Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kikosi cha pamoja kati ya Chelsea na Manchester United kwenye Uwanja wa Stanford Bridge tarehe 4 Aprili 2024. Ndiyo, nimeweka kwa maoni yangu kutokana na wachezaji wanaopatikana kwa mchezo wa leo. Wacha tuone jinsi wachezaji hawa wanavyopambana uwanjani!
View attachment 2953795
Kumchezesha Badishile kwenye CB ni uamuzi wa kijinga. Ametutosa mechi nyingi sana tangu arudi kutoka majeruhi na kocha bado hashtuki. Silva yuko, academy wapo kwa nini asitolewe?
 
Hawa Man Utd game ya Brentford walipelekewa moto mwanzo mwisho kufika tu kwenye box ya Brentford ilikuwa shughuli

Ila sisi sasa
 
Kocha wa Chelsea yako sio kocha wangu
Si mnamtetea kwa nguvu zote, ona Badiashile katutosa mechi nyingi anaendelea kumpanga tu na atacheza hadi dk 90 zipite alivyo hana akili. Chalobah, Silva na Gilchrist wapo ila wewe subiri uone hadi atutose la tatu na la nne hatashutuka huyo tapeli wa soka
 
Si mnamtetea kwa nguvu zote, Badiashile katutosa mechi nyingi anaendelea kumpanga tu na atacheza hadi dk 90 zipite alivyo hana akili. Chalobah, Silva na Gilchrist wapo ila wewe subiri uone hadi atutose la tatu na la nne hatashutuka huyo tapeli wa soka
Mkuu kwani Badiashile ni mchezaji wa timu gani?

Siku zote huwa nawaambia matatizo ya Chelsea hayatokani na kocha peke yake nyie huwa mbasema namtetea.
 
Goal la 2 la man utd ndani ya box kulikuwa na 6 chelsea Player na wawili wa Man utd 😂😂

Huwa nasema hii mazoezini huwa tunafanya nini yani magoal tunayofungwa huwa ni yale yale
 
Leo mashetani hawachomoi
Mashetani wanachomoa na wanachomeka.
Hii game tulikua tumepanga tuwaachie ili na nyinyi mjivute vute walau muwepo kwenye top 10, lakini nyie Kenge mnaonekana hampo serious kabisa mpaka damu ziwatoke masikioni.
1874348981.jpg
 
Mkuu kwani Badiashile ni mchezaji wa timu gani?

Siku zote huwa nawaambia matatizo ya Chelsea hayatokani na kocha peke yake nyie huwa mbasema namtetea.
Kuna shida zingine ila swala la uchezaji,kujilinda etc hapo ni kocha
Matatizo ya uwanjani 70% ni Poch hiyo 30% ndio wachezaji sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom