatizo lake
 
Hongereni The Blues kwa kupiga comeback kwenye dakika za majeruhi.
Hakika Chelsea ni Club kubwa sana duniani, mnaastahili walau muwepo kwenye top 10.
852001890.jpg
 
Kumchezesha Badishile kwenye CB ni uamuzi wa kijinga. Ametutosa mechi nyingi sana tangu arudi kutoka majeruhi na kocha bado hashtuki. Silva yuko, academy wapo kwa nini asitolewe?
Badiashile ni kilema na mzigo sikuhizi huyu jamaa , bora dogo Gilchrist awe anaanza tu
 
Huyu mwanzoni ulikuwa humwambik kitu kuhusu Poch ila taratibu dawa ishaanza ingia.

No setup ya team yan tunacheza ilimradi tucheze msim now unakaribia kuisha ila kila game unaweza sema ndio mara ya kwanza tunakutana uwanjana

Naamini hata Potter angepewa team kuanzia pre season tusingekuwa hivi
 

Attachments

  • IMG_2468.jpeg
    IMG_2468.jpeg
    41.9 KB · Views: 11
  • IMG_2467.jpeg
    IMG_2467.jpeg
    94 KB · Views: 12
  • IMG_2466.jpeg
    IMG_2466.jpeg
    147.5 KB · Views: 13
Naomba highlight ya magoli, nipo baharini...nilijaribu kufuatilia kwenye radio ili sasa niangalie niliyokuwa nayasikia.
 
Mnapenda tuwakaange goal ngapi leo nyie chelkenge maana saizi nyie ni moja ya vibonde wetu hapo England.View attachment 2953827
😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
 
Mashetani wanachomoa na wanachomeka.
Hii game tulikua tumepanga tuwaachie ili na nyinyi mjivute vute walau muwepo kwenye top 10, lakini nyie Kenge mnaonekana hampo serious kabisa mpaka damu zuwatoke masikioni. View attachment 2954032
Sisi kama Chelkenge tunawashukuru sana manyumbu kwa kutusaidia kusogelea top 10 angalau kiduchu
 
Chelsea walitawala mechi dhidi ya Man U kwa kumiliki mpira kwa 57%, mashuti 28 na 10 kulenga lango, kona 12. Palmer, alifunga hat-trick na kufunga bao la ushindi. Man U walifanya faulo 15 bila njano hata moja, huku Chelsea wakicheza faulo 7, wakipewa 3 za njano. Mechi ilijaa maigizo sana
1712267132617.png
 
Huyu mwanzoni ulikuwa humwambik kitu kuhusu Poch ila taratibu dawa ishaanza ingia.

No setup ya team yan tunacheza ilimradi tucheze msim now unakaribia kuisha ila kila game unaweza sema ndio mara ya kwanza tunakutana uwanjana

Naamini hata Potter angepewa team kuanzia pre season tusingekuwa hivi
Kuna wazee humu watakuambia tatizo ni la wachezaji, tushukuru leo tulikuwa na manyumbu wa Serengeti
Badiashile hatakiwi hata awepo Benchi. Midfile wanatakiwa wafanyiwe rotation, Discline hakuna hata ya kujipanga. katikati ya uwanja kunakuwa na uwazi mkubwa kama uwanda wa Serengegeti

1712267440934.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom